JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Saturday, April 7, 2018

Dunia Inatufundisha Kutegemea.

 Sadick Kilasi     April 07, 2018     MAHUSIANO, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI, hongera kwa ushindi mkubwa ambao Mwenyezi Mungu kakushindia. Mimi na wewe rafiki yangu hatuna budi kumshukuru yeye na kurudishia sifa.

Katika mambo yote au vitu vyote ambavyo unaweza kuviona kwa macho ya kawaida ya nyama au vitu ambavyo unauwezo wa kuviona kwa macho yako siyo vya kwako. Mimi na wewe hatuna kitu ambacho tunamiliki moja kwa moja tumepewa tutawale, tuendeleze na kusimamia.

Labda nikufafanulie vizuri ni kwamba chochote ambacho unaweza kutamka kwamba hiki ni changu basi hicho siyo chako, umepewa utawale kwa muda tu. Sasa unaweza kusema, hata mwili wangu siyo wa kwangu, Ndiyo siyo wa kwako umepewa utawale kwa muda tu. Kwa sababu wewe huwezi kuzuia kifo chako mwenyewe na wakati wa kuondoka mwili unakufa na tunasema mwili wa marehemu fulani. Wakati nwingine waweza kujiuliza, hiki ni cha kwangu, mkono wangu, mwili wangu, Je mimi niko wapi?

Tulipoumbwa kwenye hii dunia, tuliumbwa kwa uwezo wa ajabu, tuliumbwa katika uhalisia na asili. Kiuhalisia sisi tumekamilika kabisa lakini katika asili yetu tunahitaji utegemezi. Mpendwa msomaji dunia inatufanya kuwa tegemezi.

Dunia inatufanya kuwa tegemezi sana kwa sababu katika asili tunamapungufu kwamba tunahitajiana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu hatujakamilika. Lazima mahusiano yawepo ndipo ubora uwepo. Huyu anamapungufu ya hiki na yule hiki na yule hicho.

Dunia inakufanya kuwa tegemezi kwa kwenda shuleni, kwenda kutibiwa mahali au hospitalini, kusoma vitabu, kusoma makala hizi ninaziandika na chochote kile ambacho unakinunua kwa fedha.

Mpendwa msomaji, tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, inamaana tunauwezo mkubwa sana wa kufanya lolote lile. Ni kweli tunahitaji msaada kutoka kwa wengine lakini inatupasa kufika wakati nasi au kila mmoja ajiwekee kikao chake peke yake ndani kwake akiwa na yeye. Kwa sababu chochote ambacho dunia inafanya usipokuwa makini ni kwamba inakufanya kuwa tegemezi zaidi na zaidi. Hatujaja kusavaivu au kujitaidi kuishi katika dunia hii tumekuja kuishi lazima tujiwekee vikao na sisi wakati wa jioni, ujiulize maswali peke yako na ujijibu mwenyewe.

Muhimu ambalo ninaweza kukwambia rafiki yangu, tumtafute Mungu, wapi? Kwenye vitabu vya dini. Vitabu vya dini vimeandikwa katika mfumo wa kila mtu kujitegemea, ni vitabu ambavyo vibahitaji utulivu kwenye kusoma. Tukazane kuutafuta uhalisia wetu badala ya kukazana kuishi nje kwenye asili. Mpendwa msomaji, vikao na sisi ni kitu cha muhimu sana, soma sana, fanya kila uliwezalo lakini mwisho uwe na wewe.

Endelea kujifunza kwa kutembelea blogu hii ya JIKO LA USHAURI na nisaidie kuwashirikisha wengine ujumbe huu uwafikie wengi maana naamini makala hii itakuwa msaada kwa wengi.

Wako Sadick Kilasi.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ▼  April (31)
      • Mtu Anaweza Kukumbuka Kwa Hiki. $#Tafakari Hekima ...
      • Usitawanye Watu Kusanya Watu, Fanya Kitu Hiki Kuku...
      • Nyoosha Mikono Juu Iambie Jamii Nimeshindwa.
      • Kama Wewe Hujawahi Kuona Hata Kisogo Chako Ya Nini...
      • Hasira Ni Kama Maji Yanayochemka. Je Mwisho Wake H...
      • Hivi Ndivyo Vikwazo Katika Kuupata Ukweli Halisi.
      • Wengi Tunafanya Nusu Nusu Hatufanyi Kweli Kweli.
      • Ni Rahisi Sana Kuona Kitu Hiki Kwa Watu Wengine.
      • (SEHEMU YA NNE) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye ...
      • Sababu Hii Moja Tu Inatosha Kwako Wewe Kuanza Kuso...
      • Mazingira Uliyopo Yanakupa Tafsiri Gani? Dunia Ime...
      • Thamani Ya Binadamu Haitokani Na Utajiri Alionao. ...
      • Binadamu Ameumbwa Akiwa Na Tabia Hizi.
      • Wakati, Kila Jambo Wakati Wake.
      • Fanya Hivi Ili Ukusanye Vizuri Unachokusanya.
      • Kumbuka Mambo Haya Kama Tabia Ya Mtu Wako Wa Karib...
      • (SEHEMU YA TATU) Mambo Niliyojifunza Kutoka Kwenye...
      • Hii Hapa Ni Njia Nzuri Ya Kujifunza Zaidi na Zaidi.
      • Nguvu Ya Matamshi.
      • Tunatakiwa Kuwa Kama Chumvi Si Kama Sukari.
      • Huu Hapa Ni Uwanja Ambao Unaweza Kufanya Utakalo.
      • Usiwanyanyapae Watu Kwa Sababu Wanayofanya Ni Maovu.
      • Neno kutoka Kwa Sadick Kilasi.Kufikiri Kunaleta....
      • Sehemu Iliyo Jificha.
      • Fanya Hivi Ili Maisha Yako Kuwa Bora Zaidi Na Zaidi.
      • Dunia Inatufundisha Kutegemea.
      • Acha Kufanya Kitu Hiki Mapema Kabisa Kama Unataka ...
      • Hivi Ndivyo Ambayo Unatakiwa Kuendelea Kufanya Hai...
      • Usimruhusu Adui Huyu Akutawale.
      • Fanya Kitu Hiki Ili Watu Wakuelewe Haraka.
      • Wakati Usio Tarajiwa.
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates