JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, February 2, 2018

Kwanini makosa?

 Sadick Kilasi     February 02, 2018     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, MAHUSIANO, MAWASILIANO, NJOZI, USHAURI     No comments   


Ni siku nyingine tena mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI, Karibu katika makala ya leo tupate kujifunza kwa pamoja.

Mara nyingi mtu akikosea huwa anaonekana kana kwamba hafai na thamani yake hupungua ghafla kwa sababu ya kosa alilofanya, kiwango cha thamani yake hushuka kwa sababu ya kosa la mara moja tu. Kosa moja linauwezo wa kufuta mazuri yote mengi ambayo mhusika aliyafanya huko nyuma. Watu, hasa wenye matazamo hasi huchukulia ya kwamba kile ni kiwango cha mwisho kabisa ambacho mhusika amefikia na hata mazuri ya nyuma aliyofanya huchukuliwa kwa kiwango cha chini zaidi ukiringanisha na kosa alilofanya.

Lakini hilo linaweza likawa sio tatizo kubwa sana kwako wewe mhusika au kwa upande mwingine likawa tatizo kubwa sana kwako wewe.  Linaweza likawa sio tatizo kwako wewe kutokana na mtazamo wako juu ya kosa ulilolifanya, mtazamo ndio utakao kufanya wewe kuendelea kusonga mbele na unachukuliaje maneno ya wengine kwako. Unaweza ukawa ndio mwisho wa safari yako.

Je ushawahi kujiuliza kwanini watu tunakosea? Au kwanini makosa yanatokea? Inawezekana jambo unalolifanya unalitambua na kulielewa vizuri lakini bado makosa ukajikuta unafanya makosa. Kwenye kuelewa kuna kuaminishwa na kuelewa vibaya, sasa haya ni makosa ya kuelewa. Wakati mwingine unaweza ukawa ni uzembe ambao unapelekea kufanya makosa lakini hiyo sio sababu kwanini makosa yanatokea.

Hizi ndizo sababubu kwanini makosa yanatokea katika shughuri zetu za kila siku.

1.Ni kipimo cha imani yako. Tunaposema kipimo cha imani hatumaanishi imani ya dini, sivyo ni maarifa, taarifa na uelewa sahihi juu ya jambo unalofanya. Kwahiyo kosa linapokuja linakuja kukupima je wewe unauelewa kiasi gani juu ya jambo unalofanya? Wengine wanaweza wakakwambia wewe ni mzembe lakini ikawa sivyo, kumbe huna uelewa sahihi juu ya jambo hilo. Kwahiyo wewe mhusika unapokuja kugundua ya kwamba kumbe huna taarifa sahihi na uelewa mzuri, unachopaswa ni kuongeza imani yako tu au maarifa.


2.Kosa pia linakupima kuwa wewe mhusika unamtazamo gani juu ya jambo unalofanya. Inawezekana ukawa unafanya jambo hilo kwa ubora lakini bado hujaweka utayari wako pale, yaani unafanya jambo kwa kujilazimisha lazima makosa yatatokea. Kosa linapima viwango vya utayari wako kufanya jambo hilo.

3. Kosa linakupa hatua ya ziada mbele. Ndio kosa linakukumbusha ya kwamba unatakiwa kusonga mbele zaidi ya hapo ulipo, linakukumbusha ya kwamba kuna zaidi ya hapo ulipo.


4.Lakini kosa pia linakukumbusha ya kwamba wewe bado ni binadamu tu. Binadamu anamapungufu yake hilo lazima utambe, kwahiyo inawezekana wewe unajiaminisha ya kwamba wewe huwezi kukosea lakini kosa linakukumbusha kwamba binadamu anamapungufu yake. Usije ukajiinua sana ukasahau kwamba kunamakosa.

Sababu hizi zote zinakupa maandalizi juu ya matokeo mabaya utakayo yapata wakti unafanya jambo. Wewe utakapo kuwa uanfanya jambo, matokeo yakija tofauti na wewe ulivyo fikiria basi kwako wewe halitakuwa tatizo kubwa kwa sababu unatambua na utatumia fursa hiyo kusonga mbele.

Endelea kutembelea blogu hii kujifunza zaidi. OMBI; Nisaidie kuwashirikisha wengine ujumbu huu ili uwafikie wengi zaidi. Maoni yako ni ya muhimu sana mpendwa msomaji.

Wako Sadick Kilasi.
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com



  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ▼  February (25)
      • Zawadi Ya Pekee Ambayo Leo Hii Unapaswa Kujizawa...
      • Chachu Za Maisha Na Mafanikio.
      • Dunia Imejaa Maswali, Kwanini Dunia Imejaa Maswal...
      • Maisha Yanahitaji Kitu Hiki Ili Yawe Maisha Yenye ...
      • Nguvu Za Mwanadamu Ni Ujana, Maisha Ya Kuzingatia...
      • Kutaka Taka Sana Mwisho Utakuwa Takataka.
      • Siraha Mbili Ambazo Unapaswa Kutumia Ili Kujenga M...
      • Hii Ndio Sababu Kubwa Ya Mahusiano Mengi Kuvunjika.
      • Sifa Ya Barua Ambayo Itakuwa Msaada Kwa Vizazi Vi...
      • Kama unapitia changamoto nzito katika maisha yako,...
      • Hakuna mazuri yanayokuja bila mabaya.
      • Hiki ndicho kitu adimu kupatikana zama hizi.
      • Chochote unachopitia kinapita.
      • Hili ndilo darasa tosha kwa kila mmoja katika maisha.
      • Jambo moja ambalo unapaswa kulifikiria kila siku
      • Nimekusamehe, lakini sitakusahau.....Mzani.
      • Hatima ya maisha ya kila mtu inategemea kitu hiki
      • Hili ndilo kosa kubwa ambalo wengi tumekuwa tunali...
      • Hii ndiyo hali ambayo inawatesa watu wengi sana za...
      • Mienendo miwili unayotakiwa kuishi nayo ili kupata...
      • Je hivi ndivyo ilivyo?
      • Njia ya kudhibiti mawazo yako.
      • Penye wema pana ubaya, penye ubaya pana wema pia.
      • Kwanini makosa?
      • Acha kusubiri ukamirifu, walio kamirika wapo makab...
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates