JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, March 15, 2018

Kila Kitu Kinahitaji Subira, Je Unataka Kuwa Gaidi Wa Kila Kitu ?

 Sadick Kilasi     March 15, 2018     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, NJOZI, UJASIRIAMALI     No comments   

Maisha ambayo hayana subira ni maisha ambayo yanakosa mwelekeo. Ukikosa subira utafanya vitu vingi kwa wakati mmoja na bado hutofikia malengo yako. Maisha kwako yatakuwa ni maumivu kila siku. Subira ni uwezo wa kuvumilia kwa kitambo na bila kuumizwa na jambo lolote.

Ugaidi ni kitendo cha kudhibiti au kukabili jambo kwa nguvu kwa matakwa yako bila ya kuwa na subira. Ugaidi huwa unajalibu kulazimisha jambo ambalo linahitaji kuwa na subira.

Ukweli ni kwamba zana hizi tumekosa subira na uvumilivu na tumekuwa magaidi wa kila kitu, kwetu maisha ni masumbuko ni kwaajili ya kufanya kila kitu kwa kujaribu kulazimisha, watu wamekuwa magaidi mpaka kwenye biashara zao, wanaanza leo kesho wanataka kupata faida, biashara inahitaji uvumilivu na muda lakini sisi tunataka mambo yawe haraka haraka kama sisi tunavotaka. 

Unaweza pia ukawa unafanya jambo ambalo linahitaji subira kidogo, kwa mfano, unahitaji kufungua chupa tu ya maji, sasa kutokana na kukosa subira chupa inakuwa imefungwa vizuri sasa unashindwa kufungua, ukikosa subira itakuwa ni maumivu kwako, utamlaumu weee aliyetengeneza chupa hiyo na wewe kupoteza furaha yako. Kukosa subira ni ugaidi, unapojaribu kukabili kila kitu kwa nguvu zako huo ni ugaidi.

Mpendwa msomaji, watu wengi kwa sasa tunachangamoto nyingi sana za kukosa subira. Kila jambo ambalo mtu anafanya anatafuta njia ya kumaliza hapohapo, watu tumekosa uvumilivu na subira, tunapendezwa na matokeo na hatutaki kulipa gharama, kila kitu kina gharama yake, lazima uwe tayari kulipa ili ufikie kule unakotaka kufika.

Acha kuwa gaidi wa kila kitu, kuwa na subira, lipa gharama, pata unachotaka. Kumbuka kuishi falsafa ya mti, mazizi yako lazima iende chini sana na ndio msingi wenyewe, shina ndio nguzo yenyewe na matawi ni mazao ya kazi yako. Usiache maneno yetu ya mwaka 2018, kuwa$fanya#pata.

Endelea kutembelea blogu hii ili kujifunza zaidi.

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com. 
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ▼  March (33)
      • Kipi Kinakusukuma Kukua?
      • (SEHEMU YA PILI). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwen...
      • Hiki Hapa Ndo Chanzo Kikuu Cha Msongo Wa Mawazo.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi....Kutaka Kunauumiza.
      • Hakuna Wakati Sawa Wakufanya Kitu Hiki.
      • (SEHEMU YA KWANZA). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwe...
      • Usifanye Maamuzi Yoyote Unapokuwa Katika Hali Hii.
      • Wakati Ukifika Mambo Yanabadilika.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi...Tuumalize Ubaya Hivi.
      • Huwezi Kubaki Salama Kabisa.
      • Majaribu Hayana Budi Kuwepo.
      • Mamlaka Juu Ya Mwingine, Kosa La Aibu La Kughushi....
      • Dunia Na Mashindano, Upacha Ni Utofauti Tu.
      • Tumeumbwa Kukua Kutoka Hatua Moja Kwenda Hatua Nyi...
      • Jihakikishie Kitu Hiki Siku Zote Katika Maisha Yako
      • Hapa Ndipo Mwanzo Wa Matatizo Yote Ulimwenguni.
      • Kwa Vyovyote Ulivyo, Jitofautishe Kwa Jambo Zuri....
      • Kila Kitu Kinahitaji Subira, Je Unataka Kuwa Gaidi...
      • Kama Unataka Maisha Yako Yawe Bora, Basi Yakupasa...
      • Ushahidi Huu Hapa Unaonyesha Wewe Ni Mtaalamu Wa K...
      • Unanjaa Na Kiu Ya Kitu Gani?
      • Kuna Watu Wanakupenda Wewe.
      • Maisha Yanakuwa Magumu Kwa Maskini Na Matajiri Una...
      • Je Ulipo Upo?
      • Adhabu Tunayopewa Baada Ya Kuvunja Sheria Ya Asili...
      • Tunapohisi Wengine Wanatutendea Ubaya.
      • Tunaona, Tunasikia, Tunashuhudia, Tofauti.
      • Acha Kuteswa Na Mambo Yaliyopita.
      • Hizi Ndizo Sababu Zinazopelekea Kuwa Na Chuki Na ...
      • Fanya Kitu Hiki Unapokutana Na Upinzani Wakati Una...
      • Hiki Ndicho Kitu Ambacho Huwa Kinakunyima Furaha S...
      • Hawa Ndio Watu Ambao Tunaweza Kujifunza Kutoka Kwao.
      • Maisha Bado Yanaendelea Na Hayasikii Kelele Zako.
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates