JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, October 12, 2018

Mambo Ya Kujua Na Kuepuka Ili Kudumisha Furaha Katika Maisha Yako.

 Sadick Kilasi     October 12, 2018     KUFURAHIA MAISHA     No comments   

Habari Ndugu yangu?

Kuwa na furaha katika maisha ni kitu kingine na kudumisha furaha uliyonayo ni kitu kingine kabisa. Furaha ambayo naiongelea hapa sio furaha ambayo watu wengi huitafsiri kama furaha, naizungumzia furaha ya kudumu, ambayo mwanzo wake ni amani ya moyo.

Furaha hii ambayo ni ya kweli na halisi huwa inategemea utambuzi na haitegemei kufurahishwa. Kwa mtu mwenye furaha ya kweli sio jambo gumu kwake kutabasamu akiwa peke yake. Mtu huyu huwa hategemei kile ambacho kinaingia kwake bali anategemea kile ambacho anakitoa ndani yake.

Ikiwa huna furaha ya kweli bado hujachelewa, kama upo hai bado una fursa ya kufurahia maisha. Kama bado hujaanza kufurahia maisha jambo la kwanza kulielewa ni hili, Mungu ndiye mwanzo wa mambo yote na unapaswa kupokea kile kitu ambacho anakupatia. Itambue injili ya maji na Roho na hiyo ndiyo funguo ya furaha katika maisha.

SOMA:INJILI YA MAJI NAROHO.

Sasa furaha na amani ndiyo humfanya mtu awe na amani na afanye shughuri zake kwa usahihi bila bughudhi yoyote. Furaha ndiyo nguvu ya kuendelea kufanya lile ambalo unalifanya. Sasa baada ya kupata funguo ya furaha, kuna haja ya sisi kuendelea kuilinda furaha tulionayo. Dunia ambayo tunaishi si makao yetu bali tunapita kwa muda tu kwahiyo unachokipata unapaswa kukilinda kwani hatujaufikia ukamirifu bado kwa hapa tunaishi matumaini yaani furaha ya mbinguni tunaiishi hapa duniani.

Zipo tabia ambazo mhusika ambaye anataka kuwa na furaha ya kudumu anapaswa kuwa nazo. Tabia hizi unapaswa kuishi, furaha itakuja yenyewe bila kusababishwa na kitu chochote kwani Mungu ndiye atakujaza furaha hii.

Kwanza kitu cha kwanza unapwa kuondoa kuabudu miungu mingine. Na kuabudu miungu mingine simaanishi kwamba utaenda kuipigia magoti ama kusujudu, hapana, namaanisha kibanzi ambacho kipo ndani yako. Je! ushawahi kujikuta kana kwamba kwenye dhamiri yako kama kumewekwa kitu ama kunasishwa kitu namna hii, harafu kichwa huwa kinakuwa kizito sana. Kwa hiyo unapaswa kuondoa hicho kitu ambacho kipo ndani yako, wewe ni hekalu takatifu la Mungu.

Kitu hiki husababisha uchungu sana kwa mtu, kuhukumu wengine huleta jambo hili, tamaa ya jambo fulani huleta jambo hili, hofu kubwa huleta jambo hili, kung"ong'a mtu kwa siri huleta jambo hili, na tabia nyingine ambazo hazizingatii kiasi na Elimu ya kiungu.

Hakikisha dhamiri yako inakuwa tupu kabisa, hata kama ulikuwa unafanya jambo zuri sana, kwa mfano; kama ulikuwa unasoma kitu hakikisha unaelewa tu na neno hilo lijazwe ndani mwako siyo kukairiri. Ubongo wako unapaswa kuwa tupu, achilia kila jambo linalokuja. Wewe ni hehalu la Mungu kwa hiyo unaposhikilia kitu fulani unaondoa uwepo wa Mungu ndani yako.

Hii ni amri kuu katika neno la Mungu, Kumbukumbu La Torati, 6:5, Nawe mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote. Hii ni amri kuu katika amri zote, lakini Mungu anakwambia kwamba ondoa kila kitu ndani yako. Kumbukumbu La Torati 7:25-26, Sanamu za kuchonga za miungu yao mtaziteketeza kwa moto; usitamani fedha wala dhahabu iliyo juu yao, wala usitwae iwe yako usije ukanaswa nayo; kwa maana ni chukizo kwa Bwana, Mungu wako; na chukizo usitie ndani ya nyumba yako, usije wewe kuwa kitu cha haramu mfano wake; ukichukie kabisa, na kukikataa kabisa; kwa kuwa ni kitu kirichoharimishwa.

Jambo la muhimu kufahamu katika hili ni kwamba, usiingize vitu vya mwilini na kuviweka ndani ya dhamiri yako. Hakikisha ndani ya dhamiri yako mnakuwa tupu, usihifadhi tumaini lako ambalo ni kubwa kwa kujiuliza itakuwajekuwaje? Jambo la muhimu kwako ni kutambua na kuanza kufanyia kazi yako, tekeleza sasa kwa mwili baada ya dhamiri yako kufika kiroho.

Uwepo. Hii ni changamoto kwa watu wengi kutnza uwepo, yaani mtu kimwili anakuwepo lakini kifikra anatoka na kwenda mbali sana. Usikubali kuingiliwa na jambo lolote katika shughuri zako.
Kumbukumbu La Torati, 12:27, nawe zisogeze sadaka zako za kuteketezwa, nyama na damu, juu ya madhabahu ya Bwana, Mungu wako; na damu ya dhabahu zako uimwage juu juu ya madhabahuya Bwana, Mungu wako, na wewe utakula nyama yake.
Kwa hiyo unapofanya shughuri zako hakikisha unatunza uwepo wako, yaani unajitoa mzimamzima kwa kila kitu. Hii itatunza umilele wako na utajiona mkamirifu yaani hakuna kipande cha wewe ambacho kitakuwa kimetoka kwako ni kama vile kufanya tahajudi. Wanao fanya tahajudi hulifahamu hili.

Luka 11:34, Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote nao unakuwa mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao unakuwa giza.

Sasa ukiona kuna kitu ambacho kimenasa ndani yako, yaani kwenye dhamiri yako, hapa ndipo ambapo unamhitaji Kristo, asafishe dhamiri yako. Wakati wana wa Israeli walipokuwa wananung'unika jangwani Mungu aliachilia nyoka wenye sumu kali wakawauma na kuwauwa lakini maadae walipoona wanakufa wakamwambia Musa, tumetenda dhambi, Musa akamwomba Mungu, Mungu akamwambia Musa atengeneze sanamu ya nyoka ambaye kila mtu atakayetazama atapona. Hivi sasa ameinuliwa Yesu katika msalaba. Nilizungumzia hili kwa undani katika makala hii;

SOMA: HATA KAMA UMEZALIWA UPYA.

Lakini pia usiendekeze tabia ya kuwategemea watu, kwa sababu ukiwategemea watu lazima utaumizwa nao ni hilo ni jambo amekataa kabisa. Maana kuna watu wengi saizi hujisemea wenyewe kwamba bila mtumishi fulani mimi haiwezekani, mpendwa, wewe ni wewe na yeye ni yeye, jifunze tu kwa watu ila tambua hata watu wanakitu cha kujifunza kutoka kwako.

Makala hizi kwa watu ambao wapo makini ni makala za uponyaji kabisa. Amri zozote ambazo Mungu alitoa ni kwaajili yako, inakuhitaji utafakari kwa umakini na kuhakikisha unaelewa uhalisi wake ni nini, ni kitu gani ambacho Mungu alikuwa anakilenga kitu gani. Hata kama jambo unalifahamu jitaidi sana lile neno lisipite kwako bali liwe ndani mwako, kwenye moyo wako. Watu wengi huwa hatufahamu hili kwamba, ukitaja jina Sadick, ndani yake kabeba mambo mengi ambayo unapaswa kuyajua. Mungu amesema, mpende jilani yako kama unavojipenda mwenyewe. Kwa kawaida amri hii inaweza ikawa kama rahisi kuelewa lakini inahitaji utafakari wa ndani zaidi.

Ombo langu Ngudu yangu, makala hizi hakikisha unawasambazia watu wengi zaidi. Ni makala za uponyaji kuanzia kiroho mpaka kimwili. Hata wewe mwenyewe kwenye milango ambayo nimetaja ya Biblia hakikisha unajipa muda kusoma zaidi, mlango mzima kwenye mstari ambao nimetaja. Nakusihi Ndugu yangu, itafakari milango hiyo. Asante.

Sadick Kilasi wa jiolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ▼  October (29)
      • Maisha Yenye Maana.
      • Wapi Ulipo?
      • Sala Ya Kuomba Amani.
      • Sicho Hicho Ndugu Yangu Unachohitaji.
      • Mwili Wako Ni Zawadi Kwa Wengine.
      • Utabiri Unaonesha Kwamba Wewe Utafurahia Maisha Ka...
      • Unachohitaji Katika Maisha Yako.
      • Kutambua Dalili Za Kujiliwa Kwa Jambo Jipya.
      • Ishi Kwa Kudhamiria Jambo Jema.
      • Ubatizo Ni Nini?
      • Upekee Unagharama Yake Ya Kulipa.
      • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache,...
      • Uogope Woga unaokufanya Uwe Mwoga.
      • Jifunze Kwa Bidii Ili Uwe Huru.
      • Wakati Jama Wakati.
      • Madamu Unayo Leo Unaweza.
      • Viungo Vya Mwili Hufanya Kazi Kwa Ushilikiano.
      • Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.
      • Mwalimu Nyerere Zawadi Ya Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
      • Mambo Ya Kujua Na Kuepuka Ili Kudumisha Furaha Kat...
      • Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadilishe ...
      • Angalia Mbegu Unazokazana Kupanda.
      • Usikazane Kutafuta Raha Katika Maisha Bali Kazana ...
      • Ujumbe Uliobeba Ndani Yako.
      • Kila Mtu Yupo Bize Na Lugha Yake.
      • Mambo Ya Kuyatambua Katika Maisha Lakini Kuzingati...
      • Mwenyezi Mungu Ni Nani?
      • Hata Kama Umezaliwa Kwa Injili Ya Maji Na Roho Una...
      • Tujifunze Kutoka Kwa Panya Na Kuishi Maisha Yenye...
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates