JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, April 5, 2018

Usimruhusu Adui Huyu Akutawale.

 Sadick Kilasi     April 05, 2018     USWAZI TRICK     No comments   

Kawaida kuna watu wa aina mbili, watu wa mtazamo chanya na watu wa mtazamo hasi. Watu wote hawa ni watu ambao wamechagua wenyewe mitazamo yao.

Sasa mimi naongea na watu wa mtazamo chanya, watu ambao hawataki kabisa kuishi mitazamo hasi hao ndo naongea nao sasa kupitia makala hii. Kama wewe ni mmoja wao basi endelea kusoma hapa au la kama ulikuwa hujui kama mtazamo ni kuchagua basi endelea kusoma hapa.

Moja kati ya adui mkubwa kwa watu wenye mtazamo chanya basi mtazamo hasi. Mtazamo hasi huja haraka sana na kuharibu kabisa mtazamo wako chanya. Mtazamo huu huja pale ambapo unahisi umefeli kufanya jambo fulani.

Unaendelea kuiharibu siku nzima kwa kitu kidogo tu. Unaweza ukawa unafanya kitu cha kawaida kabisa lakini ukiruhusu tu na kusema kwamba siwezi basi utajiona kwamba wewe hufai kabisa. Mungu anakuwazia mema, ajionavyo mtu ndani yake ndivyo alivyo. Hivyo ndivyo ilivyo.

Mpendwa msomaji, usiruhusu adui huyu awe kikwazo katika maisha, usimruhusu adui huyu akunyang'anye furaha yako, kuwa mjanja rafiki yangu, wewe ni mshindi. Lazima ujiambie mimi nina mtazamo chanya.

Mtazamo ni utajiri mkubwa sana katika maisha yako. Ishi mtazamo chanya, chagua huu utajiri.

Endelea kutembelea blogu hii kujifunza zaidi.

Wako Sadick Kilasi.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ▼  April (31)
      • Mtu Anaweza Kukumbuka Kwa Hiki. $#Tafakari Hekima ...
      • Usitawanye Watu Kusanya Watu, Fanya Kitu Hiki Kuku...
      • Nyoosha Mikono Juu Iambie Jamii Nimeshindwa.
      • Kama Wewe Hujawahi Kuona Hata Kisogo Chako Ya Nini...
      • Hasira Ni Kama Maji Yanayochemka. Je Mwisho Wake H...
      • Hivi Ndivyo Vikwazo Katika Kuupata Ukweli Halisi.
      • Wengi Tunafanya Nusu Nusu Hatufanyi Kweli Kweli.
      • Ni Rahisi Sana Kuona Kitu Hiki Kwa Watu Wengine.
      • (SEHEMU YA NNE) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye ...
      • Sababu Hii Moja Tu Inatosha Kwako Wewe Kuanza Kuso...
      • Mazingira Uliyopo Yanakupa Tafsiri Gani? Dunia Ime...
      • Thamani Ya Binadamu Haitokani Na Utajiri Alionao. ...
      • Binadamu Ameumbwa Akiwa Na Tabia Hizi.
      • Wakati, Kila Jambo Wakati Wake.
      • Fanya Hivi Ili Ukusanye Vizuri Unachokusanya.
      • Kumbuka Mambo Haya Kama Tabia Ya Mtu Wako Wa Karib...
      • (SEHEMU YA TATU) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye...
      • Hii Hapa Ni Njia Nzuri Ya Kujifunza Zaidi na Zaidi.
      • Nguvu Ya Matamshi.
      • Tunatakiwa Kuwa Kama Chumvi Si Kama Sukari.
      • Huu Hapa Ni Uwanja Ambao Unaweza Kufanya Utakalo.
      • Usiwanyanyapae Watu Kwa Sababu Wanayofanya Ni Maovu.
      • Neno kutoka Kwa Sadick Kilasi.Kufikiri Kunaleta....
      • Sehemu Iliyo Jificha.
      • Fanya Hivi Ili Maisha Yako Kuwa Bora Zaidi Na Zaidi.
      • Dunia Inatufundisha Kutegemea.
      • Acha Kufanya Kitu Hiki Mapema Kabisa Kama Unataka ...
      • Hivi Ndivyo Ambayo Unatakiwa Kuendelea Kufanya Hai...
      • Usimruhusu Adui Huyu Akutawale.
      • Fanya Kitu Hiki Ili Watu Wakuelewe Haraka.
      • Wakati Usio Tarajiwa.
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates