JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, October 14, 2018

Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.

 Sadick Kilasi     October 14, 2018     KUFURAHIA MAISHA     No comments   

Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.

Tupo duniani na dunia ndiyo Mama yetu ambaye anatutunza. Mungu aliifanya dunia ili itutunze na kamwe dunia haiwezi kumtupa mwenye mwili. Ardhi ya dunia hii na vitu vya asili yake, siku zote za maisha havibadiliki hata binadamu ajaribu kubadilika vipi, mambo yapo vile vile. Dunia Mama haimtupi mwenye mwili, ndio unaweza kusema kwani, jinsi Mungu alivyoiumba dunia ilikuwa ni kwaajili ya kumsaidia mwanadamu.

Mazingira ya dunia yatabaki vile vile hata kama ukiyasaliti bado, asili ile itabaki vile vile na inakusubiri wewe ufikiri kwa njia ya shukrani ili upate yaliyo mema ya dunia. Miti, mito, wanyama, wadudu na kila aina ya viumbe hai na visivyo hai ni zawadi kwa yeyote mwenye mwili hapa duniani.

Unaweza kuichukia dunia, unaweza kuanza kutangatanga kama Kaini lakini bado utakuwa ndani ya dunia na dunia inakusubiri utubu tu wewe mwenyewe kwa kukubali kwamba upo duniani na zipo kanuni za dunia ambazo unapaswa kufuaata. Unaweza usikubali mazingira unayoishi kwa kutazama mbele tu, usiweze kutazama chini ya miguu yako ulipokanyaga ili kuona vizuli ni kitu gani kilichokuzunguka, uone namna mama dunia anavokujali na kukupenda.

Mama yetu dunia yupo vilevile, lakini mwanadamu hurusha macho mbali sana na asikubali pale alipokanyaga kwamba panamlinda na pana fursa za kufanya kila kitu ambacho anataka kufanya. Ukitazama mbali unaweza kuona kule mbali ni bora kuliko ulipo lakini ukweli ni kwamba dunia ni ileile tu, ukikufikia unaotazama unaweza usikubali pia.

 Dunia haimtupi mwenye mwili, mazingira ambayo yalikuwa yameandaliwa yalikuwa ni kwa sababu ya mwenye mwili. Kila maeneo yana asili kutokana na mwenye mwili wa eneo hilo, ukienda jagwani, utakuta michanga mitupu basi, wanaoishi huko ni watu wa asili ya huko na wenye kumdu asili ya huko. Ukienda majini, utakuta samaki na wadudu wa majini, basi, nao huishi kutokana na asili ya majini. Mbugani ni kwaajili ya wanyama wa mbugani, nyumbani ni kwaajili ya wanyama wa nyumbani. Hivi ndivyo tunavyoishi dunia mama yetu wenye mwili anatulea namna hiyo. Hakuna mwenye mwili anayetupwa, hakuna mwenye mwili anayekataliwa, wenye mwili wote huishi kufuatana na asili yake.

Mwanadamu mwenye mwili amepewa anazawadi zaidi ya wenye mwili wengine na zawadi yenyewe ni kufikiri zaidi ya wenye mwili wengine. Sio kwamba wenye mwili wengine hawafikiri, wanafikiri sana na ndiomaana wanaweza kuhendo mazingira wanayoishi, lakini mwanadamu amepewa ufikiri zaidi ya wengine yaani amezidishiwa ubunifu. Hii ni zawadi kubwa sana kwa mwanadamu kati ya wenye mwili, anaweza kuhendo mazingira yeyote yale anayoishi kwa sababu ya utambuzi wa kufikiri.

Hii ni zawadi kwa mwanadamu kwani anaweza kuelewa mazingira anayoishi, Paulo alisema, mimi nafurahia kila mazingira ninayopitia kwa naelewa kila jambo, liwe gumu ama la. Natambua kupitia magumu na wakati mzuri. Hivi ndivyo maisha yanakuwa yenye maana kwa kila mwanadamu. Unapokuwa unatafakari mazingira uliyopo na kuyaelewa inakuwa ni rahisi kuishi kwa utambuzi wa kueleweka.

Kwa Mwanadamu kila kitu ni zawadi yake, anaweza kuangalia kitu chochote kile na kutengeneza chochote anachotaka. Usishangazwe kuona kwamba, taa iliigwa mfano wa mwezi, gari iliigwa mfano wa ng'ombe na mengine mengi sana. Hivi ndivyo tunasema, dunia haimtupi mwenye mwili.

Unaweza ukafikiri huna pa kuanzia lakini ukikubali mazingira yanayokuzunguka ni wazi kwamba utaona kila jambo ambalo linakuzunguka ni la kwako wewe, yaani hiyo ni zawadi yako. Watu mimea, ardhi, wadudu, ndege  na kila aina ya kinachokuzunguka. Tulipewa amri ya kwenda kutawala viru vyote vya dunia na si kumiliki. Kwa sababu hiyo, kama kila kitu tunaweza kukitambua basi, ni wazi kwamba tunaweza kufanya jambo lingine linalofanana na lile jambo bila kuadhiliwa na lile jambo uliloliiga. Ukimiriki kitu unajipunguzia vya kutawala na ukimiriki kitu unakuwa chini ya hicho kitu lakini ukitawala vitu vyote vinakuwa chini yako.

Popote pale ulipo, umezungukwa na mazingira, unaweza ukafanya jambo lolote ambalo litakupatia faida na kuendelea kufurahia mazingira uliyopo na kuwa mmoja wa mtumiaji mzuri wa mazingira. Tazama mazingira uliyopo harafu fikiria kishukrani, ona namna ambavyo umepewa na Mungu kila kitu ambacho kitakufanya uendelee mbele.

Dunia Mama haimtupi mwenye mwili, usiikatae dunia, dunia haiwezi kukusikia kwa sababu unaenda nje ya asili yake na siku ukifa kwa sababu hutakkuwa na uwezo wa kuikataa itakupokea kama mtoto wake na kukuhifadhi chini ya ardhi. Anza kukubari mazingira unayoishi, anza kuona wema kwenye kila jambo katika mazingira unayoishi, usikubali kuwa mkimbizi kama Kaini mwenye tamaa, kubali kila jambo na mrudishie shukrani Mwenyezi Mungu maana yeye ndiye Muumba wa kila kitu.

Ukawe na siku bora ukimrudishia shukrani Mungu kwenye kila jambo, jifunze kwenye kila jambo harafu uone namna siku ya leo itakavyokuwa siku bora kuwahi kutokea, wewe shukuru kweny kila jambo, chochote ambacho utakishika rudisha shukrani kwa Mungu haijarishi ni kitu gani na ni kidogo kiasi gani. Utaona mabadiliko ndani yako, utaona ufikiri wa tofauti. Harafu siri nyingine ya kumwomba Mungu jambo unalolitaka ni kukubali kwanza vitu ambavyo tayari amekwisha kupatia.
ASANTE.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ▼  October (29)
      • Maisha Yenye Maana.
      • Wapi Ulipo?
      • Sala Ya Kuomba Amani.
      • Sicho Hicho Ndugu Yangu Unachohitaji.
      • Mwili Wako Ni Zawadi Kwa Wengine.
      • Utabiri Unaonesha Kwamba Wewe Utafurahia Maisha Ka...
      • Unachohitaji Katika Maisha Yako.
      • Kutambua Dalili Za Kujiliwa Kwa Jambo Jipya.
      • Ishi Kwa Kudhamiria Jambo Jema.
      • Ubatizo Ni Nini?
      • Upekee Unagharama Yake Ya Kulipa.
      • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache,...
      • Uogope Woga unaokufanya Uwe Mwoga.
      • Jifunze Kwa Bidii Ili Uwe Huru.
      • Wakati Jama Wakati.
      • Madamu Unayo Leo Unaweza.
      • Viungo Vya Mwili Hufanya Kazi Kwa Ushilikiano.
      • Dunia Mama Haimtupi Mwenye Mwili.
      • Mwalimu Nyerere Zawadi Ya Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
      • Mambo Ya Kujua Na Kuepuka Ili Kudumisha Furaha Kat...
      • Unabadilisha Nguo Kila Siku, Kwanini Usibadilishe ...
      • Angalia Mbegu Unazokazana Kupanda.
      • Usikazane Kutafuta Raha Katika Maisha Bali Kazana ...
      • Ujumbe Uliobeba Ndani Yako.
      • Kila Mtu Yupo Bize Na Lugha Yake.
      • Mambo Ya Kuyatambua Katika Maisha Lakini Kuzingati...
      • Mwenyezi Mungu Ni Nani?
      • Hata Kama Umezaliwa Kwa Injili Ya Maji Na Roho Una...
      • Tujifunze Kutoka Kwa Panya Na Kuishi Maisha Yenye...
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates