JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, October 10, 2018

Usikazane Kutafuta Raha Katika Maisha Bali Kazana Kutafuta Kitu Hiki.

 Sadick Kilasi     October 10, 2018     KUFURAHIA MAISHA, NJOZI     No comments   

Watu wengi maisha kwao yamekuwa kama mtego. Tunaishi kwenye dunia yenye miili lakini mara nyi kila jambo limefishwa uhali. Kila kitu kilichopo duniani kimefichwa uhali wake na kinachoonekana ni upekee wake na asili ya kitu hicho. Ukiuangalia mti ni tofauti kabisa jinsi zilivyo mbegu zake. Huu ndio ukweli wenyewe katika kila jambo.

Kutokana na mazingira ambayo tunaishi, tumekuwa tunaishi kwenye vivuli vya ukweli na ndio maana inakuhitaji utambue asili ya kila jambo na mwisho uufikie uhalisi wa jambo hilo. Ninapozungumzia asili namaanisha hivi; kwa mfano mimi Sadick, asili yangu ni ukoo wa akina Kilasi. Lakini hiyo ni asili tu ya mwili, lakini katika uhalisia nipo tofauti kabisa na mwili wangu na siwezi kuonekana kwa macho. Lakini ikiwa naiishi hapa duniani ni lazima niunganike kiroho, nafsi na mwili na huo ndio uhalisia wangu. Nje ya hapo mara nyingi inakuwa sio mimi bali ni eneo dogo tu la mimi na ndiomaana kiasili naweza kubadilika umbo lakini katika uhali huwezi kubadilika.

Nimejaribu kuzungumzia asili na uhalisi ili nikufanye uone utofauti na uanze kufikiri tofauti na jinsi ambavyo umekuwa unafikiri na kujichukulia.

Tunaishi kwenye dunia ya miili yaani katika asili lakini maisha yetu yana mengi kwa sababu duniani tunapita tu, tupo katika mwendo. Yapo mengi tunayopitia duniani lakini na ni mengi pia ambayo tunatamania kupata, na hapa ndipo tunahitaji kuisoma asili vizuri ili tutambue kwamba tutaanzia wapi katika hicho tunachokitafuta na tutaishia wapi. Ikiwa tunaishi kwenye dunia ya miili basi kuna mipaka ambayo ipo na inapaswa kufwatwa.

Katika maisha inayotafutwa kwa kiasi kikubwa na kwa gharama kubwa ni furaha lakini wengi tumejikuta tunajiingiza kutafuta raha ama burudani kwa sababu hatujatambua ni kipi chanzo cha furaha.

Sisi ni miili ambayo tumepewa tusafilie kwa muda lakini matumaini yetu si katika miili bali katika vitu ambavyo haviwezi kuonekana kwa macho. Ikiwa tunamtumainia Mungu asiye onekana basi katika uhali wetu nasi hatuonekani kwa macho na huo ndio ukweli wenyewe. Kutafuta furaha kunattegemea sisi hatua zetu tunazopiga ndizo zitatupeleka katika furaha. Ikiwa unatafuta pesa tu bila kutambua kwamba asili yako wewe si kutegemea pesa basi ni wazi lazima ufanye la kwanza na la pili bila kukosea.

 Tunahitaji kutambua kwamba tunapaswa kuanzia wapi na kuishia wapi, kwani raha ambayo hutafutwa kwa njia ya kutegemea mazingira ya nje haidumu na wala haiwezi kutupa furaha kamili.
2Wakorintho 4:18, Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyooneka ni vya muda tu; lakini vile visivyo onekana ni nya milele.
Ikiwa tunaasili ya kutoonekana basi niwazi kwamba tunapaswa kutambua ya kwamba tunahitaji kujijenga katika huko kutoonekana na kujijenga pia katika kuonekana kwani pia bado tuna mwili.

Leo nitakupa njia moja ya kujenga furaha yako ya kudumu ambayo biblia imekazia kwa umakini zaidi na hichi nndicho kiini cha furaka katika maisha yako.
Mithali 4:23, Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; maana ndiko zitokako chemichemi za uzima.

 Hapa ndipo unahitaji kujifunza kwa umakini kabisa  amri za Mungu zinasemaje, lakini moyo wako unapaswa kuulinda kama nini. Ikiwa utapangilia kuishi maisha ya upendo basi ni wazi kwamba tayari umeenza kuishi maisha ya maana na ukidumu katika kujifunza neno la Mungu , utaupata ukweli nao ukweli utakuweka huru.

Kaa na pangilia maisha yako, tafuta ukweli kama unavyotafuta pesa na ndipo ukweli utakuweka huru katika maisha yako.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

 Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ▼  October (29)
      • Maisha Yenye Maana.
      • Wapi Ulipo?
      • Sala Ya Kuomba Amani.
      • Sicho Hicho Ndugu Yangu Unachohitaji.
      • Mwili Wako Ni Zawadi Kwa Wengine.
      • Utabiri Unaonesha Kwamba Wewe Utafurahia Maisha Ka...
      • Unachohitaji Katika Maisha Yako.
      • Kutambua Dalili Za Kujiliwa Kwa Jambo Jipya.
      • Ishi Kwa Kudhamiria Jambo Jema.
      • Ubatizo Ni Nini?
      • Upekee Unagharama Yake Ya Kulipa.
      • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache,...
      • Uogope Woga unaokufanya Uwe Mwoga.
      • Jifunze Kwa Bidii Ili Uwe Huru.
      • Wakati Jama Wakati.
      • Madamu Unayo Leo Unaweza.
      • Viungo Vya Mwili Hufanya Kazi Kwa Ushilikiano.
      • Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.
      • Mwalimu Nyerere Zawadi Ya Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
      • Mambo Ya Kujua Na Kuepuka Ili Kudumisha Furaha Kat...
      • Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadilishe ...
      • Angalia Mbegu Unazokazana Kupanda.
      • Usikazane Kutafuta Raha Katika Maisha Bali Kazana ...
      • Ujumbe Uliobeba Ndani Yako.
      • Kila Mtu Yupo Bize Na Lugha Yake.
      • Mambo Ya Kuyatambua Katika Maisha Lakini Kuzingati...
      • Mwenyezi Mungu Ni Nani?
      • Hata Kama Umezaliwa Kwa Injili Ya Maji Na Roho Una...
      • Tujifunze Kutoka Kwa Panya Na Kuishi Maisha Yenye...
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates