JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, April 16, 2018

(SEHEMU YA TATU) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa HaKi Ya Mungu (II).

 Sadick Kilasi     April 16, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Moja kati ya eneo ambalo watu wengi wanekuwa wakipata shida sana katika maisha haya ni eneo la kiroho. Wale ambao tayari wamegeuka, na wapo makanisani wanapata shida sana kwa sababu hawaelewi vizuri namna ya kupata haki ya Mungu.

Kitabu hichi cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu, ni kitabu ambacho kinatoa msaada namna injili ya Kristo Yesu inaweza kuwa msaada katika hali kama hii. Mwandishi amejaribu kuchambua vema kabisa kitabu cha Warumi ambacho kimeelezea namna ya kupokea injili ya Maji na Roho.

Karibu Mpendwa msomaji na mfuatiliaji wa mambo haya ninayokushirikisha niliyojifunza kutoka kwenye kitabu hichi. Ombi langu kwako rafiki yangu msomaji, mambo haya ya kiroho yanahitaji utulivu sana, kwahiyo unaposoma unapaswa kuwa makini na mchambuzi mzuri ukitumia Bíblia.
Soma Hapa sehemu ya pili ya uchambuzi huu.

Karibu nikushirikishe mambo hayo niliyojifinza katika seheme ya tatu.

1.Sisi hatuna dhambi japokuwa tunaonekana japokuwa tunaonekana ni wenye dhambi. Sisi hatuna dhambi ingawa tunatenda dhambi. Kwa hiyo tunaweza kuwasaidia watu wengi sana kwa injili ya Maji na Roho. Hili ni fumbo la Kristo na siri ya Ufalme wa mbinguni.

2.Wanadamu wote waliridhi dhambi kutoka kwa Adam na Hawa. Kwa asili tulizaliwa kama uzao wa dhambi. Asili ya dhambi inalidhiwa kutoka kwa wazazi wetu.

3.Kuna aina kumi na mbili za dhambi ambazo tunaziridhi kutoka kwa Adam na Hawa, uzinifu, umalaya,  uuaji, jicho ovu, wizi, tamaa, ubaya, uovu, ufisadi, chukizo, majivuno na ujinga. Dhambi hizi zipo ndani ya miili yetu tangu tunazaliwa.

4.Kuna wakristo wa aina mbili kanisani wale ambao wanafuata mambo ya mwili na wale wanaofuata mambo ya rogo.
  (Warumi 8:9)

5.Mkristo aliyekombolewa hakika anafuata mambo ya roho na si mwili.
   Warumi 8:9$10-11).

6.Tumefanyika wenye haki mara mija na wala si kwa hatua baada ya hatua. Mungu ametufanya wenye haki. Hata kama tkijitaidi kwa matendo yetu hatuwezi kwa miili yetu hii.
  (Warumi 8:29-30).

7.Hakuna anayeweza kututenganisha na upando wa Mungu. Ikiwa Mungu yupo upande wetu nani ambaye anaweza kwenda kinyume nasi. Yeye asiye mwachilia  mwana  wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote.
   (Warumi 8:31-39).

8.Ukombozi ambao Mungu ametupatia ni lazima tukili kwa Yesu Kristo alitumwa kuja ulimwenguni kwa mujibu ya mapenzi ya Mungu Baba, lakini pia lazima tikili kuwa Yesu Kristo alichikua dhambi zetu zote katika mwili wake kupitia ubatizo wake katika mto Yordani na lazima tukili kuwa Yesu alisurubiwa kwa ajili yetu na kisha akafa akafufuka

9.Tunapokuwa tunaumia mioyoni mwetu ni Roho ambaye huwa anaugulia kwa sababu ya matendo yetu na mawazo yetu.

10. Tunapokuwa katika sara Roho Mtakatifu hutisaidia kuomba, maana yeye anafahamu kila kitu katika akili zetu. Kwa hiyo Roho Mtakatifu anafanya maombi kwaajili ya watakatifu kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu.

11.Tunapopokea injili ya maji na Roho na kwa kuamini, tunapokea katika injili ya maji na Roho na Roho Mtakatifu kama kalama au kipawa.
   (Matendo 2:28).

12.Mungu anatupatia kalama ya Roho Mtakatifu ili kwamba aweze kutiongoza sisi kuishi kwa mujibu wa mapenzi yake. Haya ni mapenzi ya Mungu Baba yetu.

13.Roho Mtakatifu na maandiko hayawezi kutenganishwa na Roho Mtakatifu na Mwamini hawawe kutenganishwa. Hii ndio sababu ya mahusiano ya Roho Mtakatifu wa kanisa na mwamini wa Mungu. Na Mungu utatu ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.

14.Ikiwa utakuwa upokea haki ya Mungu, Roho Mtakatifu atakuongoza katika maisha yako. Roho Mtakatifu ananás ndani ya mioyo yetu. Tutapewa kuongozwa na Mungu kupitia Roho Mtakatifu.

Asante sana mpendwa wangu na rafiki yangu unayefutilia uchambizi huu mzuri. Ninatalaji kwamba mambo haya yatakuwa ni msingi mpya na mwongozo katika maisha yako hasa ukienenda katika kuyatafakari. Roho Mtakatifu ataendelea kukufunulia zaidi na zaidi.

Karibu tena katika mwendelezo ujao na kama unaswali lolote usisite kuniuliza kwa kutoa maoni au kunitumia ujumbe katika Mawasiliano yangu. Hakika ninakuwa na furaha sana ukiniuliza chochote au kunishirikisha zaidi ulichojifunza zaidi.
Asante sana.

Wako Sadick Jilani.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ▼  April (31)
      • Mtu Anaweza Kukumbuka Kwa Hiki. $#Tafakari Hekima ...
      • Usitawanye Watu Kusanya Watu, Fanya Kitu Hiki Kuku...
      • Nyoosha Mikono Juu Iambie Jamii Nimeshindwa.
      • Kama Wewe Hujawahi Kuona Hata Kisogo Chako Ya Nini...
      • Hasira Ni Kama Maji Yanayochemka. Je Mwisho Wake H...
      • Hivi Ndivyo Vikwazo Katika Kuupata Ukweli Halisi.
      • Wengi Tunafanya Nusu Nusu Hatufanyi Kweli Kweli.
      • Ni Rahisi Sana Kuona Kitu Hiki Kwa Watu Wengine.
      • (SEHEMU YA NNE) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye ...
      • Sababu Hii Moja Tu Inatosha Kwako Wewe Kuanza Kuso...
      • Mazingira Uliyopo Yanakupa Tafsiri Gani? Dunia Ime...
      • Thamani Ya Binadamu Haitokani Na Utajiri Alionao. ...
      • Binadamu Ameumbwa Akiwa Na Tabia Hizi.
      • Wakati, Kila Jambo Wakati Wake.
      • Fanya Hivi Ili Ukusanye Vizuri Unachokusanya.
      • Kumbuka Mambo Haya Kama Tabia Ya Mtu Wako Wa Karib...
      • (SEHEMU YA TATU) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye...
      • Hii Hapa Ni Njia Nzuri Ya Kujifunza Zaidi na Zaidi.
      • Nguvu Ya Matamshi.
      • Tunatakiwa Kuwa Kama Chumvi Si Kama Sukari.
      • Huu Hapa Ni Uwanja Ambao Unaweza Kufanya Utakalo.
      • Usiwanyanyapae Watu Kwa Sababu Wanayofanya Ni Maovu.
      • Neno kutoka Kwa Sadick Kilasi.Kufikiri Kunaleta....
      • Sehemu Iliyo Jificha.
      • Fanya Hivi Ili Maisha Yako Kuwa Bora Zaidi Na Zaidi.
      • Dunia Inatufundisha Kutegemea.
      • Acha Kufanya Kitu Hiki Mapema Kabisa Kama Unataka ...
      • Hivi Ndivyo Ambayo Unatakiwa Kuendelea Kufanya Hai...
      • Usimruhusu Adui Huyu Akutawale.
      • Fanya Kitu Hiki Ili Watu Wakuelewe Haraka.
      • Wakati Usio Tarajiwa.
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates