JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Saturday, March 31, 2018

(SEHEMU YA PILI). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu.(II).

 Sadick Kilasi     March 31, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Karibu tena mpendwa msomaji katika makala ya leo. Naendelea kukushirikisha sehemu ya pili ya mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha Bwana Wetu Aliyefanyika Haki Ya Mungu. Karibu karibu sana katika sehemu hii ya pili.
Soma SEHEMU YA KWANZA, kama bado hujasoma uchambuzi huu.

13.Mwili wangu ni kama pipa la taka taka, siwezi kuutegemea mwili. Ninamsifu Mungu wangu kwa moyo wangu, ninamwamini yeye.

14.Ukweli ni kwamba dhambi tunazofanya ni nyingi sana na hazihesabiki, kama tungekuwa tunafanya dhambi chache basi tungeomba toba na mambo yangeisha. Mungu ameturehemu kwa Kristo Yesu Bwana na Mokozi wetu kwa kutufanya huru siku zote za maisha yetu.

15.Hakuna kitu cha kukitegemea katika mwili vyote hivi vina ukomo lakini kwa Bwana kuna umilele tu. Lazima tutafute kitu ambacho ni cha milele.

16.Mioyo yetu siku zote inamtumikia Mungu lakini miili yetu siku zote hutenda dhambi siku zote kwa sheria ya dhambi. Bwana wetu amefutilia mbali dhambi zetu za zamani, sasa na baadae. Miili yetu haita acha kufuata dhambi. Tunamshukuru Mungu kwa hili ambalo haliwezi hata kuelezeka. Mwili hutumikia sheria ya dhambi.(warumi 7:24-25).

17. Watu ambao wanamtumikia Mungu hukosa furaha pale ambapo huhisi ya kwamba wametenda dhambi na tusije tukafikiri ya kwamba hatuwezi kutenda dhambi kamwe ili tuwe na furaha. Lakini ukweli ni kuwa hatuna ujasiri wa kuwa hatuta tenda dhambi kamwe au kabisa.

18.Tunaweza kumtumikia Mungu kwa kitambo kidogo tu kwa hamasa lakini hamasa hiyo huisha pale tu mwili unapotenda dhambi, hapa udhaifu huanza tena. Mwili hufuata dhambi na hii ni sheria ya dhambi. Ndo maana mtume Paulo anatenga mwili na roho. (warumi 7:24-25).

19.Usitegemee mengi kutoka katika mwili.

20.Mwili unapenda kukuza raha ya mwili, starehe, amani,  furaha na majivuno yake na si haki ya Mungu. Mwili unapenda vitu vyote vifanyike kama unavopenda. Mara nyingi mwili unapenda kujihesabia haki wenyewe. Hebu tuache kujihesabia haki wenyewe na tuuache mwili kama ulivo.

21.Tunaweza kufurahia maisha wakati wote ikiwa tutambua ya kwamba dhambi zetu zote zilikombolewa na kusamehewa, tukiokoka tunapaswa kutenda mema lakini mwili wetu huu wa mauti utaendelea kuishia katika dhambi. Basi tunapaswa kuomba toba, tusiishi kama watu wa kujitegemea wenyewe kwamba tukitenda dhambi tutaipoteza furaha yetu, hapana lazima tufurahie maisha.

22.Ikiwa tutatambua ya kwamba mwili wetu unatumikia sheria ya dhambi tu, basi tunaweza kukwepa dhambi kwa imani. Tukiishi kuamini kwa imani kwamba Bwana alituokoa dhambi zetu zote basi na tujengeke katika Neno lake. Hata kama tunatambua ya kwamba tunaweza kutenda dhambi tena lakini tunaamini kwa imani kwamba dhambi zetu zote zilikombolewa na Kristo Yesu na tudumu katika Neno.

Kwa leo ninafikia hapa mpendwa msomaji. Hongera kwa kuwa pamoja na katika mwendelezo huu wa uchambuzi. Ombi langu kwako wewe msomaji kutafakari mambo haya ninayo kushirikisha. Kama bado hujasoma sehemu ya kwanza basi hakikisha unaisoma, tafuta katika tafuta blogu hii utaipata.

Mtu hawezi kujengeka kama hakuna kitu ambacho kinamsukuma aweze kujengeka, mfanya nazoezi anajengeka kimwili kwa sababu ya mazoezi yake, wewe utajengeka kiakili kwa sababu ya kusoma na kutafakari. Maoni yako muhimu, toa maoni au nitumie meseji katika Mawasiliano yangu nitakujibu.

Nikutakie tafakari njema katika haya, tukutane tena katika mwendelezo ujao. Washirikishe wengine ujumbe huu uwasaidie wengi zaidi. Mungu awe nawe.

Wako Sadick Kilasi.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ▼  March (33)
      • Kipi Kinakusukuma Kukua?
      • (SEHEMU YA PILI). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwen...
      • Hiki Hapa Ndo Chanzo Kikuu Cha Msongo Wa Mawazo.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi....Kutaka Kunauumiza.
      • Hakuna Wakati Sawa Wakufanya Kitu Hiki.
      • (SEHEMU YA KWANZA). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwe...
      • Usifanye Maamuzi Yoyote Unapokuwa Katika Hali Hii.
      • Wakati Ukifika Mambo Yanabadilika.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi...Tuumalize Ubaya Hivi.
      • Huwezi Kubaki Salama Kabisa.
      • Majaribu Hayana Budi Kuwepo.
      • Mamlaka Juu Ya Mwingine, Kosa La Aibu La Kughushi....
      • Dunia Na Mashindano, Upacha Ni Utofauti Tu.
      • Tumeumbwa Kukua Kutoka Hatua Moja Kwenda Hatua Nyi...
      • Jihakikishie Kitu Hiki Siku Zote Katika Maisha Yako
      • Hapa Ndipo Mwanzo Wa Matatizo Yote Ulimwenguni.
      • Kwa Vyovyote Ulivyo, Jitofautishe Kwa Jambo Zuri....
      • Kila Kitu Kinahitaji Subira, Je Unataka Kuwa Gaidi...
      • Kama Unataka Maisha Yako Yawe Bora, Basi Yakupasa...
      • Ushahidi Huu Hapa Unaonyesha Wewe Ni Mtaalamu Wa K...
      • Unanjaa Na Kiu Ya Kitu Gani?
      • Kuna Watu Wanakupenda Wewe.
      • Maisha Yanakuwa Magumu Kwa Maskini Na Matajiri Una...
      • Je Ulipo Upo?
      • Adhabu Tunayopewa Baada Ya Kuvunja Sheria Ya Asili...
      • Tunapohisi Wengine Wanatutendea Ubaya.
      • Tunaona, Tunasikia, Tunashuhudia, Tofauti.
      • Acha Kuteswa Na Mambo Yaliyopita.
      • Hizi Ndizo Sababu Zinazopelekea Kuwa Na Chuki Na ...
      • Fanya Kitu Hiki Unapokutana Na Upinzani Wakati Una...
      • Hiki Ndicho Kitu Ambacho Huwa Kinakunyima Furaha S...
      • Hawa Ndio Watu Ambao Tunaweza Kujifunza Kutoka Kwao.
      • Maisha Bado Yanaendelea Na Hayasikii Kelele Zako.
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates