JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, January 18, 2018

Sio kila jambo sawa, mambo mengine ni upuuzi tu.

 Sadick Kilasi     January 18, 2018     MAHUSIANO, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena rafiki yangu mpendwa, siku mpya, hongera kwaajiri ya siku hii mpya na hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwaajili ya siku hii mpya. Ni kwa neema na rehema za upendo wake sisi kuina siku hii ya leo. Jambo moja ambalo unatakiwa kulitambua wewe msomaji ni kwamba wapo wengi sana ambao walitamani sana kuiona siku hii lakini wameshindwa, sasa wewe ni nani mpaka uione siku hii ya leo? Kwa maana hiyo lipo kusudi kubwa ambalo mwenyezi Mungu anataka utende si bure rafiki yangu.

Karibu katika somo la leo, ili kwa pamoja tupate kujifunza hili jambo ambalo mimi rafiki yako nimekuandalia wewe msomaji wangu.

Katika dunia hii ya sasa, dunia yenye mambo mengi ya kufanya, dunia iliyojaa wapimgaji wengi na wakatisha tamaa, dunia yenye kelele nyingi za vitu, dunia yenye ya walio feli wengi na walio fanikiwa, dunia ambayo wakati hauendi na mtu lakini binadamu wanaenda nao, dunia iliyojaa fursa nyingi sana mpaka zinakuwa utapeli, dunia iliyojaa kiza kinene kwa kutokuwa na taarifa sahihi, dunia iliyojaa matokeo mengi kuliko kawaida sio kila jambo ni sahihi, mambo mengine ni UPUUZI tu, ndio ni upuuzi tu.

Hatuwezi kwenda na kila kitu lazima mengine tuchukulie kama upuuzi tu. Akili zetu haziwe kupokea kila kitu, sasa sisi tutakuwa ni dampo la kutupia takataka, mambo mengine ni upuuzi na bora niwe mjinga kwenye mambo mengine maana kila mtu anaujinga wake. Bora niwe mshamba tu, mimi siendi na wakati, wacha wakati uende zake.

Istragram na kubishana na watu, mwaka 2018 kwangu mimi ni upuuzi tu, siwezi kuvipa mda vitu hivi, upuuzi huu.

Endelea kujifunza kupitia blogu hii ili kupata maarifa zaidi na pia usiache kunishirikisha mambo ambayo kwako wee msomaji mwaka 2018 ni upuuzi tu yaani huwezi kuvipa mda hata kidogo. Nishirikishe kwa kunitumia meseji na kwa maoni na
ushauri.

Wako Sadick Kilasi,
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ▼  January (17)
      • Mda wa maisha ni mfupi unapokuwa unakazana kufanya...
      • Unapohofia kuchukua hatua .
      • Wanao leta upinzani, wanatuinua.
      • Tunaposhindwa kuheshimu misingi ya mababu zetu.
      • Kama bado umekuwa unasubiri hali hizi mbili kutoka...
      • Tatizo sio wao, tatizo ni wewe na migogoro ndipo i...
      • Wewe ni kuchagua tu, kila kitu kipo pande mbili.
      • Tabia hizi mbili, ndizo zinazokufanya kuwa mtu mwe...
      • Ningelijua ninge....Je ungefanya nini?
      • Maajabu niliyokutana nayo nilipo jiangalia kwenye ...
      • Hii ndio sababu ambayo inafanya watu kupitia chang...
      • Hili ndilo neno ambalo ukitamka tu, lazima utafani...
      • Sio kila jambo sawa, mambo mengine ni upuuzi tu.
      • Wazo lenye nguvu
      • Huyu ndiye mtu adimu kupatikana zama hizi za taarifa
      • Maneno matatu ya kusafiri nayo mwaka 2018 ili kuje...
      • Heri ya mwaka mpya,hii ndio falsafa ya kuishi nayo...
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates