JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, November 12, 2017

Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio mawazo yangu ya biashara.

 Sadick Kilasi     November 12, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, UJASIRIAMALI     No comments   

Ni siku nyingine tena, ambayo ni siku mpya natumai umeamka vizuri na upo tayari kwaajiri ya mapambano ya siku hii. Na kama wewe unataka kujua hali yangu basi mimi ni mzima wa afya na nipo tayari kwaajiri ya siku hii ya leo katika kupambana na kufikia malengo yangu na kuwapa dhamani wengine.

Kama wewe unasoma hapa kaa na ujue ya kwamba wewe ni mzima tayari na huna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwaajiri ya pumzi uliyonayo, haijarishi upo katika hali gani upo kitandani unaumwa wewe bado unayo fursa ya kufanya chochote kwenye maisha, waweza kuongea kitu ambacho kinaweza kubadili maisha ya mtu mwingine kwahiyo kwa hali yoyote ile ambayo mpendwa wangu upo nayo basi siku hii ya leo unaweza kufanya kitu chochote kile na kuwapa dhamani wengine. Kwa yote tumshukuru mwenyezi Mungu kwa kutujalia siku hii ya leo, Mungu tunakushukuru kwaajili ya siku hii ya leo, hii ni siku mpya na  ni siku ambayo kuna watu waliiwekea malengo yao lakini wameshindwa kuifikia siku hii lakini sisi tumeifikia, sio kwamba sisi tuwazuri sana kwako bali tu ni upendo wako ulionao tunasema asante. Tunakuomba siku hii ya leo iakawe siku ya tofauti tukaijenge vizuri na kuwapa dhamani wengine na katika vyote tunavyoenda kugusa vikawe na baraka, tunakuomba utusamehe makosa yetu.

Mpendwa wangu karibu katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI uendelee kujifunza na kuulisha ubongo wako na mwisho uyaishi haya unayo jifunza na uyafikie mafanikio yako. Kama bado hujaanza biashara basi haya ndiyo mawazo yangu ya biashara kikubwa wewe tu kuchukua hatua.

Kama bado hujaanza biashari unaweza kuanza biashara ya kilimo na mbogamboga. Unaweza kuanza kilimo hapo maeneo ya nyumbani ukilima mbogamboga na mwisho ukatengeneza kipato chako.

Unaweza ukaanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Kijana unaweza kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji ambao hauna ghalama sana  na mwisho ukatengeneza kipato chako kwa kuuza mayai au kuku.

unaweza ukawa unauza vyakula vya nafaka. Kijana unaweza ukaanza biashara ya uuzaji wa vyakula vya nafaka.

Kijana unaweza kuanza ufugaji wa mbuzi wa maziwa. Unaweza kuanza ufugaji wa mbuzi wa maziwa na ukatengeneza pesa kwa kuuza maziwa.

Mwisho unaweza kufanya kitu chochote kile ambacho unahisi kitakuingizia kipato, kama huwa unafikiria biashara fulani inalipa na nyingine hailipi mimi huwa naona huo sio ukweli kikubwa ni uvumilivu tu kwenye hiyo biashara na aina ya wateja unao walenga kama biashara yako inawelenga wateja wachache basi na kipato chako kitakuwa kidogo au kama biashara yako inawalenga wateja ambao ni wakipato cha chini basi kipato chako kitakuwa kidogo ni mfumo wako tu wa biashara ndio ambao utakupa kipato unachokitaka. Kama unataka kipato kikubwa toa dhamani kubwa.

Biashara zote zinalipa anza sasa kufanya na kama huna mtaji jaribu kuangalia biashara ambazo hazina mtaji na uanze nazo kikubwa kuchukua hatua, kama huwezi kutembea tafadhari tambaa kikubwa unachatakiwa ni kusogea mbele sio kubaki hapo ulipo na kutafuta visingizio hilo sio suruhisho. Na mwisho lazima utambue hata kama ukiwalaimu wenine na kuwasingizia au ukajilaumu mwenyewe na kusingizia kitu flani bado haita leta maana yoyote na bado utaendelea kuishi sijui utafanya nini?

FANYA KAZI KWA UGUMU UTAFANIKIWA.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ▼  November (22)
      • Huu ndio wakati ambao unaweza kujenga fikra zako n...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kuishi kwenye jamii inayo...
      • Hii ndio sheria ya dunia
      • Kama bado unasubiri kitu hiki kutoka kwa wengine h...
      • Ijenge tabia ikisha nayo itakujenga wewe
      • Mbinu mbalimbali za kujifunza ili kuongeza maarifa...
      • Kila kitu kipo tayari unasubiri nini rafiki yangu ...
      • Hii ndio silaha pekee uliyonayo wewe ukiitumia viz...
      • Woga wako ndio umaskini wako
      • Jiulize, mimi nipo bize na nini?
      • Hata kama umekata tamaa bado kuna vitu vipo ndani ...
      • Mshinde kwanza huyu mpinzani wako ulienae kusafish...
      • Kama bado hujaanza biashara basi haya hapa ndio ma...
      • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye ana...
      • Hapa ndipo ushindi wa mafanikio unapoanzia
      • Ubongo wako ni karakana ambayo inayoshughulika kuk...
      • Huyu ndiye adui mkubwa wa mafanikio yako
      • Nyenzo kumi za kukufanya ufanikiwe kimaisha
      • Dunia inavokuendesha bila wewe kujua
      • Jiulize tena, tena na tena.
      • Sababu kubwa kwanini wajasiriamali ni muhimu sana...
      • Hii ndio siri kubwa ya woga
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates