JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, October 12, 2018

Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadilishe Ufikiri Wako.

 Sadick Kilasi     October 12, 2018     HEKIMA ZA WAZEE, KUFURAHIA MAISHA, MAHUSIANO, NJOZI, TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadili Na Ufikiri Wako?

Maisha yana kanuni zake, tukiwa hapa duniani tunaendeshwa na kanuni za miili. Tunaishi ulimwengu wa miili, kwa hiyo ni lazima tufuate kanuni za miili.

Kila siku huwa tunabadilisha nguo, hivi, rafiki yangu ushawahi kujiuliza kwanini tunabadilisha nguo? Tendo la kawaida kama unaishi kwa mazoea lakini kama unaishi maisha yenye maana utajiuliza kwanini nabadilisha nguo? Hivi ndivyo maisha jinsi yalivyo, ikiwa utakuwa tayari kuelewa katika kila jambo unalofanya utaelewa kwanini unafanya. Inawezekana ukasema mimi hubadilisha nguo kwa sababu zimechafupa, lakini je! ni kweli? Maana kila mtu anakiwango chake cha kuchafuka kwa nguo na ikifika wakati huo anabadili nguo.

Tunapaswa kujiuliza ni nani ambaye alianzisha mfumo wa kubadili nguo? Unavua hii, unavaa hii. Ni kitu gani kipo nyuma ya hilo unalolifanya la kubadili nguo?

Ukweli ni kwamba, tunabadili nguo kwa kuzingatia kanuni ya NJE, NDANI. Hapa ndipo unaondoa mazoea ya kufanya kitu fulani kwa wakati wote. Kanuni hii inataka ubadilike, kanuni hii inataka uishi kwa kiasi, kanuni hii inakutaka ujijali wewe mwenyewe. Lakini kubadili kwetu nguo, tunataka tusitoe harufu, na katika maeneo mengine ya maisha ni hivo hivo, usipobadili utaoza.

Wakati Yesu alipokuwa akifundisha makundi ya watu, alikuwa anapata muda wa kukaa peke yake lakini pia hakuka pekee yake wakati wote bali wakati mwingine alijihusisha na watu. Hivi ndivyo jinsi maisha yanaendeshwa kwa kanuni, na ukifeli kufuata kanuni za kuishi, utafeli kuishi maisha yenye maana.

Tunabadili nguo kila siku lakini tunaweza kujifunza jambo la maana kabisa ambalo litajenga mahusiano yetu vizuri, bila kujali wewe ni mtu wa namna gani? au unaishi kwa namna gani? Ni lazima utambue kwamba utawahitaji wngine katika maisha yako lakini pia unaupekee wako.

Ikiwa unaishi kwa kuiheshimu kanuni hii, utaishi maisha yenye maana. Kila kitu huwa kinadalili yake, ukiona dalili fulani kwenye jambo fulani basi, utajitoa katika wakati huo. Mfano; Unajua wanadamu tunaishi kwa utani lakini unapozama sana kwenye utani unaleta magomvi, kitu ambacho mwanzo wake haukuwa ni ugomvi lakini kwa sababu hamjazingatia usawa na kiasi inapelekea huo ugomvi. Hakuna mtu ambaye hawezi kuishi kwa utani maana utani huleta ladha katika maisha.

Kuna wakati mwingine usitende haki sana, ukazidi, lazima utambue kwamba wewe ni binadamu. Kwa hili watu wengi wanaweza kunielewa vibaya lakini ndio ukweli wenyewe, hata neno la Mungu limethibitisha hilo. Sulemani amethibitisha hilo katika kitabu cha mhubiri. Lkaini rafiki kwenye hili uwe makini, tambua eneo lako ni lipi na ufanye kwa usahihi, hakuna wakati ambao sio sahihi wa kufanya jambo sahihi.

SOMA:INJILI YA MAJI NA ROHO.[ SEHEMU YA PILI].

 Kwa hiyo matukio ambayo tunayafanya kila siku yanaweza, kama kubadilisha nguo kila siku, tunaweza tukajifunza kitu na kuishi maisha yenye maana. Chagua kujifunza, chagua kufikiri, chagua utofauti, angalia kila kitu na ujiulize kwanini. Anayeishi kwa kanuni ya nje, ndani hawezi kuwa mtu wa itikadi bali atajifunza kila tukio linalotukia. Yesu alikuwa anatolea mifano kwenye nneno lake na mifano yake ilikuwa ni katika mazingira haya tunayoishi.


Usiishi kwa itikadi rafiki yangu, jiulize kwanini? ilikuwa inamaanisha nini?, kwanini nipo hapa? Biblia inatufunza tuvae siraha za kiroho, na siraha za kiroho ndio hizi, kuishi kwa utambuzi katika mazingira unayoishi.

Moja ya fundisho ambalo lipo kwenye Biblia, ambalo Yesu alitolea kuhusu mtu ambeye alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, lakini kabla hajafika, katikati, alikutana na wanyang'anyi, wakavua nguo, wakampiga wakamwacha karibia kufa. Mtu wa kanisani, kuhani akamfikia, akapita pembeni na mlawi naye ni mtu wa hekaluni akampita lakini Msamaria akafikia akamsaidia.

Watu hawa wote walikuwa wanakwenda katika shughuli flani, lakini, wale watu wa Mungu, hawakufanya chochote, lakini mpitaji ambaye ni Msamaria akamsaidia japo naye alikuwa anakwenda kushughurika. Kwa sababu ya itkadi watu wa Mungu hawakufanya lolote, kwa sababu ya kuelekea labda hekaluni lakini kila siku wanajifunza jambo hilo hilo la kuwasaidia watu.

Jifunze kanuni hii na kuitendea kazi. Haijarishi lile ambalo limekuwa linafanywa kwa muda mrefu kiasi gani? Na linaonekana ni sahihi kabisa machoni pa watu, unapaswa kulielewa.Usiishi kwa mazoea,usiishi kwa udini, na usiishi kwa itikadi. Tafuta ukweli nao utakuweka huru, kwani sio kila jambo huwa linakuwa kweli wakati wote. Chunguza, tumia asili kujifunza mambo licha ya kusoma vitabu, unaweza ukachukua hata mbegu ya mmea, ukajiuliza mbona huu mmea upo mmoja tu harafu mbegu yake haipo hivo, mbegu yake inaonekana inakiini ndani, utapata majibu.

Mungu anakupenda, Mungu hataki uishi kwa bahati mbaya anataka uishi maisha. Asante.

Sadick kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ▼  October (29)
      • Maisha Yenye Maana.
      • Wapi Ulipo?
      • Sala Ya Kuomba Amani.
      • Sicho Hicho Ndugu Yangu Unachohitaji.
      • Mwili Wako Ni Zawadi Kwa Wengine.
      • Utabiri Unaonesha Kwamba Wewe Utafurahia Maisha Ka...
      • Unachohitaji Katika Maisha Yako.
      • Kutambua Dalili Za Kujiliwa Kwa Jambo Jipya.
      • Ishi Kwa Kudhamiria Jambo Jema.
      • Ubatizo Ni Nini?
      • Upekee Unagharama Yake Ya Kulipa.
      • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache,...
      • Uogope Woga unaokufanya Uwe Mwoga.
      • Jifunze Kwa Bidii Ili Uwe Huru.
      • Wakati Jama Wakati.
      • Madamu Unayo Leo Unaweza.
      • Viungo Vya Mwili Hufanya Kazi Kwa Ushilikiano.
      • Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.
      • Mwalimu Nyerere Zawadi Ya Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
      • Mambo Ya Kujua Na Kuepuka Ili Kudumisha Furaha Kat...
      • Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadilishe ...
      • Angalia Mbegu Unazokazana Kupanda.
      • Usikazane Kutafuta Raha Katika Maisha Bali Kazana ...
      • Ujumbe Uliobeba Ndani Yako.
      • Kila Mtu Yupo Bize Na Lugha Yake.
      • Mambo Ya Kuyatambua Katika Maisha Lakini Kuzingati...
      • Mwenyezi Mungu Ni Nani?
      • Hata Kama Umezaliwa Kwa Injili Ya Maji Na Roho Una...
      • Tujifunze Kutoka Kwa Panya Na Kuishi Maisha Yenye...
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates