JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, November 2, 2017

Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana kwenye maisha yetu.

 Sadick Kilasi     November 02, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpya hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu, Mungu tunasema asante kwaajili ya siku hii mpya, tunashukuru kwa kutufanya tumeiona siku mpya maana tunaamini kuna watu wameshindwa kuiona siku hii, sio kwa sababu sisi tumefanya mambo mazuri sana hapana bali ni kwa upendo wako tu. Tuanaomba Baba akutubariki katika siku hii ya leo, katika mienendi yetu ukatutanguli wewe kila tunapo kanyaga na kufanya shughuli zetu, lakini pia tunaomba ubariki ndugu zetu, viongozi wetu, jamaa zetu na watu walio kata tamaa ukawabariki. Amina.

Mpendwa rafiki yangu karibu tena katka JIKO LA USHAURI ujifunze na kuongeza maarifa ili yakusaidie kwenye harakati zako za maisha na kujenga mafanikio makubwa. Leo mpendwa wangu nimekupikia makala yenye kichwa kisemacho [sababu  kubwa sana kwanini wajasiriamali ni muhimu sana kwenye maisha yetu].

Vitu vyote vizuri unavyoviona duniani hapa kama havijaumbwa na mwenyezi Mungu basi hiyo ni kazi ya mjasiriamali. Majumba makubwa, barabara nzuri, simu hiyo au kifaa hicho unachotumia kusomea haya makala hiyo yote ni kazi ya mjasiriamali. Watu hawa ni waajabu sana wanafanya kazi kubwa sana.

Wakati dunia inaumbwa ilikuwa haipo hivi, vitu vyote wao ndio wamefanya tufike hapa tulipo fika. Mwenyezi Mungu katuumba sisi, mawe milima na vitu vyote ikisha akamwambia mwanadamu hivi vyote virukao na vitembeavyo na vitu vyite vilivyo chini ya jua ni mali yako wewe, enenda katumie na kutawala. Lakini wajasiriamali pekee ndio wanao nufaika na kutawa vizuri vitu hivi.

Wao ndio hufanya kazi kubwa kutatua kero zinazo tukera duniani madaraja, barabara nzuri za kupitia magari, magari yenyewe ni kazi ya mikono yao. Wajasiriamali ni watu wa kujituma sana wanatumia bongo zao kuhakikiasha wanatatua kero zinazotukira. Ni wazi kabisa dunia imepitia vipindi tofautitofauti zama za mawe, zama za moto na zama za chuma  yote hii ni kazi yao. Jaribu kufikiria miaka kumi nyuma angalia dunia ilivyoenda mbali na kusonga mbele ambapo sasa hivi tunasema dunia ipo kwenye kiganja yote hii ni kazi ya mjasiriamali.

Mjasiriamali ni mtu wa namna gani? Yupoje na anaakili ya namna gani mpaka kutengeneza vitu vikubwa namna hii? Najua unaweza ukawa unajiuliza maswali kama hayo lakini majibu yake ni kwamba wajasiriamali ni watu wa kawaida tu. Ila wao wanapo kutana na changamoto huwa wanafikiria kwa kina sana na kusisimua bongo zao kitu ambacho sisi wengine hutufanyi jambo hilo. Wakikutana na changamoto wanaimeng'enyameng'enya  na kulichambua makini mkubwa sana na majibu yake ndo hapa tulipo fikia.

Kwahiyo ipo haja ya kusisimua ubongo wetu, kufikiri kwa kina ili kutatua kero zinazo tusumbua na hapo ndipo tutakapo kuwa wajasiriamali. Endelea kutembea mtandao huu ili kujifunza zaidi.

Fanya kazi kwa ugumu utafanikiwa.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ▼  November (22)
      • Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako n...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayo...
      • Hii ndio sheria ya dunia
      • Kama bado unasubiri kitu hiki kutoka kwa wengine h...
      • Ijenge tabia ikisha nayo itakujenga wewe
      • Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa...
      • Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu ...
      • Hii ndio silaha pekee uliyonayo wewe ukiitumia viz...
      • Woga wako ndio umaskini wako
      • Jiulize, mimi nipo bize na nini?
      • Hata kama umekata tamaa bado kuna vitu vipo ndani ...
      • Mshinde kwanza huyu mpinzani wako ulienae kusafish...
      • Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio ma...
      • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye ana...
      • Hapa ndipo ushindi wa mafanikio unapoanzia
      • Ubongo wako ni karakana ambayo inayoshughulika kuk...
      • Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako
      • Nyenzo kumi za kukufanya ufanikiwe kimaisha
      • Dunia inavokuendesha bila wewe kujua
      • Jiulize tena, tena na tena.
      • Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana...
      • Hii ndio siri kubwa ya woga
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates