JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, March 13, 2018

Ushahidi Huu Hapa Unaonyesha Wewe Ni Mtaalamu Wa Kupalilia Matatizo.

 Sadick Kilasi     March 13, 2018     MAHUSIANO, TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI, hongera kwa ushindi mkubwa ambao Mwenyezi Mungu kakushindia, mimi na wewe mpendwa wangu tumebahatika kuifikia siku hii ya leo. Wapo wengi ambao waliiwekea malengo na mipango siku hii lakini hawajabahatika kuiona wala kuifikia.  Neema na rehema za Mwenyezi Mungu zimetufikisha hapa. Hatuna cha kumlipa Mungu sisi zaidi ya kukazana kuzifuata sheria zake na kumrudia yeye maana anatupenda kwelikweli. Pendo lake halina mipaka kwetu anatupenda tu sisi.

Mpendwa msomaji, katika hii dunia matatizo yapo kwaajili yetu, sisi ndiyo tumekuwa ni vyanzo vya matatizo. Tumeifanya dunia ni kwamba ni sehemu ya vurugu na kusababisha migogoro mbalimbali. Leo nataka nikuonyeshe namna gani unasababisha matatizo hata kama wewe unajiita mtu mwema, lazima ujitambue ya kwamba wewe ni chanzo cha migogoro.

-Kuna msemo unaosema dawa ya moto ni moto. Huu ni msemo ambao tumekuwa tunautumia kulipiza visasi, sasa ndungu yangu kama moto ukiendelea kuochochea unafikiri mwisho itakuwa nini? Si majanga matupu, kama ukikosewa jitafakari kwanza wewe mwenyewe, jihukumu kwanza wewe mwenyewe, usikimbilie kuangalia nje yako nani aliyekukosea, kumbuka wewe ndio chanzo, yaani uwepo wako tu haijalishi hukufanya lolote tayari wewe ndiyo chanzo, kwahiyo jihukumu kwanza wewe kisha ndo useme dawa ya moto ni moto. Leo naomba nikupe siri moja rafiki yangu wewe ambaye unapenda sana kulipa visasi, dawa ya moto ni kuuzima, ukipiga kelele penye kelele husikiki ng'o. Kumbuka hili siku zote.

-Unapotoroka changamoto. Katika hali ambayo siyo ya kawaida sisi ni wataalamu sana na kutoroka changamoto zetu, sasa kwa bahati mbaya au nzuri tupo kwenye kizazi cha neema, hiki ni kwamba ukikosea tu hukumu inaanza hapo hapo. Mpendwa wangu, hukumu imeanza tayari hapa hapa duniani, kama ulifikiri mpaka ufe ndio hukumu itaanza hapana, hapa hapa unakata tiketi na kujijua kabisa ya kwamba utaenda motoni. Ulishawahi kujiuliza hofu na woga vinasababishwa na nini? Ni kujaribu kutoroka matatizo, unaanza kuhukumiwa mapema na kusababisha maumivu kwenye maisha yako. Kutoroka matatizo ni kupalilia matatizo.

-Kupenda mambo ya anasa. Kuna watu ni wapaliliaji wazuri sana wa matatizo,  wanapenda burudani kuliko furaha, wanamapenzi sana kuliko upendo. Kupenda anasa ni kupalilia matatizo, tunaibua matatizo ambako yamejificha huko kwa tamaa zetu, tunapenda burudani ambazo siku zote zinabomoa, hakuna burudani inayojenga zaidi ya kubomoa tu, tafuta furaha, usitafute burudani.

-Tamaa na ubinafsi. Tamaa yako inakuonyesha wewe ni mtaalamu wa kupalilia matatizo. Kupenda mambo yawe kama wewe unavotaka ni kupalilia matatizo. Kuna mambo yapo na lazima ukubali kama yalivo huna haja ya kusumbuka nayo, utaumia bure kabisa, kutaka mwenzako afanye kama inavotaka wewe ni kupalilia matatizo, kusubili mwenzako ajishushe wakati amekukosea ni kupalilia matatizo, kwahiyo lazima ujiulize vizuri kabisa mpendwa wangu, ya kwamba hiki kitu kipo chini yangu au chini ya uwezo wangu, ndo ujue namna ya kufanyia kazi.

Mpendwa msomaji,  sisi ndio vyanzo vya matatizo, watu sio wabaya, ubaya upo kwako wewe unaye uona, Mwalimu Deo Kessy, ametuonya ya kwamba tuache kabisa kupenda mambo ya giza, mambo hayo ni mabaya, ni kupalilia matatizo, unajiweka kifungoni mwenywe, hukumu inaanza kwako mapema kabisa, tuache uongo ni kupalilia matatizo, ubinafsi, hiki ni kipindi cha neema, hukumu inaanza hapo hapo ukikosea na ndo unakuwa unajikatia tiketi ya kwenda motoni, ubinafsi wako usikupeleke motoni.

Endelea kutembelea blogu hii ili kujifunza zaidi. OMBI: Nisaidie kuwashirikisha wengine ili ujumbe huu uwafikie wengi zaidi.

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ▼  March (33)
      • Kipi Kinakusukuma Kukua?
      • (SEHEMU YA PILI). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwen...
      • Hiki Hapa Ndo Chanzo Kikuu Cha Msongo Wa Mawazo.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi....Kutaka Kunauumiza.
      • Hakuna Wakati Sawa Wakufanya Kitu Hiki.
      • (SEHEMU YA KWANZA). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwe...
      • Usifanye Maamuzi Yoyote Unapokuwa Katika Hali Hii.
      • Wakati Ukifika Mambo Yanabadilika.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi...Tuumalize Ubaya Hivi.
      • Huwezi Kubaki Salama Kabisa.
      • Majaribu Hayana Budi Kuwepo.
      • Mamlaka Juu Ya Mwingine, Kosa La Aibu La Kughushi....
      • Dunia Na Mashindano, Upacha Ni Utofauti Tu.
      • Tumeumbwa Kukua Kutoka Hatua Moja Kwenda Hatua Nyi...
      • Jihakikishie Kitu Hiki Siku Zote Katika Maisha Yako
      • Hapa Ndipo Mwanzo Wa Matatizo Yote Ulimwenguni.
      • Kwa Vyovyote Ulivyo, Jitofautishe Kwa Jambo Zuri....
      • Kila Kitu Kinahitaji Subira, Je Unataka Kuwa Gaidi...
      • Kama Unataka Maisha Yako Yawe Bora, Basi Yakupasa...
      • Ushahidi Huu Hapa Unaonyesha Wewe Ni Mtaalamu Wa K...
      • Unanjaa Na Kiu Ya Kitu Gani?
      • Kuna Watu Wanakupenda Wewe.
      • Maisha Yanakuwa Magumu Kwa Maskini Na Matajiri Una...
      • Je Ulipo Upo?
      • Adhabu Tunayopewa Baada Ya Kuvunja Sheria Ya Asili...
      • Tunapohisi Wengine Wanatutendea Ubaya.
      • Tunaona, Tunasikia, Tunashuhudia, Tofauti.
      • Acha Kuteswa Na Mambo Yaliyopita.
      • Hizi Ndizo Sababu Zinazopelekea Kuwa Na Chuki Na ...
      • Fanya Kitu Hiki Unapokutana Na Upinzani Wakati Una...
      • Hiki Ndicho Kitu Ambacho Huwa Kinakunyima Furaha S...
      • Hawa Ndio Watu Ambao Tunaweza Kujifunza Kutoka Kwao.
      • Maisha Bado Yanaendelea Na Hayasikii Kelele Zako.
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates