JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, October 15, 2018

Viungo Vya Mwili Hufanya Kazi Kwa Ushilikiano.

 Sadick Kilasi     October 15, 2018     KUFURAHIA MAISHA, NJOZI     No comments   

Udhaifu Ndiyo Nguvu Yako.

Vipi kama mwili wote ungekuwa umejaa mfupa mmoja? Je! mwili ungekuwa unaushirikiano? Mwili umejitenga kwa mfumo wa viungo, lakini na maisha nayo yamejitenga kwa mfumo wa viungo. Kubali ukatae, maisha lazima yawe na kiungo na kama hayana kiungo basi hayana ubora ndani yake.

Viungo vya mwili, sehemu ambazo huonyesha kana kwamba ndizo sehemu dhaifu yaani sehemu za jointi, hizo ndizo sehemu ambazo huleta nguvu katika mwili. Na vivyo hivyo katika maisha, sehemu ya changamoto ambayo unaona ni sehemu kana kwamba ni sehemu ya mateso, hiyo ndiyo jointi ambayo inaunganisha  maisha yako kukupeleka katika mafanikio makubwa zaidi.

Ndugu yangu, nyosha mkono wako, harafu jaribu kuukunjakunja, harafu nyosha tena, kaza mkono, kunja ngumi, fanya hivi wakati unasoma hapa. Ndugu yangu, kwa mafano huu mdogo, unaona namna gani ambavyo sehemu dhaifu za jointi zinavofanya mwili uwe na ushirikiano na kuzaa nguvu ya ajabu.

Mapito yako mabaya ndiyo sehemu ya ushindi wako,  mapito  ambayo unahisi yalikuumiza na yanakuumiza kwa sasa, ndiyo sehemu pekee ambayo inakupeleka katika ushindi. Usipopitia ugumu wa maisha utasimlia nini? utajifunza nini juu ya utofauti? Jointi ambayo inakuunganisha wewe na mafanikio ni sehemu zile ambazo unahisi ndiyo sehemu za maumivu.

Usibaki hapo ulipo, ulizaliwa usogee, kama unakua, basi, kua katika kila eneo la maisha yako.

Angalia vidole vyako namna vinavyofanya ushilikiano, angalia miguu yako inavotembea sehemu za jointi ambazo ni sehemu zinazounganisha viungo na viungo, ni sehemu ambazo hazina mfupa lakini ndizo sehemu ambazo zinaunganisha na kusapoti nguvu kati ya kiungo na kiungo. Nakuambia kitu ambacho mwenyewe unacho na ndiomaana nilikwambia dunia haimtupi mwenye mwili, huyo ni mtoto wake. Jifunze kutokana na mwili wako, jiangalie namna mwili ulivotengenezwa.

Fikiria namna gani ambavyo Mungu kakufanya. Husianisha akili yako na matendo yako, chukua hatua. Fikiri namna gani ulivyo jiniasi. Ukitaka kujua wewe ni kiasi gani ni mwenye nguvu na mwenye kasi katika matendo, fikiria unapoungua namna gani akili yako inaweza kujiunganisha na matendo yako. Hivi vyote vinawezekana katika maisha. Mungu aliyefanya mbingu na nchi, wakati wote anasema ombeni nanyi mtapewa.

Ndugu yangu, Paulo anasema usilegee, kaza viuongo vyako, na mimi nasema silegei, nitakaza viungo vyangu, nitahubiri injili, silegei. Wewe ndugu yangu unasemaje?

Angalia namna ambavyo muwa huwa mtamu, lakini kuna kiungo ambacho ni kidogo ambacho hutofautisha utamu na utamu, na hivyo ndivyo maisha yalivyo. Ukiwa upepitia magumu sana utashinda sana. Ukienda safari ya mbali, utarudi kutoka safari ya mbali, ukienda safari ya karibu, utarudi kutoka safari ya karibu. Yesu alisema, mwenye kingi huongezewa.

Haijarishi upo chini kiasi gani? Haijarishi nipo chini kiasi gani? Nikiwa chini sana nahitaji kupanda sana. Mapito yako magumu ndiyo nguvu yako, endapo tu, utajifunza kuona wema kwenye kila jambo, utaishi kwa shukrani kwenye kila eneo la maisha yako. Na hapo ndipo unapotakiwa kujifunza.

Jifunze kutoka kwenye neno la Mungu, ndipo utaelewa mazingira ya maisha unayoishi. Mtegemee Mwenyezi Mungu, uwe na moyo, usikate tamaa, naam, mtegemee Mwenyezi Mungu. Zaburi 27:14.

Maisha ni zawadi ya pekee, tupo duniani tunapita, tunaangalia tumaini letu kuu, la mwisho kabisa ni kuingia Ufalme wa Mungu. Wana wa Israeli walikuwa wanalalamika wakaishia kugongwa na nyoka. Hatulegei, maana tunazidi kuimarika siku baada ya siku, siku baada ya siku. Mungu ndiye ngao yetu na tuzo letu. Tumia uzaifu wako, kukupeleka katika ushindi. ASANTE Mungu awe nawe.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ▼  October (29)
      • Maisha Yenye Maana.
      • Wapi Ulipo?
      • Sala Ya Kuomba Amani.
      • Sicho Hicho Ndugu Yangu Unachohitaji.
      • Mwili Wako Ni Zawadi Kwa Wengine.
      • Utabiri Unaonesha Kwamba Wewe Utafurahia Maisha Ka...
      • Unachohitaji Katika Maisha Yako.
      • Kutambua Dalili Za Kujiliwa Kwa Jambo Jipya.
      • Ishi Kwa Kudhamiria Jambo Jema.
      • Ubatizo Ni Nini?
      • Upekee Unagharama Yake Ya Kulipa.
      • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache,...
      • Uogope Woga unaokufanya Uwe Mwoga.
      • Jifunze Kwa Bidii Ili Uwe Huru.
      • Wakati Jama Wakati.
      • Madamu Unayo Leo Unaweza.
      • Viungo Vya Mwili Hufanya Kazi Kwa Ushilikiano.
      • Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.
      • Mwalimu Nyerere Zawadi Ya Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
      • Mambo Ya Kujua Na Kuepuka Ili Kudumisha Furaha Kat...
      • Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadilishe ...
      • Angalia Mbegu Unazokazana Kupanda.
      • Usikazane Kutafuta Raha Katika Maisha Bali Kazana ...
      • Ujumbe Uliobeba Ndani Yako.
      • Kila Mtu Yupo Bize Na Lugha Yake.
      • Mambo Ya Kuyatambua Katika Maisha Lakini Kuzingati...
      • Mwenyezi Mungu Ni Nani?
      • Hata Kama Umezaliwa Kwa Injili Ya Maji Na Roho Una...
      • Tujifunze Kutoka Kwa Panya Na Kuishi Maisha Yenye...
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates