JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, March 6, 2018

Acha Kuteswa Na Mambo Yaliyopita.

 Sadick Kilasi     March 06, 2018     NJOZI     No comments   

Siku zote nimekuwa nikianza kuandika kwa kusema, "ni siku nyingine tena mpya", ni maneno ambayo nimekuwa nikianza nayo katika uandishi, ni maneno machache lakini huwa naamini ya kwamba, kila siku kwetu ni mpya ni zawadi kubwa sana kwetu.

Katika maisha tumekuwa tukipitia mapito mbalimbali lakini pale ulipo sasa ndipo penye thamani kubwa kuliko kwenye kumbukumbu ya mapito na siku ambayo unaitalajia kuifikia, siku ya kesho.

Mpendwa msomaji, inawezekana umepitia mapito mabaya ya kukuumiza na ya kukutesa lakini sasa unatakiwa kuanza siku mpya hii ya leo ukiwa tayari umejitangazia ushindi mkubwa na endelea kusonga mbele bila kujali mapito yako na changamoto ulizopitia huko nyuma.

Mpendwa msomaji, kama tayari umesha fanya maamuzi ya kusonga mbele lazima ukatae kabisa kuteswa na mapito yako, lazima ujitoe kikamirifu katika kusonga mbele na usigeuke nyuma. Mpendwa msomaji, mke wa Luthu aligeuka nyuma akawa jiwe, Yesu alimwambia mtu ambaye alitaka kwenda kumzika  baba yale ya kwamba wawaache wafu wajizike wenyewe. Mwalimu Nyerere alikuwa anawasimulia watu katika hotuba zake, stori moja, kuna mwanamke mmoja mzuri ambaye alikuwa sehemu moja ya mlima, na chini ya mlima kabla ya kuufikia mlima huo kulikuwa na bibi kizee, sasa wanaume wengi walitamani sana sana kumwona huyo mwanamke huyo mzuri, changamoto ilikuwa ni kwamba kabla hujamfikia huyo mwanamke kulikuwa na sauti kali sana ambazo zinakuzomea, huyo!! huyo!!!!!huyo!!!  auawe!!!, ni sauti ambazo ziliwatesa wengi sana ambao walitamani kumwona yule mwanamke mzuri na ukisikia sauti na ukigeuka nyuma basi wewe unageuka jiwe. Basi kulikuwa na kijana mmoja ambaye yeye alijitoa kweli kweli, akamwambia yule bibi kizee, bibi mimi nataka kwenda kumwona huyo nwanamke mzuri, bibi akamwambia we kijana mdogo wenzako wameenda huko wengi wamegeuka mawe na wewe unataka kugeuka jiwe? Kijana akamwambia akamwambia bibi nataka nikanwone huyo mwanamke, bibi akamwambia haya nenda lakini jilinde na sauti hizo na usigeuke nyuma, kijana akaenda, huyo!!! huyo!!!auawe!!!auawe!!! Sauti ilikuwa kali kadili anavyosonga mbele, lakini kijana hakugeuka nyuma na akamfikia mwanamke. Mwanamke akamwambia kwa sababu wewe ni wa kwanza kunifikia wengine waligeuka nyuma basi wewe utakuwa mme wangu.

Mpendwa msomaji, nimekuonyesha mifano mitatu, inayoonyesha namna gani mapito yalivo nauwezo wa kukufanya usiendelee mbele, mifano hii ni funzo kubwa sana, usirudi nyuma lazima kwa hiyali yako useme nitasonga mbele, NITASONGA  MBELE bila kujali nimepitia katika hali gani, ni kusudi lako tu kuamua kwenda mbele na kuyafikia mafikio unayotaka bila kipingamizi chochote.

Kelele ni nyingi, wapo ambao watasema huwezi, lakini wewe ishi sasa na kusema mimi ni mshindi, kunawakati wewe mwenyewe utasema, hapa siwezi lakini lazima ujipe moyo na kusema mimi ni mshindi. Anza siku mpya kwa ushindi mkumbwa,  kataa kuteswa na mapito yako, hiyo ni njia uliyopitia tu.

Endelea kutembelea blogu hii ili kujifunza zaidi.

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.



  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ▼  March (33)
      • Kipi Kinakusukuma Kukua?
      • (SEHEMU YA PILI). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwen...
      • Hiki Hapa Ndo Chanzo Kikuu Cha Msongo Wa Mawazo.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi....Kutaka Kunauumiza.
      • Hakuna Wakati Sawa Wakufanya Kitu Hiki.
      • (SEHEMU YA KWANZA). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwe...
      • Usifanye Maamuzi Yoyote Unapokuwa Katika Hali Hii.
      • Wakati Ukifika Mambo Yanabadilika.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi...Tuumalize Ubaya Hivi.
      • Huwezi Kubaki Salama Kabisa.
      • Majaribu Hayana Budi Kuwepo.
      • Mamlaka Juu Ya Mwingine, Kosa La Aibu La Kughushi....
      • Dunia Na Mashindano, Upacha Ni Utofauti Tu.
      • Tumeumbwa Kukua Kutoka Hatua Moja Kwenda Hatua Nyi...
      • Jihakikishie Kitu Hiki Siku Zote Katika Maisha Yako
      • Hapa Ndipo Mwanzo Wa Matatizo Yote Ulimwenguni.
      • Kwa Vyovyote Ulivyo, Jitofautishe Kwa Jambo Zuri....
      • Kila Kitu Kinahitaji Subira, Je Unataka Kuwa Gaidi...
      • Kama Unataka Maisha Yako Yawe Bora, Basi Yakupasa...
      • Ushahidi Huu Hapa Unaonyesha Wewe Ni Mtaalamu Wa K...
      • Unanjaa Na Kiu Ya Kitu Gani?
      • Kuna Watu Wanakupenda Wewe.
      • Maisha Yanakuwa Magumu Kwa Maskini Na Matajiri Una...
      • Je Ulipo Upo?
      • Adhabu Tunayopewa Baada Ya Kuvunja Sheria Ya Asili...
      • Tunapohisi Wengine Wanatutendea Ubaya.
      • Tunaona, Tunasikia, Tunashuhudia, Tofauti.
      • Acha Kuteswa Na Mambo Yaliyopita.
      • Hizi Ndizo Sababu Zinazopelekea Kuwa Na Chuki Na ...
      • Fanya Kitu Hiki Unapokutana Na Upinzani Wakati Una...
      • Hiki Ndicho Kitu Ambacho Huwa Kinakunyima Furaha S...
      • Hawa Ndio Watu Ambao Tunaweza Kujifunza Kutoka Kwao.
      • Maisha Bado Yanaendelea Na Hayasikii Kelele Zako.
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates