JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, April 8, 2018

Fanya Hivi Ili Maisha Yako Kuwa Bora Zaidi Na Zaidi.

 Sadick Kilasi     April 08, 2018     MAHUSIANO, NJOZI, USHAURI, USWAZI TRICK     No comments   

Mtu yeyote yule ambaye yupo sawsawa na anajitambua vizuri basi huyo anatambua tayari udhaifu wake. Kila mtu anaudhaifu wake. Ili maisha yako yawe bora basi lazima utambue udhaifu na uimala wako uko wapi.

Tumeumbwa namna hii ili kila mmoja awe msaada kwa mwenzie. Utofauti huu wa uimala na udhaifu ndiyo unaoleta ubora katika mahusiano yetu.

Ili mtu uwe bora zaidi na zaidi basi siyo mbaya sana ukawa mtu wa kujiangalia wapi udhaifu wako ulipo ikisha ukashughulikia vizuri. Udhaifu wako utakufanya kuwa mkomavu kama itaukubali na kuufanyia kazi.

Watu ambao hujiona wamekamilika huwa hawana tabia ya kujichunguza wenyewe, watu hawa hufikilia wenyewe tu na kujiona wapo sawa kwa kila kitu. Matatizo yakiotekea ni watu wa kuwalaumu wengine na kutafuta majibu ya matatizo yao nje yao. Watu hawa siku zote ni watu wa sababu tu.

Mpendwa msomaji, watu wale wenye mapungufu huendelea kusonga mbele kwa sababu wao wamejitambua kwamba wanamapungufu kwani walio wazima hawahitaji daktari na ili upande mlima sharti uwe bondeni, aliyopo kileleni amefika hahitaji kusonga mbele.

Maisha yatakuwa sawaswa kabisa, maisha yatakuwa bora kabisa, ukiwa mtu wa kuangalia wapi upo sawa na wapi haupo sawa, huwezi kuboresha kama huoni matatizo, unaona sawasawa tu.

Kila mmoja anampungufu, angalia mapungufu yako kwenye mahusiano, kwenye kazi, halafu boresha, utakuwa bora siku baada ya siku. Kwenye hii dunia hakuna ukamirifu, kila kitu kinahitaji kuboreshwa zaidi na zaidi na ndio maana Mungu alituumba ili tuendeleze na kutawala. Usije ukajiunua kwenye hii dunia, utashushwa haraka sana. Kama bado unapumua basi bado hujafika, kumbuka ya leo sio ya kesho.

Ukawe na siku bora rafiki yangu. Endelea kutembelea blogu hii ili kujifunza zaidi.

Wako Sadick Kilasi.
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ▼  April (31)
      • Mtu Anaweza Kukumbuka Kwa Hiki. $#Tafakari Hekima ...
      • Usitawanye Watu Kusanya Watu, Fanya Kitu Hiki Kuku...
      • Nyoosha Mikono Juu Iambie Jamii Nimeshindwa.
      • Kama Wewe Hujawahi Kuona Hata Kisogo Chako Ya Nini...
      • Hasira Ni Kama Maji Yanayochemka. Je Mwisho Wake H...
      • Hivi Ndivyo Vikwazo Katika Kuupata Ukweli Halisi.
      • Wengi Tunafanya Nusu Nusu Hatufanyi Kweli Kweli.
      • Ni Rahisi Sana Kuona Kitu Hiki Kwa Watu Wengine.
      • (SEHEMU YA NNE) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye ...
      • Sababu Hii Moja Tu Inatosha Kwako Wewe Kuanza Kuso...
      • Mazingira Uliyopo Yanakupa Tafsiri Gani? Dunia Ime...
      • Thamani Ya Binadamu Haitokani Na Utajiri Alionao. ...
      • Binadamu Ameumbwa Akiwa Na Tabia Hizi.
      • Wakati, Kila Jambo Wakati Wake.
      • Fanya Hivi Ili Ukusanye Vizuri Unachokusanya.
      • Kumbuka Mambo Haya Kama Tabia Ya Mtu Wako Wa Karib...
      • (SEHEMU YA TATU) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye...
      • Hii Hapa Ni Njia Nzuri Ya Kujifunza Zaidi na Zaidi.
      • Nguvu Ya Matamshi.
      • Tunatakiwa Kuwa Kama Chumvi Si Kama Sukari.
      • Huu Hapa Ni Uwanja Ambao Unaweza Kufanya Utakalo.
      • Usiwanyanyapae Watu Kwa Sababu Wanayofanya Ni Maovu.
      • Neno kutoka Kwa Sadick Kilasi.Kufikiri Kunaleta....
      • Sehemu Iliyo Jificha.
      • Fanya Hivi Ili Maisha Yako Kuwa Bora Zaidi Na Zaidi.
      • Dunia Inatufundisha Kutegemea.
      • Acha Kufanya Kitu Hiki Mapema Kabisa Kama Unataka ...
      • Hivi Ndivyo Ambayo Unatakiwa Kuendelea Kufanya Hai...
      • Usimruhusu Adui Huyu Akutawale.
      • Fanya Kitu Hiki Ili Watu Wakuelewe Haraka.
      • Wakati Usio Tarajiwa.
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates