JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, November 7, 2017

Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako

 Sadick Kilasi     November 07, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Mpendwa wangu ni siku nyingine tena ambayo ni siku mpya kabisa na kama ulikuwa hujui zimebaki siku arobaini na tatu tumalize mwaka, anglia siku zinavokwenda juzi tu tulikuwa tunasherekea mwaka mpya leo mwaka umeisha na malengo yako uliyokuwa umejiwekea mwezi wa kwanza saizi ndo unajaziajazia, ni jambo zuri kama unaibuka mshindi wa malengo yako, hongera sana.

Kama unasoma hapa natumai umeamka salama na hauna budi kumshukuru mwenyezi Mungu katika hili, E mwenyezi Mungu tunasema asante kwaajili ya siku hii mpya tunajua usingekuwa wewe isinge wezekana, tunaomba utusamehe makosa yetu na katika kazi za mikono yetu tunaomba utubariki, mahala popote tutakapo enda kugusa siku hii ya leo uweza wako ukadhihirike.

Karibu mpendwa wangu msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI ili ujifunze maana mimi rafiki yako kila siku nimekuwa nikiingia jikoni na kukupikia vitu ili tufaidi mmi na wewe. Kujifunza ndo maisha ila kushukua hatua ndo maisha ya ukweli. Leo mpendwa wangu nataka nikuonyeshe adui yako mkubwa wa mafanikio yako.

Inawezekana umekuwa ukitafuta mafanikio kwa hali namali lakini unaona huyapati, unatafuta huku na kule kutafuta nani adui na mwishowe anona kama unamikosi na unakata tamaa kabisa na kuona haiwezekani kabisa lakini ukweli ni kwamba yupo adui ambae upo nae ambae anasababisha yote haya na adui ni kutokujipanga.

Kama wewe hujaweka malengo na mikakati katika jambo ambalo unalifanya na unataka kufanikiwa ni lazima utashindwa tu. Kila kitu kina ugumu wake na changamoto zake hakuna jambo lahisi dunia na kama lipo ujue haliwezi kukupa kitu chenye dhamani kubwa wasema lazima ulipie ghalama kutokana na dhamani ya kile kitu ili uweze kukipata.

Subscribe to our mailing list

* indicates required
Email Format
Ikiwa utakuwa umejipanga inamaana utakuwa umezijua changamoto zotena upo tayari kupambana nazo na ndiomaana umeanza kufanya jambo hilo. Jipange hakuna jambo rahisi kwenye maisha, wewe mwenyewe unaweza kujifunza hata kwenye vitabu vya dini uone jinsi manabi walivo pita hali ngumu katika kutangaza dini zao. Kaa na ujue hakuna jambo lahisi chini ya jua na kama lipo basi dhamani yake na ndogo na haliwezi kukupeluka unakotaka wewe.

Fanya kazi kwa ugumu utafanikiwa.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0659639168 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ▼  November (22)
      • Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako n...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayo...
      • Hii ndio sheria ya dunia
      • Kama bado unasubiri kitu hiki kutoka kwa wengine h...
      • Ijenge tabia ikisha nayo itakujenga wewe
      • Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa...
      • Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu ...
      • Hii ndio silaha pekee uliyonayo wewe ukiitumia viz...
      • Woga wako ndio umaskini wako
      • Jiulize, mimi nipo bize na nini?
      • Hata kama umekata tamaa bado kuna vitu vipo ndani ...
      • Mshinde kwanza huyu mpinzani wako ulienae kusafish...
      • Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio ma...
      • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye ana...
      • Hapa ndipo ushindi wa mafanikio unapoanzia
      • Ubongo wako ni karakana ambayo inayoshughulika kuk...
      • Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako
      • Nyenzo kumi za kukufanya ufanikiwe kimaisha
      • Dunia inavokuendesha bila wewe kujua
      • Jiulize tena, tena na tena.
      • Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana...
      • Hii ndio siri kubwa ya woga
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates