JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, October 24, 2018

Kutambua Dalili Za Kujiliwa Kwa Jambo Jipya.

 Sadick Kilasi     October 24, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Habari Ndugu yangu?

Dunia inaendeshwa kwa kanuni na mfumo maalumu unaoeleweka. Kila kitu kimepangwa katika sehemu yake. Ndio maana ukiitazama jana utaona ipo sawa tu na leo, lakini ili ufikie leo kulikuwepo na dalili za kuifikia leo. Kila kitu kipo katika mfumo wake unaoeleweka.

Asili huwa inabadilika, na kwa sababu huwa inabadilika basi niwazi kwamba kuna dalili ambazo zinaweza kukutamburisha kujiliwa kwa jambo jipya. Maisha yetu hayabaki katika hali moja bali huwa na mabadiliko, na mabadiliko ambayo huwa yanatokea huwa ndiyo yanafanya maisha yetu yawe hai ama la. Lakini japokuwa mabadiliko haya yanapotokea huupa kuhesabiwa uhai mwili.

Mabadiliko ndiyo yanatufanya tusonge mbele, licha ya kwamba yanatuweka katika hatari ya maisha yetu. Yapo mabadiliko ya aina mbalimbali katika kila eneo la kitu chochote ambacho ni hai kilichopo ndani ya dunia.

Zipo dalili za mabadiliko kwa mtu yeyote katika maisha yake. Dalili hizi huambatana na viashilia fulani. Ikiwa mtu anaamani, upo wakati ambao hufanya mtu akose amani. Zipo dalili ambazo huashilia muunganiko uliopo kati ya tukio la mwanzo na linalofuata. Hii tunaita JOINT ya maisha yako.
Luka 19:41-44, Alipokalibia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia akasema: Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukuzonga pande zote. Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako; hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.

Kuna wakati ambao huwa ni wakati wako. Unaweza kujikuta unafanya jambo fulani bila wewe mwenyewe kujijua lakini hizi zote ni dalili. Dalili ya mchana ni asubuhi, dalili ya usiku ni jioni, dalili ya mavuno ni kukomaa kwa mazao. Kila kitu kina majira yake na kila kitu kina wakati wake. Mungu alifanya hivi kwa kila kitu.

Kama weweni muombaji wa maombi, ushawahi kujiuliza kwanini kuna wakati maombi yako yananza kwa kulalamika, ama kunung'unika, ama kwa shukrani ama kwa kuomba kitu fulani? Kila kitu kinamaana katika maisha, kila dalili inamaanisha kitu. Unapoaza kuomba kwa staili fulani inamanisha hali iliyopo ndani unaiwasilisha kwa nje. Ni vema kulitambua hili mapema li kulipa umuhimu wake na kuomba maombi yanayofanana na wakati husika.

Kumbuka, kila kitu ambacho hufanya mabadiliko inamaanisha kwamba kitu hicho kwa ndani kimebadilika na dalili za mabadiliko ya ndani huanza kuonekana nje wakati mabadiliko hajatimia.

Angalia maisha yako kwa umakini, ikisha unganika na wakati maalumu. Wakati mwingine unaweza kujiona kana kwamba wewe ni mwanafunzi wakati wewe mwenyewe husomi, hizi ni dalili ambazo zinaashili jambo fulani. Ndoto unazoota nazo huashilia mabadiliko.

Kama unavoona dunia inafanya mabadiliko ya hali ya hewa na ndivyo kila kiumbe hupitia hali hiyo. Mti hufanya mambadiliko wakati wake kwa kupukutisha majani na dalili hii huonesha jambo linalofuata kwenye mti huo. Ni muhimu sana kusoma nyakati na dalili za wakati fulani. Mabadiliko ndio uhai wa kiumbe hai lakini pia ikiwa kuna mabadiliko madogomadogo basi ni wazi kuwa lazima kuna mabadiliko ya mwisho ambayo ni makubwa zaidi ambayo haya hutegemea mabadiliko madogo madodo yaliyo ndani yake.

Naandika kitabu cha DUNIA MAMA, HAIMTUPI MWANAYE,  kwenye kitabu hichi nimefafanua kwa undani zaidi juu ya somo hili la dalili na mabadiliko. Pia nimetumia mazingira ya asili tunayoishi ili kujifunza na kuelewa kuishi maana ya maisha. Tunayo zawadi ya mazingira ya vitu, wanyama, wadudu, mimea, watu, historia za matukio, tukiunganisha hivi vyote maisha yetu hayatakosa uelewa pale tu, tutakapokuwa tayari kujifunza.

Yapo mengi katika kitabu hichi ya kujifunza na utajifunza kanuni za asili kabisa za kuishi maisha yenye maana. Wakati Yesu alipouwa anawafundisha watu alitumia mifano ya vitu vya kawaida kabisa ili kuwaelewesha.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 ama sadikila65@gmail.com.





  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ▼  October (29)
      • Maisha Yenye Maana.
      • Wapi Ulipo?
      • Sala Ya Kuomba Amani.
      • Sicho Hicho Ndugu Yangu Unachohitaji.
      • Mwili Wako Ni Zawadi Kwa Wengine.
      • Utabiri Unaonesha Kwamba Wewe Utafurahia Maisha Ka...
      • Unachohitaji Katika Maisha Yako.
      • Kutambua Dalili Za Kujiliwa Kwa Jambo Jipya.
      • Ishi Kwa Kudhamiria Jambo Jema.
      • Ubatizo Ni Nini?
      • Upekee Unagharama Yake Ya Kulipa.
      • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache,...
      • Uogope Woga unaokufanya Uwe Mwoga.
      • Jifunze Kwa Bidii Ili Uwe Huru.
      • Wakati Jama Wakati.
      • Madamu Unayo Leo Unaweza.
      • Viungo Vya Mwili Hufanya Kazi Kwa Ushilikiano.
      • Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.
      • Mwalimu Nyerere Zawadi Ya Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
      • Mambo Ya Kujua Na Kuepuka Ili Kudumisha Furaha Kat...
      • Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadilishe ...
      • Angalia Mbegu Unazokazana Kupanda.
      • Usikazane Kutafuta Raha Katika Maisha Bali Kazana ...
      • Ujumbe Uliobeba Ndani Yako.
      • Kila Mtu Yupo Bize Na Lugha Yake.
      • Mambo Ya Kuyatambua Katika Maisha Lakini Kuzingati...
      • Mwenyezi Mungu Ni Nani?
      • Hata Kama Umezaliwa Kwa Injili Ya Maji Na Roho Una...
      • Tujifunze Kutoka Kwa Panya Na Kuishi Maisha Yenye...
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates