JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, January 23, 2018

Tabia hizi mbili, ndizo zinazokufanya kuwa mtu mwenye manufaa kwa watu na kupoteza utu wako.

 Sadick Kilasi     January 23, 2018     MAHUSIANO, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena, siku mpya ambayo mwenyezi Mungu katujalia kuiona, na sisi hatuna budi kuitambua siku hii ya kwamba ni siku ya muhimu kwetu. Siku muhimu lazima tuidhamini na gharama yake ni kubwa mno kwa sababu tumeifikia kwa neema tu za mwenyezi Mungu. Wapo ambao walitamani kuiona siku lakini wameshindwa, sisi ambao tumejaliwa kuiona lazima tuidhamini siku hii na kutoa matokeo chanya katika maeneo mbalimbali ya shughuli zetu.

Mpendwa msomaji karibu katika makala ya leo, makala hii ya leo inakichwa kinachosema, tabia hizi mbili, ndizo zinazokufanya kuwa mtu mwenye manufaa kwa watu na kupoteza utu wako. Tabia hizi mbili ndizo ambazo zinaweza kukupa mafanikio ya kweli au kuwa mtu mwenye manufaa kwa watu. Ninaposema mtu mwenye manufaa kwa watu ni yule mtu ambaye anatumika kama chombo tu yaani anakuwa ni usefully kwa mtu. Mtu ambaye anatumika kwa mtu huwa anakosa umuhimu, wakati wowote anaweza kupakiwa kama chombo fulani, mfano ghari, simu yaani vitu vyote huwa ni vya kupaki pale vinapokosa manufaa na haviwezi kutumika tena.

Hii ni changamoto ambayo inatukumba wengi sana, hasa tabaka la chini kabisa na la kati. Watu maskini na watu tabaka la kati huingia kwenye changamoto hii bila wao wenyewe kujua sababu zilizopelekea kuwa hivo. Watu wenye manufaa ni wale watu ambao kila siku wanapambana na kutetea nafasi zao za kazi na hata kwenye biashara hali hii ipo. Ukiona wewe kila siku unapambana kutokuachishwa kazi, basi tambua wewe ni mwenye manufaa, ukiona wewe unapambania cheo fulani tambua wewe ni mwenye manufaa. Rafiki yangu chenye manufaa kimekosa umuhimu, kwahiyo wakati wowote kinaweza kupakiwa pembeni.

Hizi ndizo tabia mbili ambazo zinakufanya uwe mtu wa manufaa kwa watu na kugeuzwa kitu na kupoteza utu wako.

1.Ubinafsi. Tabia ya ubinafsi ndio tabia ya kwanza ambayo hupelekea kuwa kitu kwa watu badala ya kuwa mtu. Ubinafsi hupelekea kuwa mtu mwenye manufaa kwa watu, huwezi kuona watu wanachangamoto gani, unachojali wewe ni tumbo lako tu. Kuna msemo mmoja ambao watu wa kipato cha chini hupenda kuutumia kwamba 'natafuta pesa ya kula tu', ni msemo mbaya sana. Walio fanikiwa ni watu ambao wametatua matatizo ya wengine yaani watu. Wanacho kazana wao ni kutatua changamoto za watu na hapo umuhimu wao kwenye jamii unaonekana. Unaposema natafuta pesa ya kula tu ni lazima utaendelea kupambania kakazi uliko nako kwa sababu unajijali wewe tu.

2.Kukosa mtazamo mwiingine juu ya kile unachafanya. Kuendelea kufanya kile unachofanya kwa sababu anaona ya kwamba hakuna namna basi lazima utaendelea kuwa mwenye manufaa, mtakuwa mnapabania kitu kimoja na yule mwajiri anaangalia na kuchagua ni yupi mwenye manufaa makubwa kwangu ndiye anaye nifaa, akisha kupata yule ataendelea kupambania cheo chake na zama hizi wapo wengi wasomi na mwisho na utapoteza utu kwa kupakiwa pembeni.

Mpendwa msomaji, tulikuja duniani kuziba mapengo penye pango na sio kupambania pengo.Tunakosa umuhimu kwa sababu ya ubinafsi wetu, tunakosa umuhimu kwenye jami kwa sababu ya mtazamo wetu mdogo, tumekuja kusababisha utu palipokosa utu, tunaalikwa kutatua changamoto za watu, na sio kuwa mtu mwenye manufaa kwa mtu mmoja yaani unageuzwa kuwa gari yaani natumia kwa mda harafu nitaacha, mbaya sana hii.

Endelea kujifunza kupitia blogu hii, na OMBI; Naomba nisaidie kushirikisha wengine ujumbe huu ili uwafikie wengi zaidi, usiache kutoa maoni yako juu ya makala hii na blogu kwa ujumla.

Wako SADICK KILASI wa jikolaushauri.blogspot.com
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmaili.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ▼  January (17)
      • Mda wa maisha ni mfupi unapokuwa unakazana kufanya...
      • Unapohofia kuchukua hatua .
      • Wanao leta upinzani, wanatuinua.
      • Tunaposhindwa kuheshimu misingi ya mababu zetu.
      • Kama bado umekuwa unasubiri hali hizi mbili kutoka...
      • Tatizo sio wao, tatizo ni wewe na migogoro ndipo i...
      • Wewe ni kuchagua tu, kila kitu kipo pande mbili.
      • Tabia hizi mbili, ndizo zinazokufanya kuwa mtu mwe...
      • Ningelijua ninge....Je ungefanya nini?
      • Maajabu niliyokutana nayo nilipo jiangalia kwenye ...
      • Hii ndio sababu ambayo inafanya watu kupitia chang...
      • Hili ndilo neno ambalo ukitamka tu, lazima utafani...
      • Sio kila jambo sawa, mambo mengine ni upuuzi tu.
      • Wazo lenye nguvu
      • Huyu ndiye mtu adimu kupatikana zama hizi za taarifa
      • Maneno matatu ya kusafiri nayo mwaka 2018 ili kuje...
      • Heri ya mwaka mpya,hii ndio falsafa ya kuishi nayo...
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates