JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, March 22, 2018

Mamlaka Juu Ya Mwingine, Kosa La Aibu La Kughushi.$#Hekima Na Chumvi Za Wazee Wetu.$#

 Sadick Kilasi     March 22, 2018     HEKIMA ZA WAZEE     No comments   

U hali gani mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI? Natumai unaendelea vizuri kabisa.

Karibu katika tafakari za wazee wetu, ambapo tumekuwa tukitafakari kwa umakini hekima ambazo wazee wetu na watu maarufu waliwahi kutamka na kusema. Leo tutatafakari nukuu mbili.

Hakuna taifa lenye mamlaka juu ya taifa jingine, wala mtu mwenye mamlaka ya kumwamulia mwenzake duniani, tunakoseana tu.
Mwalimu J. K. Nyerere. 

Yeyote anayeonekekana kwenye kosa la aibu la kughushi hawezi tena kuaminika hata kama anazungumuza ukweli.
Phaedrous.

Sina shaka kabisa namna ambavyo tunatambua michango mikubwa ambayo wazee wetu walituachia, wazee hawa walitengeneza misingi ambayo leo sisi tunasisimamia juu yake na kuendelea na maisha. Hekima hizi zilitamkwa katika mazungumzo yao mbalimbali lakini leo sisi tunatumia kama chumvi ya maisha.

Mwalimu Nyerere ni mtu ambaye hakuna hata Mtanzania ambaye hatambui mchango wake, ni mtu ambaye katengeneza mizizi ya Taifa letu la Tanzania. Mchango wake ni mkubwa muno katika taifa letu na Afrika katika kuleta amani.

Hakuna taifa ambalo linamamlaka juu ya taifa jingine wala mtu mwenye mamlaka juu ya kumwalia mwenzake duniani, tunakoseana tu.

Unaweza ukaona namna gani tamko hili au kauli hii ambavyo inavyojali utu, na hiki ndo kitu pekee Mwalimu ambacho alikuwa anakifanya, alikuwa anapenda sana sana kujali utu juu ya wengine.

Huwezi kujaribu kuthibiti kila mtu, huwezi kujaribu kuwa wewe tu katika kila jambo, huwezi kutumia kauli zako za vitisho kuwatisha wanyonge ni tunaoneana tu. Lazima tutambue mipaka yetu katika kuthibiti, sio kila mmoja unamwingilia tu bila hata ya kujali mwenzako anafikilia nini? Huo ni ughaidi wa uthibiti, ama kweli utaumiza wengi kwa tabia yako ya kumwingilia mtu maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba, zawadi pekee ambayo mtu kapewa ya kwake binafsi, anamiriki yeye wenyewe ni kufanya maamuzi, vitu vingine vyote kapewa utawale tu lakini itafika wakati vitamponyoka yaani vinaukomo. Maamuzi ni kitu ambacho mwanadamu amepewa bure kabisa atumie na hakuna mtu ambaye anaweza kumwingilia katika kufanya maamuzi, japo kuwa unaweza kufikiri kwamba unaweza kumwamlia mtu lakini ukweli ni kwamba anakuwa ameamua mwenyewe. Ukijaribu kumlazimisha hamwezi kufika mbali mtagombana.

Siku zote kaa na utambue ya kwamba huna mamlaka juu ya mwingine, na ukijaribu kumwalia mwingine utakuwa unafanya kitendo cha kighaidi kwa wengine.

Yeyote anayeobekana kwenye kosa la aibu la kughushi, hawezi tena kuaminika hata kama anazungumza ukweli.

Katika hali ya kawaida ukiwa ulishawahi kufanya kosa na dunia ikatambua kwamba wewe ni mkosaji, kuja kuiaminisha dunia tena ni ngumu sana, watu ni wazuri sana wa kuangalia makosa ya wengine sio mazuri, ubaya unasambaa haraka kuliko wema. Watu wagumu sana kuutafuta ukweli lakini ni wepesi sana kuwa wajinga ndoomana watu wanapenda habari hasi zinazowaburudisha.

Ukweli hauwezi kumuburudisha mtu ila utampa uhuru, wengi tunapenda mashindano, sasa mtu akikughushia kitu cha uongo hakuna mtu atakaye kuamini tena ikizingatia watu wanapenda ujinga tu, sio kutafuta ukweli uko wapi. Ukijikuta kwenye hali kama hii usifanye chochote kaa kimya,  na ukipata muda sahihi basi ni vema kufanya jambo.

Watu wamejengeka katika mitazamo ya nje, watu wanapenda kuaminishwa kitu kwahiyo jipe muda na kuwa mvumilivu katika hali hiyo, ukweli lazima ushinde.

Nukuu hizi za wazee wetu ni chumvi kwetu, misingi ambayo tunasimamia, kwahiyo tuheshimu na tujipatie muda wa kutafakari.

Endelea kutembelea blogu hii kujifunza zaidi.

Wako Sadick Kilasi.
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ▼  March (33)
      • Kipi Kinakusukuma Kukua?
      • (SEHEMU YA PILI). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwen...
      • Hiki Hapa Ndo Chanzo Kikuu Cha Msongo Wa Mawazo.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi....Kutaka Kunauumiza.
      • Hakuna Wakati Sawa Wakufanya Kitu Hiki.
      • (SEHEMU YA KWANZA). Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwe...
      • Usifanye Maamuzi Yoyote Unapokuwa Katika Hali Hii.
      • Wakati Ukifika Mambo Yanabadilika.
      • Neno Kutoka Kwa Sadick Kilasi...Tuumalize Ubaya Hivi.
      • Huwezi Kubaki Salama Kabisa.
      • Majaribu Hayana Budi Kuwepo.
      • Mamlaka Juu Ya Mwingine, Kosa La Aibu La Kughushi....
      • Dunia Na Mashindano, Upacha Ni Utofauti Tu.
      • Tumeumbwa Kukua Kutoka Hatua Moja Kwenda Hatua Nyi...
      • Jihakikishie Kitu Hiki Siku Zote Katika Maisha Yako
      • Hapa Ndipo Mwanzo Wa Matatizo Yote Ulimwenguni.
      • Kwa Vyovyote Ulivyo, Jitofautishe Kwa Jambo Zuri....
      • Kila Kitu Kinahitaji Subira, Je Unataka Kuwa Gaidi...
      • Kama Unataka Maisha Yako Yawe Bora, Basi Yakupasa...
      • Ushahidi Huu Hapa Unaonyesha Wewe Ni Mtaalamu Wa K...
      • Unanjaa Na Kiu Ya Kitu Gani?
      • Kuna Watu Wanakupenda Wewe.
      • Maisha Yanakuwa Magumu Kwa Maskini Na Matajiri Una...
      • Je Ulipo Upo?
      • Adhabu Tunayopewa Baada Ya Kuvunja Sheria Ya Asili...
      • Tunapohisi Wengine Wanatutendea Ubaya.
      • Tunaona, Tunasikia, Tunashuhudia, Tofauti.
      • Acha Kuteswa Na Mambo Yaliyopita.
      • Hizi Ndizo Sababu Zinazopelekea Kuwa Na Chuki Na ...
      • Fanya Kitu Hiki Unapokutana Na Upinzani Wakati Una...
      • Hiki Ndicho Kitu Ambacho Huwa Kinakunyima Furaha S...
      • Hawa Ndio Watu Ambao Tunaweza Kujifunza Kutoka Kwao.
      • Maisha Bado Yanaendelea Na Hayasikii Kelele Zako.
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates