JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, April 24, 2018

(SEHEMU YA NNE) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu (II).

 Sadick Kilasi     April 24, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Nina furaha kweli kweli ninapokushirikisha mambo mazuri ambayo nimejifunza kutoka kwenye kitabu hiki. Mafunzo haya yatakuwa msaada kwako ikiwa utakuwa tayari kuelewa na kutimia veja. Kwa kweli ninaamini ya kwamba upo salama kabisa Mungu kakujalia kusoma makala haya. Hongera sana rafiki yangu kwa kukutana tena kwenye makala  ya leo.  Leo naenda kukushirikisha sehemu ya nne ya mambo ninayokushikisha niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu II kilichoandikwa na Paulo C.  Jong.

Tuliangalia namna gani ukiwa umepokea Haki ya Mungu, Roho Mtakatifu ndiye atakaye kuongoza katika maisha yako. Tunapewa na kuongozwa na Mungu kupitia Roho Mtakatifu.

Jamani nani asiyependa kuongozwa na Mungu? Kwa kweli hapana mtu, kila mmoja anapenda kuongozwa na Mungu. Ukweli ni kwamba tukiwa tunaishi kwa kutegemea haki yetu wenyewe tunaishi kwa kugugumia na kunung'unika, maisha yanakuwa magumu sana. Haijarishi uwe na mali au la, kwa kweli hatuwezi kuishi kwa kutegemea haki yetu sisi wenyewe.

Ukifikia maisha ya utauwa,  ukweli Mungu anapenda sana kila mmoja wetu kufikia katika kiwango hicho. Miili yetu haiwezi kuacha kutendenda dhambi, lazima tuamini katika injili ya maji na Roho ili tuweze kupokea zawadi nzuri ambayo Mungu anatupatia ambayo ni kutuongoza kupitia Roho Mtakatifu.

Nisikuchoshe msomaji wangu karibu katika ya leo lakini kama hukusoma makala yaliyopita hakikisha unasoma ili kuelewa vema. Soma kwenye kiungo hapo chini.

SOMA:Soma Sehemu Ya Tatu Ya Mambo Niliyo Jifunza Kutoka Kwenye Kitabu Cha Bwana Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki Ya Mungu.

Karibu sana,

1. Mungu anawapenda waamini waliozaliwa tena upya. Wakati mwingine Mungu anaweza kuwaachilia hata adui zako kwa ajili ya kukujenga zaidi lakini mwisho anawaadhibu adui hao. Je wewe unatia shaka wakati wa kuachiliwa adui? Kwa kweli hutakiwi kuwa na shaka kabisa, amini katika haki ya Mungu.

2.Mungu anatupenda sana, alipanda mti wa mema na mabaya katika bustani ya Edeni, na kisha akawaamulu Adamu na Hawa kutokula matunda ya mti huo. Huo ulikuwa ni mpango wa Mungu, ili wanae wapate kumrudia yeye. Alitambua ya kwamba mwananadamu hawezi kumtumikia Mungu bila sababu lazima ataasi. Waweza  kushangazwa na hili lakini huo ndo ukweli wenyewe. Sawa sawa na mtu ambaye anachukua kitu ambacho hukifahamu akaweka juu ya meza na kusema, humu kwenye boksi kuna kitu kitamu sana, lakini ole ufunue box uangalie. Hapo ushawishi unakuwa mkubwa zaidi kuliko angeficha na kutokwambia.

3.Wale ambao wanakiri ya kwamba wao ndio wenye dhambi, basi hao ndio Mungu amewaita, wale ambao ni wadhaifu, Mungu ndio anawaita waende akawafanye wawe huru. Kwa kweli Mungu anawapenda wadhaifu wale ambao wamekosa haki. Lakini kama wewe una haki yako Mungu hakuhitaji.

4.Wakati mwingine hujisikia kama tumedhalilishwa kana kwamba tunataka kujificha pale tunapojifahamu kwa jinsi tulivyo. Lakini Mungu anauwezo wa kugeuza mzaituni mwitu na kuwa mzaituni halisi. Kwa asili sisi ni mzaituni mwitu lakini tuligeuzwa kuwa mzaituni halisi kwa injili ya Yesu ambayo ametupatia. Kwa hiyo tunapojitambua ya kuwa sisi tu wenye dhambi lazima tutambue ya kwamba Mungu anatuita na tutegemee katika haki yake, haki ya Mungu.

5.Kuna wakati tunafikiri kwamba, wakati bado sijalisikia Neno la Mungu nilikuwa sijazitambua dhambi zangu lakini sasa nazitambua dhambi zangu na naona siwezi kumtumikia Mungu kikamilifu. Lakini hiyo si sahihi. Badala yake tunapaswa kufikiri, nilikuwa sifahamu dhambi zangu hata pale nilipokuwa nazitenda. Neno la Mungu lote ni sahihi lazima niamini katika Neno lake. Siwezi kuishi kwa kufuata Neno hilo kikamirifu. Kwa kweli mimi ni mwenye dhambi ambaye nimepangiwa kwenda kuzimu na hii ndo sababu Kristo Yesu alikuja.

6.Tunahesabiwa haki na kutakaswa mara moja tu,  unapoamini injili ya maji na Roho. Moyo wako haubadiliki kwa hatua. Moyo wako unafanyika huna dhambi mara moja na ni imani yako ndiyo inayoweza kukua hatua kwa hatua kadiri unavyoliamini Neno la Mungu na kanisa lake.  (warumi 8:29-30).

7.Walio hesabiwa haki ni akina nani?
Kwa kweli Mungu hajachagua au kufanya chaguo katika kuwaita walio wake. (Yohana 1:29).

Kwa kweli wengi tunatambua ya kwamba Mungu alimchagua Yakobo na akasema Esau nimemchukia, aliwachagua tangu wakiwa tumboni mwa mama yao. Kwa kusema mkubwa atamtumikia mdogo. Je Mungu ana watu wake tayari alio wachagua? Tafadhari usikose uchambuzi ujao, tutajua vema walio hesabiwa haki ni akina nani.

Mpendwa msomaji, nisaidie kuwashirikisha wengine uchambuzi huu, ili ukawafikie wengi zaidi na tujifunze kwa pamoja. Mungu awe nawe.

Wako Sadick Kilasi.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.

  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ▼  April (31)
      • Mtu Anaweza Kukumbuka Kwa Hiki. $#Tafakari Hekima ...
      • Usitawanye Watu Kusanya Watu, Fanya Kitu Hiki Kuku...
      • Nyoosha Mikono Juu Iambie Jamii Nimeshindwa.
      • Kama Wewe Hujawahi Kuona Hata Kisogo Chako Ya Nini...
      • Hasira Ni Kama Maji Yanayochemka. Je Mwisho Wake H...
      • Hivi Ndivyo Vikwazo Katika Kuupata Ukweli Halisi.
      • Wengi Tunafanya Nusu Nusu Hatufanyi Kweli Kweli.
      • Ni Rahisi Sana Kuona Kitu Hiki Kwa Watu Wengine.
      • (SEHEMU YA NNE) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye ...
      • Sababu Hii Moja Tu Inatosha Kwako Wewe Kuanza Kuso...
      • Mazingira Uliyopo Yanakupa Tafsiri Gani? Dunia Ime...
      • Thamani Ya Binadamu Haitokani Na Utajiri Alionao. ...
      • Binadamu Ameumbwa Akiwa Na Tabia Hizi.
      • Wakati, Kila Jambo Wakati Wake.
      • Fanya Hivi Ili Ukusanye Vizuri Unachokusanya.
      • Kumbuka Mambo Haya Kama Tabia Ya Mtu Wako Wa Karib...
      • (SEHEMU YA TATU) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye...
      • Hii Hapa Ni Njia Nzuri Ya Kujifunza Zaidi na Zaidi.
      • Nguvu Ya Matamshi.
      • Tunatakiwa Kuwa Kama Chumvi Si Kama Sukari.
      • Huu Hapa Ni Uwanja Ambao Unaweza Kufanya Utakalo.
      • Usiwanyanyapae Watu Kwa Sababu Wanayofanya Ni Maovu.
      • Neno kutoka Kwa Sadick Kilasi.Kufikiri Kunaleta....
      • Sehemu Iliyo Jificha.
      • Fanya Hivi Ili Maisha Yako Kuwa Bora Zaidi Na Zaidi.
      • Dunia Inatufundisha Kutegemea.
      • Acha Kufanya Kitu Hiki Mapema Kabisa Kama Unataka ...
      • Hivi Ndivyo Ambayo Unatakiwa Kuendelea Kufanya Hai...
      • Usimruhusu Adui Huyu Akutawale.
      • Fanya Kitu Hiki Ili Watu Wakuelewe Haraka.
      • Wakati Usio Tarajiwa.
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates