JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, February 4, 2018

Njia ya kudhibiti mawazo yako.

 Sadick Kilasi     February 04, 2018     TAFAKARI YA ROHO, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI, natumai umeamka salama na umeinza siku yako  mpya ya wiki mpya ya mwezi mpya ukiwa na hamasa kubwa sana ya kufikia malengo yako ya mwaka huu mpya.

Hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kutuamsha salama.

Karibu katika makala yetu ya leo ili tujifunze kwa pamoja yale ambayo mimi rafiki yako nimekuandalia. Karibu tutafakari na kukifunza kwa pamoja.

Kuna wakati unaweza ukawa upo makini sana unaposikiliza au kutazama au kusoma kitu lakini kuna hali huwa inatokea ghafla na kuharibu usikivu wako. Ni hali tu ambayo inatokea, na kwa halo hii unapoteza vitu muhimu sana, hasa kutokana na jambo lenyewe unalolifatilia.

Hali hii huwa inatokea sana unapokuwa makini sana, sio kwamba haitokei usipo kuwa makini, hapana, usipokuwa makini huwezi kutambua ya kwamba wewe umepoteza usikivu makini kwa sababu hupo makini.

Mara nyingi huwa tunachukilia kawaida, huwa hatujali ya kwamba hii hali kwanini inatokea tunaona ya kwamba ni jambo dogo sana hili. Mpendwa msomaji,  binafsi huwa nasema mambo madogo madogo ni hatari kuliko jambo ambalo unaliona kubwa na shida kubwa. Mambo madogo ndiyo mizizi ya hilo unaloliona kubwa.

Kupoteza usikivu kutakuletea madhara makubwa baadae bila ya wewe mwenyewe kujijua. Unaweza ukawa ulikuwa kwenye kikao lakini ghafla ukapoteza usikivu sehemu ndogo ya maelekezo ya muhimu, ukaona kwako si tatizo lakini umepoteza kitu cha muhimu sana na itashindwa kutekeleza jambo vizuri.

Mpendwa msomaji, changamoto kubwa tulio nayo zama hizi za taarifa na mambo mengi ya mitandao ya kijamii ni usikivu makini ulio makinika. Huwezi kukwepa hilo kwa kusema mitandao ya kijamii isiwepo hapana, ila ni wewe tu kuwa makini sana na kila jambo.

Kuna njia ambayo unaweza kutumia kupunguza hii hali kwanza tambua unalo tatizo hilo, ikisha kuwa makini wakati wote yaani jitawale mwenyewe, unaweza ukawa makini sana ukapotelea kwenye umakini huohuo. Shetani ana akili sana huwa anatumia nafasi hiyo hiyo uliyo nayo kukupoteza.

Lakini pía kuwa na tabia ya kutahajudi hii, nayo itakusaidia kuwa na umakini ulio makinika. Fanya tahajudi kila siku.

Makala hii katika maneno matatu ya kuishi nayo yaani KUWA, FANYA na POKEA, makala hii inataka KUWA,  husika mwenyewe.

Endelelea kutembelea blogu hii kukifunza zaidi. Maoni yako ni ya muhimu sana pia nisaidie kuwashirikisha wengine ujumbe huu uwafikie wengi zaidi.

Wako Sadick Kilasi.
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com, tuma ujumbe nitakujibu.


  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ▼  February (25)
      • Zawadi Ya Pekee Ambayo Leo Hii Unapaswa Kujizawa...
      • Chachu Za Maisha Na Mafanikio.
      • Dunia Imejaa Maswali, Kwanini Dunia Imejaa Maswal...
      • Maisha Yanahitaji Kitu Hiki Ili Yawe Maisha Yenye ...
      • Nguvu Za Mwanadamu Ni Ujana, Maisha Ya Kuzingatia...
      • Kutaka Taka Sana Mwisho Utakuwa Takataka.
      • Siraha Mbili Ambazo Unapaswa Kutumia Ili Kujenga M...
      • Hii Ndio Sababu Kubwa Ya Mahusiano Mengi Kuvunjika.
      • Sifa Ya Barua Ambayo Itakuwa Msaada Kwa Vizazi Vi...
      • Kama unapitia changamoto nzito katika maisha yako,...
      • Hakuna mazuri yanayokuja bila mabaya.
      • Hiki ndicho kitu adimu kupatikana zama hizi.
      • Chochote unachopitia kinapita.
      • Hili ndilo darasa tosha kwa kila mmoja katika maisha.
      • Jambo moja ambalo unapaswa kulifikiria kila siku
      • Nimekusamehe, lakini sitakusahau.....Mzani.
      • Hatima ya maisha ya kila mtu inategemea kitu hiki
      • Hili ndilo kosa kubwa ambalo wengi tumekuwa tunali...
      • Hii ndiyo hali ambayo inawatesa watu wengi sana za...
      • Mienendo miwili unayotakiwa kuishi nayo ili kupata...
      • Je hivi ndivyo ilivyo?
      • Njia ya kudhibiti mawazo yako.
      • Penye wema pana ubaya, penye ubaya pana wema pia.
      • Kwanini makosa?
      • Acha kusubiri ukamirifu, walio kamirika wapo makab...
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates