JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, November 28, 2017

Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako na ukajengeka na baadae kuyafikia mafanikio makubwa

 Sadick Kilasi     November 28, 2017     UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

U hali gani mpendwa msomaji wa blogu yetu ya JIKO LA USHAURI? Natumai umeshinda vizuri upo salama kabisa. Bila shaka siku yako imekuwa bora sana. Ni jambo la kumshukuru mwenyezi Mungu ambaye katufikisha wakati huu wa usiku na hatuna budi kumshukuru, Mungu wetu muumba mbingu na nchi tunakushukuru kwaajiri ya siku hii ya leo asante kuturinda siku nzima, tazama sasa ni wakati wa usiku huu na tunenda kulala, wakati huu nyama zetu zinaenda kufa, ehe Mungu wetu ukawe pamoja nasi na ukatuamshe salama katika siku ya kesho, tunaomba utusamehe dhambi zetu tulizofanya leo na hata sasa.

Mpendwa rafiki yangu kuna wakati ambao ni mzuri kwetu sisi kujifunza na kujenga fikra zetu kwa usahihi. Wakati huu mtu huwa anajengeka kwa ubora sana na hasa unapokuwa unajirudiarudia akili huwa inafanya kazi kubwa sana. Wakati wenyewe ni wakati wa changamoto. Changamoto ndizo huwa zinamjenga mtu nakuwa bora sana.

Mpendwa rafiki yangu kama unataka kujengeka kiakili na hekima basi huu ndio wakati wake hakuna sehemu nyingine ambayo unaweza kujengeka kiakili kama wakati huu. Watu wengi wenye mafanikio makubwa duniani hao ndio wametatua changamoto nyingi sana na ndozo zili waweka pale walipo.

Ukweli ni kwamba maisha bila ya changamoto si maisha, fikiria ya kwamba tungekuwa tunaishi bila ya changamoto vipi ingekuwaje? maisha yangekuwa wapi? vipi tungekuwa hapa tulipo au tungekuwa huko tulikokuwa zama za mawe?  Ukweli ni kwamba maisha bila changamoto tungekuwa tumekufa kabisa maana vitu ambavyo vimekufa havina changamoto.

Mpendwa rafiki yangu wakati changamoto inapotokea hakikisha unaiangalia kwa jicho la upana, ipe wakati wakufikiria wewe mwenyewe bila ya kukimbilia kwa watu kuomba msaada na hapa ndipo mantiki yako itakapo kuwa kubwa. Unaweza ukapata jibu la kukosea lakini ukishajua ya kwamba hapa nimekosea na ukarudia tena ukafanya vizuri ni wazi kabisa ya kwamba hutokosea tena.

Sisi binadamu tunapenda mambo yetu yawe laini na wakati tunakutana na changamoto tunaona kuwa pale ndio ukomo wa mambo lakini kumbe haipo hivo. Changamoto yako ni yako huna haja ya kumpa mtu mwingi lakini ukishindwa mwambie akupe maelwkezo sio maelezo. Maelekezo yatakujenga inamaana kwa hali hiyo huwezi kufanya makosa tena.

Mpendwa rafiki yangu jambo la kufanya saizi ni kuepuka zile hamasa sizo na maana, mtu unachangamoto unaambiwa tulia tu mambo yatakaa sawa, ukweli ni kwamba unatakiwa kufikiria siyo kusema utafanikiwa pasipo njia. Chukua hatua saizi jiulize uliambiwa ya kwamba utafanikiwa tu leo uko wapi? Hamasa inatakiwa ukipe wewe mwenyewe sio mtu mwingine kwani maisha ni wewe, hakuna mtu mwingine ambaye anaweza kuchukua jukumu la maisha yako.

Kama wewe huwa unakuwaga na mawazo yale ya kusaidiwa na mtu mwingine yaani kuwa tegemezi basi umepotea sana kwa sababu huwezi ukajijenga wewe mwenyewe binafsi. Changamoto ni ladha ya maisha na utamu wake anujua muhusika.
Endelea kutembelea blogu hii ili kujifunza zaidi lakini pia unaweza kujiunga nami kwa kujaza fomu ambayo inamaelezo ya kwamba jiunge nami. 

Utatu wa maisha ni KUWA+FANYA=SUBIRI MATOKEO.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com
WWWW
W
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ▼  November (22)
      • Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako n...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayo...
      • Hii ndio sheria ya dunia
      • Kama bado unasubiri kitu hiki kutoka kwa wengine h...
      • Ijenge tabia ikisha nayo itakujenga wewe
      • Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa...
      • Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu ...
      • Hii ndio silaha pekee uliyonayo wewe ukiitumia viz...
      • Woga wako ndio umaskini wako
      • Jiulize, mimi nipo bize na nini?
      • Hata kama umekata tamaa bado kuna vitu vipo ndani ...
      • Mshinde kwanza huyu mpinzani wako ulienae kusafish...
      • Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio ma...
      • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye ana...
      • Hapa ndipo ushindi wa mafanikio unapoanzia
      • Ubongo wako ni karakana ambayo inayoshughulika kuk...
      • Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako
      • Nyenzo kumi za kukufanya ufanikiwe kimaisha
      • Dunia inavokuendesha bila wewe kujua
      • Jiulize tena, tena na tena.
      • Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana...
      • Hii ndio siri kubwa ya woga
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates