JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Monday, November 27, 2017

Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayokuzunguka ili kupata mafanikio makubwa

 Sadick Kilasi     November 27, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, MAHUSIANO, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa rafiki yangu, natumai umeamka salama na upo na mwenye nguvu tele. Kitu pekee ambacho ni cha dhamani sana ni wewe kuwa na pumzi hiyo uliyo nayo haijarishi upo katika hali gani, ukuwa na pumzi na unaweza kusoma tayari wewe unaweza kufanya kitu chochote na kikawagusa wengine na kuleta matokeo ulio talajia. Ni jambo la kumshukuru mwenyezi Mungu katika hili kwasababu bila yeye tusingeweza kufanya kitu chochote maana kwa usiku ambao tulikuwa tumelala ni sawa mtu mfu. Kwa hili tumshukuru mwenyezi Mungu, tunakushukuru mwenyezi Mungu kwaajili ya siku hii mpya na uzima huu tulio nao, tunakuomba katika siku hii ya leo kila tutakapo kwenda kukanyaga ukatubariki na uwepo wako ukadhihirike, tunakuomba utusamehe hdambi zetu.

Mpendwa rafiuki yangu katika maisha hasa ya sasa kumekuwa na changamoto nyingi sana. Ajira na mahusiano vimekuwa vitu vinavo wapa watu wakati mgumu katika maisha yao. Rafiki yangu tukizungumzia kwenye swala la ajira kwa sasa limekuwamni tatizo kubwa sana, watu ambao walikuwa na uhakika wa ajira lakini lakini sasa   hawana uhakika tena katika ajira zao. Ukweli ni kwamba mambo yamebadirika haswa katika nyanza hizi za ajira.

Tukizungumzia kwenye swala la mahusiano nalo pia limeadhirika sana katika zama hizi za mawasiliano. Ukweli ni kwamba mawasiliano yamekuja kuleta tofauti kubwa sana kwenye uhusiano wetu na watu wetu wa karibu. Zamani mtu wa mbali akitaka kuwasiliana na wewe alikuwa anaandika barua na inakufikia wewe kwa hali hiyo barua zilikua zinatugusa sana wakati tunasoma unajisikia muhemuko fulani. Lakini sasa haipo kabisa.

Kwenye swala zima la kazi na mahusiano zamani mtu ukipata kibarua unaenda kumfuata mtuwako wa karibu na kumwambia bwana e kuna kibarua sehemu flanitwende tukafanye tupate ridhiki lakini kwa sasa haipo hiyo. Watu ambao walikuwa na uhakika na ajira na kazi zao kwenye makampuni na katika sehemu mbalimbali  lakini kwa saizi unaweza ukaamka asubuhi na ukaambiwa tumempata mtu wa nafasi yako kwa sababu ana uwezo zaidi yako.

Ndoa zimekuwa zikivunjika kwa sababu watu wanaoana kwa sababu wanategemea matarajio fulani kutoka kwa wenza wao wanapokosa hivo vitu basi ndoa imeisha.

Hvi ndivyo unavyotakiwa kujiweka na kuishi kwenye jamii yako, kuwa MUHIMU na sio kuwa wa dhamani. Unapokuwa wamuhimu katika jamii yako kamwe hakuna mtu ambaye atachukua nafasi yako inamaana pasipo wewe hakuna jambo lolote linaloweza kufanyika. Mpendwa wangu mambo yanabadirika unaweza ukaamka asubuhi unaenda kazini unafika kazini unaambiwa hamna kazi hapa na kazi hauna. Rafiki yangu unaweza ukaamka asubuhi akaambiawa na mwenza wako wewe hunifai huna pesa na sababu zingine mbalimbali.

Unapokuwa wa dhamani kumbuka wewe unapanda na kushuka na kwa zama hizi za mabadiriko mbona kesho dhamano yako inaisha, hapo ndipo unapoanza kujiuliza nimelogwa nini? Hujalogwa tatizo ni wewe umejiweka katika dhamani na kwa hali hio watu wamepanda dhamani na hapo ndipo unaanza kukimbizana na ajira.

Wewe ni mtu wa muhimu sana kwenye jamii na ni wakipekee sana, ipo njia ya wewe kuwa mtuwa muhimu katika jamii inayokuzunguka, jiulize swali hili darasani bila mwalimu inawezekana? Na hapo utajua kwanini unatakiwa kuwa wa muhimu.

Endelea kutembelea JIKO LA USHAURI kujifunza zaidi.
Fomula ya maisha ni kuwa+fanya=matokeo
Wako SADICK KILASI.
Mawasiliano 0687000768 au sadikila65@gmail.com
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ▼  November (22)
      • Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako n...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayo...
      • Hii ndio sheria ya dunia
      • Kama bado unasubiri kitu hiki kutoka kwa wengine h...
      • Ijenge tabia ikisha nayo itakujenga wewe
      • Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa...
      • Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu ...
      • Hii ndio silaha pekee uliyonayo wewe ukiitumia viz...
      • Woga wako ndio umaskini wako
      • Jiulize, mimi nipo bize na nini?
      • Hata kama umekata tamaa bado kuna vitu vipo ndani ...
      • Mshinde kwanza huyu mpinzani wako ulienae kusafish...
      • Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio ma...
      • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye ana...
      • Hapa ndipo ushindi wa mafanikio unapoanzia
      • Ubongo wako ni karakana ambayo inayoshughulika kuk...
      • Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako
      • Nyenzo kumi za kukufanya ufanikiwe kimaisha
      • Dunia inavokuendesha bila wewe kujua
      • Jiulize tena, tena na tena.
      • Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana...
      • Hii ndio siri kubwa ya woga
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates