JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, March 28, 2018

(SEHEMU YA KWANZA). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu. (II).Kilicho Andikwa Na Paul C. Jong.

 Sadick Kilasi     March 28, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   

U hali gani mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI? Natumai unaendelea vizuri. Karibu nikushirikishe mambo machache kati ya mengi ambayo nimejifunza kutoka kwenye kitabu cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu. (II). Hii ni sehemu ya kwanza ya uchambuzi.

Nimefanikiwa kupata kitabu hichi cha sehemu ya pili ikiwa ni mwendelezo wa kitabu cha kwanza lakini sijabahatika kukipata cha sehemu ya kwanza. Nimejifunza mengi sana kutoka kwenye kitabu hiki. Ni kitabu ambacho kimeanzia sura ya saba kutoka kwenye kitabu cha mwanzo yaani kitabu cha kwanza.  Kitabu hiki kina sura kumi na kurasa minne sabini na moja, kwahiyo pamoja na kuwa ni mwendelezo lakini ni kitabu kikubwa.

Kitabu hichi kinazungumzia maswala ya imani juu ya Mungu. Mwandishi amejaribu kuchambua vizuri kabisa juu ya imani kupitia kitabu cha Warumi. Mwandishi wa kitabu cha Warumi ambaye ni yule msomi Paulo ameonesha namna gani ambayo alipokea injili ya maji na roho. Mwandishi wa kitabu hiki cha Bwana Wetu Aliyefanyika Haki Ya Mungu ametuonyesha namna gani Paulo avyokuwa anaachilia mbali haki yake na badala yake kuamini katika Mungu.

Karibu nikushirikishe yale niliyojifunza kutoka kwenye kitabu hiki.

1. Kila mtu ambaye anayaelekeza mawazo yake kwa kuamini katika haki ya Mungu basi anaweza kuipata haki hiyo na kuamini sasa hivi. (jifunze kutoka Warumi 1:17).

2.Haki ya Mungu tunaipata si kwa kuamini kwamba tunaifahamu bali tunapoiamini haki ya Mungu hakika tutafurahia baraka za kiroho.

3.Wale ambao wameifia dhambi hawapo tena chini ya himaya ya dhambi. Kama ambavyo mwanamke aliyefiwa na mume wake jinsi alivyo huru toka katika majukumu yake kwa mumewe. (Warumi 6:23).

4. Dhambi inadhihirika kwa sheria, sheria ndiyo inayofanya dhambi iwepo.

5.Mungu katuumba katika hali ya ukamirifu katika uhalisia wetu lakini tumezaliwa katika asili ya dhambi, asili yetu imejaa dhambi. Asili hii ni Wazazi wetu kutoka kwa Adam na Hawa.

6.Kuungana katika haki ya Mungu itatupasa kuamini kupitia Kristo Yesu na kujiunganisha naye kupitia maandiko matakatifu.

7. Mwanadamu ana sehemu mbili za uwepo. Moja ni mwili na nyingine ni moyo. Mwili hauwezi kuifikia haki ya Mungu hata kama ukijitaidi vipi na kwa kiasi gani. Pia hawezi kuitunza na kuishika sheria ya Mungu. Hata baaada ya kuzaliwa upya mwili hauwezi kuitunza sheria hii hata kama ukijitaidi kwa kiasi gani. (Warumi 4:15)

8.Ukweli ni kwamba hatuwezi kumtimikia Mungu kwa miili yetu hata baada ya kuzaliwa upya lakini kwa imani na tumpe shukrani Mungu kwa mioyo au moyo wako wote kwa upendo wake. Basi kwa kufanya hivyo mwili unakuwa kama chombo kinachofuata imani.

9.Pamoja na kuwa na miili yetu kuwa na mapungufu mengi sana lakini Mungu ametupenda na kutufanya sisi wenye haki.

10.Wakati mwingine huwa tinajikwa kwa miili yƩti lakini Bwana wetu Mungu yeye hatuwazii mabaya na bado anatupenda. Anasema yeye ni mwokozi wetu tusifadhaike.

11. Ukweli ni kwamba wakati mwingine tunajikwaa na tunatenda dhambi na tunajikwaa tena basi sheria ya Mungu huinuka juu yetu na ndipo tunapovutwa zaidi kutenda dhambi na kujiona ni wadhaifu sana. Miili yetu inaenenda katika tamaa yake. Kwa hiyo mwili kamwe hauwezi kufuata Mungu.

12. Kufuata haki yako mwenyewe au tamaa yako ya mwili unaweza kupata furaha kwa muda na kisha furaha yako inaondoka mapema. Ohoooo !!  sasa hivi nilikuwa na furaha sasa furaha yangu iko wapi?  Mtu huyo anakuwa anajitegemea mwenyewe.

Mpendwa msomaji, unataka furaha ya kudumu katika maisha?  Je unapenda kubadilisha maisha yako?  Je umechoka kupata furaha kwa muda na kupoteza mara moja?  Usikose uchambuzi ambao nitakushirikisha mengi muno ju ya maisha yetu na imani. Watu wengi wanateseka katika maisha yao, wengi wao ni wale ambao wamesha ijua sheria ya Mungu, wanateseka kutokana na kutokujua haki yao na wanajitegemea wenyewe. Usikose sehemu ya pili ya uchambuzi huu.

Washirikishe wengine makala hii nzuri ili iwe msaada kwao. Toa maoni yako au nitumie ujumbe kwenye namba hii 0687000768 au tuma ujumbe kwa barua pepe sadikila65@gmail.com, nitakujibu rafiki yangu.

Ukawe na tafakari njema juu mafunzo haya na endelea kutembelea blogu hii kujifunza zaidi.

Wako Sadick Kilasi.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ▼  March (33)
      • Kipi Kinakusukuma Kukua?
      • (SEHEMU YA PILI). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwen...
      • Hiki Hapa Ndo Chanzo Kikuu Cha Msongo Wa Mawazo.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi....Kutaka Kunauumiza.
      • Hakuna Wakati Sawa Wakufanya Kitu Hiki.
      • (SEHEMU YA KWANZA). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwe...
      • Usifanye Maamuzi Yoyote Unapokuwa Katika Hali Hii.
      • Wakati Ukifika Mambo Yanabadilika.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi...Tuumalize Ubaya Hivi.
      • Huwezi Kubaki Salama Kabisa.
      • Majaribu Hayana Budi Kuwepo.
      • Mamlaka Juu Ya Mwingine, Kosa La Aibu La Kughushi....
      • Dunia Na Mashindano, Upacha Ni Utofauti Tu.
      • Tumeumbwa Kukua Kutoka Hatua Moja Kwenda Hatua Nyi...
      • Jihakikishie Kitu Hiki Siku Zote Katika Maisha Yako
      • Hapa Ndipo Mwanzo Wa Matatizo Yote Ulimwenguni.
      • Kwa Vyovyote Ulivyo, Jitofautishe Kwa Jambo Zuri....
      • Kila Kitu Kinahitaji Subira, Je Unataka Kuwa Gaidi...
      • Kama Unataka Maisha Yako Yawe Bora, Basi Yakupasa...
      • Ushahidi Huu Hapa Unaonyesha Wewe Ni Mtaalamu Wa K...
      • Unanjaa Na Kiu Ya Kitu Gani?
      • Kuna Watu Wanakupenda Wewe.
      • Maisha Yanakuwa Magumu Kwa Maskini Na Matajiri Una...
      • Je Ulipo Upo?
      • Adhabu Tunayopewa Baada Ya Kuvunja Sheria Ya Asili...
      • Tunapohisi Wengine Wanatutendea Ubaya.
      • Tunaona, Tunasikia, Tunashuhudia, Tofauti.
      • Acha Kuteswa Na Mambo Yaliyopita.
      • Hizi Ndizo Sababu Zinazopelekea Kuwa Na Chuki Na ...
      • Fanya Kitu Hiki Unapokutana Na Upinzani Wakati Una...
      • Hiki Ndicho Kitu Ambacho Huwa Kinakunyima Furaha S...
      • Hawa Ndio Watu Ambao Tunaweza Kujifunza Kutoka Kwao.
      • Maisha Bado Yanaendelea Na Hayasikii Kelele Zako.
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates