JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, February 26, 2018

Dunia Imejaa Maswali, Kwanini Dunia Imejaa Maswali? Jibu Hili Hapa.

 Sadick Kilasi     February 26, 2018     USHAURI     No comments   

Moja kati ya sifa kubwa ya dunia ni kwamba, dunia imejaa maswali mengi sana. Dunia imejaa maswali lakini majibu yapo kwako. Unaweza kujiuliza kivipi dunia imejaa maswali? Lakini ndo ukweli ulivyo dunia imejaa maswali.

Mpendwa msomaji,  changamoto zote unazopitia ni maswali kwako lazima uyajibu. Dunia inakuuliza na inataka uijibu maswali hayo.

Magonjwa yanayotokea duniani ni maswali ambayo wanadamu wanatakiwa kuyajibu, wakati wowote jiandae namna ya kuyajibu. Majibu yanayotakiwa ni tiba ya magonjwa.

Uonapo popote pale panaupungufu wa kitu tambua ya kwamba hilo ni swali kwako,  unatakiwa kilijibu. Dunia imejaa maswali mengi sana na majibu yote yapo kwa mwanadamu, maana yeye alipewa uwezo mkubwa wa akili na kutawala kila kitu cha dunia.

Kwanini dunia imejaa Maswali?  Dunia imejaa maswali inataka kila mmoja aweze kuwajibika katika nafasi yake. Dunia inauliza na kutaka kujibiwa.

Maswali yanakuwa mengi ya dunia hii kwa sababu watu wengi hawawajibiki katika nafasi zao, maswali yanakuwa mengi wakujibu wanakuwa wachache.

Mpendwa msomaji, dunia inakuhitaji na kukutegemea sana wewe, lazima uwajibike katika nafasi yako, tabia ya kuwategemea watu wengine na kujiona wewe hufai ni kuwaumiza wengi, maana watu wanategemea vipawa ulivyo navyo, elimu uliyo nayo, uzowefu ulio nao, lazima uijibu dunia kwa uwezo wako.  Watu wanategemea kutoka kwako, sio wewe kuwa tegemezi kila siku.

Dunia inauliza maswali mengi sana, sasa wewe kwanini unaishia kwenye maisha ya wengine, utawezaje kuijibu dunia? Mpendwa msomaji,  kuna tabia zama hizi watu kuishia kwenye maisha ya wengine, kuigana mambo, unakuta huyu anafanya kama huyu yaani utofauti unakuwa haupo kabisa. Ukiiga vipawa vya mwingine unawezaje kuijibu dunia kwa nafasi yako wakati hufanyii kazi vipawa vyako? Unaiga vipawa vya wengine?  Mpendwa msomaji, ishi maisha yako halisi, usiishie kwenye maisha ya wengine, dunia inakuhitaji kama wewe ulivyo sio kopi ya mwingine. Lazima uijibu na kuionesha dunia kwamba wewe unaweza kuijibu kwa usahihi, ulizaliwa ili uje udhihirishe vipawa na uwezo wako na ndio maana ulipozaliwa watu walifurahi, lazima uoneshe na uijibu dunia.

Mpendwa msomaji, umezaliwa kuijibu dunia, umezaliwa kusababisha mambo, umezaliwa kuwa tegemezi kwa watu, umezaliwa kuwajibu wengine matatizo yao sio kuwa tegemezi au kuiga maisha ya wengine na kufungana, badirika.

Endelea kutembelea blogu hii kujifunza zaidi. Maoni yako muhimu.

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.


  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ▼  February (25)
      • Zawadi Ya Pekee Ambayo Leo Hii Unapaswa Kujizawa...
      • Chachu Za Maisha Na Mafanikio.
      • Dunia Imejaa Maswali, Kwanini Dunia Imejaa Maswal...
      • Maisha Yanahitaji Kitu Hiki Ili Yawe Maisha Yenye ...
      • Nguvu Za Mwanadamu Ni Ujana, Maisha Ya Kuzingatia...
      • Kutaka Taka Sana Mwisho Utakuwa Takataka.
      • Siraha Mbili Ambazo Unapaswa Kutumia Ili Kujenga M...
      • Hii Ndio Sababu Kubwa Ya Mahusiano Mengi Kuvunjika.
      • Sifa Ya Barua Ambayo Itakuwa Msaada Kwa Vizazi Vi...
      • Kama unapitia changamoto nzito katika maisha yako,...
      • Hakuna mazuri yanayokuja bila mabaya.
      • Hiki ndicho kitu adimu kupatikana zama hizi.
      • Chochote unachopitia kinapita.
      • Hili ndilo darasa tosha kwa kila mmoja katika maisha.
      • Jambo moja ambalo unapaswa kulifikiria kila siku
      • Nimekusamehe, lakini sitakusahau.....Mzani.
      • Hatima ya maisha ya kila mtu inategemea kitu hiki
      • Hili ndilo kosa kubwa ambalo wengi tumekuwa tunali...
      • Hii ndiyo hali ambayo inawatesa watu wengi sana za...
      • Mienendo miwili unayotakiwa kuishi nayo ili kupata...
      • Je hivi ndivyo ilivyo?
      • Njia ya kudhibiti mawazo yako.
      • Penye wema pana ubaya, penye ubaya pana wema pia.
      • Kwanini makosa?
      • Acha kusubiri ukamirifu, walio kamirika wapo makab...
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates