JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, January 19, 2018

Hili ndilo neno ambalo ukitamka tu, lazima utafanikiwa katika jambo unalotaka kufanya

 Sadick Kilasi     January 19, 2018     MAHUSIANO     No comments   

Habari rafiki? Karibu katika makala ya leo ambayo nimekuandalia leo ili tujifunze kwa pamoja mimi na wewe msomaji wangu.

Katika maisha kuna mengi sana tumekuwa tunayafanya, kuna mengi sana tumekuwa tunayatenda, kunamengi sana tumekuwa tunayanena. Tumekuwa tunayafanya mengi kwa kuwajenga wengine lakini wakati mwingine tumekuwa tunawabomoa na kuwaumiza wengine na wakati mwingine tumekuwa tunajiumiza wenyewe.

Lakini yote haya ambayo tumekuwa tunayafanya yamekuwa yakitegemea neno moja tu, 'sababu' Neno hili linaweza kutumika vizuri au linaweza kutumika vibaya. Neno hili linamtegemea mtumiaji mhusika mwenyewe, linaweza kutumika kubomoa au linaweza kutumika kujenga.

Wakati ambapo limekuwa likitumika kujenga, mfano; sababu iliyonifanya nifungue biashara ya duka la vyakula eneo hili ni uhaba wa maduka ya vyakula maeneo haya, sababu iliyo nifanya niweke usafiri maeneo haya ni uhaba wa daladala maeneo haya. Kwa hapa neno hili limetumika ili kuwasaidia wengine, na sababu zenyewe zinaleta maana kabisa.

Lakini pia hili neno linaweza likatumika kuwaumiza wengine, mfano; sababu iliyonifanya nifungue duka la vyakula maeneo haya nimeona nimeona huyu jamaa anauza sana kwahiyo hii biashara maeneo haya inalipa, sababu ya kutokufanya biashara kwa sababu nimekosa kampani ya watu. Rafiki yangu huku pia sababu zinaleta maana kabisa.

Neno hili linatakiwa kutumika vizuri sana. Jambo lolote lile ukilipa sababu linanguvu sana na ndio maana hata siku moja hutoweza ona watu wote wamekubali kitu kimoja hata kiwe kizuri kiasi gani wapo watakao pinga kwa sababu ya sababu. Watapinga jambo zuri na wataeleweka kwa wengine na upinzani utakuwa mkubwa na maana ya kupinga itaonekana, nimemwuua kwa sababu ni mwizi, inaleta maana lakini ni mbaya sana hii.

Mimi na wewe rafiki yangu neno sababu lipite pale tu, tunapotaka kuwajenga wengine na sio kubomoa wengine, kutatua matatizo ya wengine. Ukianza na wewe, utaishia na wewe. Usifanye kitu cha kibinafsi huwezi leta maana hata siku moja. Hivi rafiki yangu ushawahi kujiuliza kwa kwanini viongozi wa serikali huwa wanaanza kwa unyenyekevu halafu mwishoni wanakuwa mafisadi. Alianza kwa kuanza kutatua mataizo ya kwake binafsi, alikuwa hana hela ndio maana akagombea sasa hii ni sababu mbaya katika uongozi, anza kuangalia matatizo ya watu kabla ya wewe, hutokuwa fisadi.

Sababu iliyotufanya tuwepo si kwasababu tupo, ni kwasababu ya wengine kwani tulikuwepo kabla ya kuwepo. Sababisha kwa wengine.

Endelea kujifunza kupitia blogu hii ya JIKO LA USHAURI, pia naomba unisaidie kuwashirikisha wengine ujumbe huu ili uwafikie wengi zaidi, utakuwa umesababisha.
Katika yale maneno matatu ya mwaka 2018, neno la KUWA, linataka uwe unapenda kujiuliza wewe mwenyewe.

Wako SADICK KILASI wa jikolaushauri.blogspot.com
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com, leo usiache kutoa oni au dukuduku yako.
Asante.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ▼  January (17)
      • Mda wa maisha ni mfupi unapokuwa unakazana kufanya...
      • Unapohofia kuchukua hatua .
      • Wanao leta upinzani, wanatuinua.
      • Tunaposhindwa kuheshimu misingi ya mababu zetu.
      • Kama bado umekuwa unasubiri hali hizi mbili kutoka...
      • Tatizo sio wao, tatizo ni wewe na migogoro ndipo i...
      • Wewe ni kuchagua tu, kila kitu kipo pande mbili.
      • Tabia hizi mbili, ndizo zinazokufanya kuwa mtu mwe...
      • Ningelijua ninge....Je ungefanya nini?
      • Maajabu niliyokutana nayo nilipo jiangalia kwenye ...
      • Hii ndio sababu ambayo inafanya watu kupitia chang...
      • Hili ndilo neno ambalo ukitamka tu, lazima utafani...
      • Sio kila jambo sawa, mambo mengine ni upuuzi tu.
      • Wazo lenye nguvu
      • Huyu ndiye mtu adimu kupatikana zama hizi za taarifa
      • Maneno matatu ya kusafiri nayo mwaka 2018 ili kuje...
      • Heri ya mwaka mpya,hii ndio falsafa ya kuishi nayo...
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates