JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, August 8, 2018

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

 Sadick Kilasi     August 08, 2018     NJOZI     No comments   



Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni upendo.

Mambo haya matatu yanapaswa kudumu katika maisha ya mtu yeyote ambaye anapumua. Ukikosa tumaini huna unakokwenda. Ndoto au tumaini ndiyo picha ambayo kila mtu huwa anajijengea katika fikra zake kwamba lazima ipo siku atafika anakotaka kufika.

Imani ndio siraha ya misukosuko. Wote ambao wanamwamini Mungu hutumia nguvu za Mungu katika changamoto zao za maisha. Mungu anataka kila mtu ambaye anamwamini atumie vizuri nguvu zake katika safari ya maisha. Tukitambua haki yetu katika Mungu, basi imani yetu inakuwa na nguvu kubwa sana kwa sababu yeye Mungu hutupigania tu nasi kazi yetu ni kuamini.

Upendo ndio mapito yetu ya kila siku, upendo ni maamuzi yetu tunayofanya kwetu sisi wenyewe na kwa wengine pia. Upendo unasimama katika maamuzi madogomadogo ambayo tunayachukua wakati tunaelekea kwenye tumaini letu.

Mpendwa msomaji, kila mtu anatumaini lakini wapo watu ambao walipambania haki yao na kulifikia tumaini lao, japokuwa mambo yalikuwa magumu. Na ili imani ifanye kazi lazima mambo yawe magumu. Maana imani inafanyakazi penye ugumu.

Katika Biblia yupo mtu anaitwa Bartimayo. Mtu huyu alikuwa kipofu na ni ombaomba lakini bado alikuwa na tumaini.

Jifunze kutoka;
Marko 10:46-52.

Mtu huyu hakupoteza haki yake ya kutaka kupona, licha ya kuwa ombaomba lakini tumaini lake kuu lilikuwa ni kuona.  Wakati Yesu alipokuwa akipita aliuliza kunanini? Watu wakamwambia Yesu anapita hapa; Ndipo Bartimayo aliona fursa na kupaza sauti akitaka kuponywa. Watu walimzuia lakini yeye alikuwa king'ang'anizi, aling'ang'ania tumaini lake, yeye alichokuwa anataka ni kuona licha ya watu kumzua alitambua kwamba wenda wakati huu ukipita sitoona tena labda tumaini langu litapotea. Ndipo alipojitoa kwa nguvu, akatupa vazi lake huko, nakupaza sauti naomba uniponye Mwana wa Daudi, ndipo Yesu akamwambia unataka nikufanyie nini? Bartimayo hakusita kuonyesha haja yake, nataka kuona tena, basi akaponywa.

Mpendwa rafiki, unaweza kusema kwamba labda Bartimayo aliponywa kwa sababu Yesu alikuwa anapita mahali pale lakini nataka nikwambie, Bartimayo alikuwa na ndoto za kuona tena na ndiomaana hakusita kuonyesha anachotaka, kwa sababu ni ombaomba labda kama angekuwa hana tumaini angeomba hata pesa. Tumaini la Bartimayo ni kuona na aliona.

Zakayo mtu mfupi, tumaini lake ni kumwona Yesu. Alifanya kila jitihada mpaka kumwona kwa kupanda juu ya mti. Yesu akamwambia leo nitakuja nyumbani kwako. Alipata na ziada, aliomwona vizuri zaidi.

Jifunze kutoka;
Luka 19:1-10.

SOMA:ONA WEMA KWENYE KILA JAMBO.

Mpendwa rafiki, yawezekana unatumaini sasa weka tumaini lao katika imani kwa Mungu, ishi kwa upendo, hakuna jambo linalomshinda yeye.

Kama bado huna tumaini lolote unapaswa kuwa na tumaini, maana wewe utakuwa mtu ambaye unatembea huku umekufa. Tumaini ndio uhai wa MTU, tumaini ndilo linafanya unajongea. Je, ushawahi kuona maji ambayo hayatembei yanafaa kwa lolote? Huwa yanakuwa yameoza na hayafai kitu. Maji yenye ladha ni yale ambayo hutiririka na mwisho wake ni baharini. Yakifika baharini hayafai kitu.

Kama unatumaini la kuishi maisha ya furaha ndani ya uwepo wa Mungu, kipo kitabu kwaajili yako. Kitabu hiki ni bure kabisa, nitumie ujumbe nikutumie kitabu hiki. Mpoke Bwana Yesu kuwa kiongozi wa maisha yako. Tumaini lenye nguvu.  Jipatie kitabu hichi, UKRISTO NA MAISHA. Nitumie ujumbe nikutumie kitabu bure kabisa.

KUWA NA TUMAINI, tumaini ndiyo uhai wa mtu.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ▼  August (7)
      • Nguvu Mbili Ambazo Hutawala Katika Ulimwengu Huu.
      • Kama Unayo Leo.
      • Katika Shamba La Mabomu
      • Namkumbuka Babu Yangu Babu Yangu Ni Shujaa Wangu.
      • Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.
      • Ona Wema Kwenye Kila Jambo.
      • Je Unataka Kuwa Bingwa Wa Kuwasamehe Watu?
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates