JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Saturday, February 24, 2018

Nguvu Za Mwanadamu Ni Ujana, Maisha Ya Kuzingatia Ni Utoto, Vipaumbele Uzeeni, Maisha Ndani Ya Siku Moja.

 Sadick Kilasi     February 24, 2018     TAFAKARI YA ROHO     No comments   

Mwanadamu ni kiumbe anayezaliwa, anazaliwa akiwa hana nguvu kabisa za mwili. Mwili huanza kupokea nguvu polepole na baadae huwa na nguvu kubwa sana ambapo hiki ni kipindi cha ujana. Kutoka ujana wa nguvu nyingi huanza kupoteza nguvu zake pole pole na baadae huisha kabisa nguvu zake.

Maisha ya mtu mfumo wake umekaa kama siku moja tu, siku huanza na mwanga hafifu na baadae huongezeka na kuwa Mkali sana, kuanzia saa saba kuendelea nuru huanza kupoteza makali yake na baadae huisha kabisa.

Kipimo cha maisha yote ya mtu, kipo ndani ya siku moja, wakati wa utoto ambapo mtu anakuwa anaishi maisha halisi, kama jua linapochomoza huanza kwa kuvutia sana. Baadae mtu anakomaa na kuzongwa na mengi ya dunia, ambapo hiki ni kipindi cha ujana. Kipindi hiki cha ujana, ni kama jua kali sana linaloangaza kwa nguvu na kupoteza uzuri wake. Japokuwa ujana ndio kipindi cha nguvu nyingi lakini ndio kipindi ambacho mtu anazongwa na kila kitu cha dunia hii. Wakati wa ujana pamoja na kuwa na nguvu nyingi lakini ndio wakati haswa wa kutengeneza maisha ya mtu. Ndio fursa pekee ambapo mtu anaipata, fahari ya ujana ni nguvu zake mwenyewe.

Maisha huanza kupoteza nguvu za mwili pole pole na baadae kuufikia uzee. Ni kama jua linapoelekea mawiyo, huanza kuvutia pole pole na kupungua na baadae kupotea kabisa. Watu huanza kupoteza nguvu pole pole na baadae huisha kabisa. Maisha ya uzee huvutia sana, maisha ya uzee huwa na hekima midomoni mwao na kuishi maisha halisi. Fahari za wazee ni hekima zao.

Maisha yote ya mtu yapo kwenye kipimo cha siku moja tu, tunaishi maisha marefu ya siku nyingi lakini siku moja ndio kipimo chako cha maisha yako yote. Mpendwa msomaji, siku inapoisha huwa unafanya nini? Je hukutambua hicho ndicho kipimo chako cha maisha yote? Anza kuipa siku yako vipaumbele, ishi maisha ya uzee kwenye ujana. Wazee hufanya jambo ambalo linaleta maana kwao na huwa hawana mambo mengi sana. Mpendwa msomaji, fursa ya ujana nguvu, tukiweka vipaumbele kwenye kufanya mambo yetu kama wazee basi sisi tutafanya kwa ubora zaidi. Kijana, ishi kama mtoto, watoto wana sifa moja kubwa sana ambayo ni kuishi maisha. Kila wanapofanya jambo hufanya kwa uzingativu mkubwa.

Mpendwa msomaji, maisha yako yote yapo ndani ya siku moja, sasa ni muhimu kufanya hivi, kutumia sifa zote tatu za maisha yote ya mtu kwenye siku moja.
$#Kwanza kwenye utoto ni uzingatifu.
$#Pili, ujana ni nguvu na
$#Tatu uzee,  ni vipaumbele.

Maisha ni wakati, ni kipindi kifupi ambacho tumepewa hapa duniani ili tusababishe jambo ambalo litakuwa misingi kwa vizazi vijavyo. Kuwa mzingativu kwa kila jambo unalofanya,  fanya kwa bidii yaani tumia nguvu zako vizuri na weka vipaumbele, usisubili uzee.

Endelea kujifunza kupitia blogu hii, pia nisaidie kuwashirikisha wengine ujumbe huu mzuri. Maoni yako ni muhimu sana.

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.


  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ▼  February (25)
      • Zawadi Ya Pekee Ambayo Leo Hii Unapaswa Kujizawa...
      • Chachu Za Maisha Na Mafanikio.
      • Dunia Imejaa Maswali, Kwanini Dunia Imejaa Maswal...
      • Maisha Yanahitaji Kitu Hiki Ili Yawe Maisha Yenye ...
      • Nguvu Za Mwanadamu Ni Ujana, Maisha Ya Kuzingatia...
      • Kutaka Taka Sana Mwisho Utakuwa Takataka.
      • Siraha Mbili Ambazo Unapaswa Kutumia Ili Kujenga M...
      • Hii Ndio Sababu Kubwa Ya Mahusiano Mengi Kuvunjika.
      • Sifa Ya Barua Ambayo Itakuwa Msaada Kwa Vizazi Vi...
      • Kama unapitia changamoto nzito katika maisha yako,...
      • Hakuna mazuri yanayokuja bila mabaya.
      • Hiki ndicho kitu adimu kupatikana zama hizi.
      • Chochote unachopitia kinapita.
      • Hili ndilo darasa tosha kwa kila mmoja katika maisha.
      • Jambo moja ambalo unapaswa kulifikiria kila siku
      • Nimekusamehe, lakini sitakusahau.....Mzani.
      • Hatima ya maisha ya kila mtu inategemea kitu hiki
      • Hili ndilo kosa kubwa ambalo wengi tumekuwa tunali...
      • Hii ndiyo hali ambayo inawatesa watu wengi sana za...
      • Mienendo miwili unayotakiwa kuishi nayo ili kupata...
      • Je hivi ndivyo ilivyo?
      • Njia ya kudhibiti mawazo yako.
      • Penye wema pana ubaya, penye ubaya pana wema pia.
      • Kwanini makosa?
      • Acha kusubiri ukamirifu, walio kamirika wapo makab...
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates