JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, January 14, 2018

Heri ya mwaka mpya,hii ndio falsafa ya kuishi nayo mwaka 2018.

 Sadick Kilasi     January 14, 2018     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, NJOZI, USHAURI     No comments   

U hali gani rafiki msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI? Heri ya mwaka mpya. Kwanza nikupe hongera kwa kuufikia mwaka mpya 2018, ni ushindi mkubwa na wa kipekee sana, wapo wengi sana waliotamani wauonea mwaka 2018 lakini haikuwezekana, kwako wewe umeuona mwaka mpya.

Rafiki msomaji wa blogu hii, nimekuwa kimya kwa mda mrefu, kama wiki tatu hivi, kwanza kabisa naomba niombe radhi kwa kutokuandika na kutoa makala, kuna changamoto kidogo ili nikumba kwahiyo nikawa nafeli kwa hilo. Naomba tusizungumzie sana hilo lakini, kwa ujumla niombe samahini tu. watu wanasema ukizungumzia sana matatizo ni kama kupalilia matatizo.

Mwaka huu nimejipanga msomaji wangu nitakuwa naandika kila siku makala, kwahiyo rafiki yangu tegemea kupokea makala kila siku, kwahiyo rafiki yangu jiandae kujifunza zaidi na zadi.

Mwanzo wa mwaka kila mtu huwa anaweka malengo na mipango mikubwa sana, kama umefanya hivo hongera sana kwa sababu ndo mwanzo wenyewe, lakini bila kuchukua hatua bado itakuwa kwako ni changamoto na sawasawa na mchezo wa kujifurahisha mwenyewe. Ili kuona matokeeo ya malengo yako lazima uanze kuchukua hatua. Hatua hizo ndogondogo ndizo zitakazo kufikisha kule unakotaka kufika.

Mwaka 2018 tunapaswa kutumia falsafa ya mti, tukishi falsafa hii na kuifanyia kazi kila siku kufikia malengo yetu kitakuwa sio kitu cha ajabu kwetu na tutajengeka vizuri

Sehemu tatu kuu za mti.
Sehemu ya kwanza kabisa ya mti ni kule juu kabisa kule kwenye majani na matawi, ndiko kunako onekana kiurahisi, kila mtu anaona tufanye yale ni matokeo ya kile tunachofanya, ni ndoto ya kila mtu kufika pale.

Sehemu ya pili inayo onekana kiurahisi ni shina, sasa shina ni hatua zile unazopiga zitakazo kupeleka kwenye majani na matawi kule.

Sehemu ya tatu ambayo ndiyo kiini sasa na mwano wakila kitu ni mizizi, hapa ni mawzo yako, maarifa uliyo nayo kwenye kichwa chako. Kumbuka rafiki yangu mizizi ndio inayosimamisha mti na haionekani na wewe mawazo yako hakuna mtu anaye yaona.

Mti haukuwi bila ya maji, kukosa maarifa mizizi lazima iende chini, mti hausimami bila shina, kuchukua hatua katika malengo yetu na majani na matawi ni matokeo ya huku chini kabisa kwenye mizizi na shina, ndoto ulionayo ni itategemea mawazo yako na hatua utakazo chukua. Ishi falsafahii mwaka 2018 utasimama.

Maisha ni KUWA+FANYA=POKEA
Wako Sadick Kilasi
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com, blogu ni jikolaushauri.blogspot.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ▼  January (17)
      • Mda wa maisha ni mfupi unapokuwa unakazana kufanya...
      • Unapohofia kuchukua hatua .
      • Wanao leta upinzani, wanatuinua.
      • Tunaposhindwa kuheshimu misingi ya mababu zetu.
      • Kama bado umekuwa unasubiri hali hizi mbili kutoka...
      • Tatizo sio wao, tatizo ni wewe na migogoro ndipo i...
      • Wewe ni kuchagua tu, kila kitu kipo pande mbili.
      • Tabia hizi mbili, ndizo zinazokufanya kuwa mtu mwe...
      • Ningelijua ninge....Je ungefanya nini?
      • Maajabu niliyokutana nayo nilipo jiangalia kwenye ...
      • Hii ndio sababu ambayo inafanya watu kupitia chang...
      • Hili ndilo neno ambalo ukitamka tu, lazima utafani...
      • Sio kila jambo sawa, mambo mengine ni upuuzi tu.
      • Wazo lenye nguvu
      • Huyu ndiye mtu adimu kupatikana zama hizi za taarifa
      • Maneno matatu ya kusafiri nayo mwaka 2018 ili kuje...
      • Heri ya mwaka mpya,hii ndio falsafa ya kuishi nayo...
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates