JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Saturday, January 20, 2018

Hii ndio sababu ambayo inafanya watu kupitia changamoto kwenye maisha.

 Sadick Kilasi     January 20, 2018     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, USHAURI     No comments   

U hali gani mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI? Natumai umeamka salama kabisa. Ni siku nyingine tena, kwa neema ya mwenyezi Mungu tumeifikia siku hii, basi hatuna budi wa kumshukuru yeye kwa sababu yeye ndiye ndiye mweza wa kila kitu. Pasipo yeye sisi hatuwezi kufanya jambo lolote. Kwa neema zake na huruma basi anatuamsha kila siku, japo wapo ambao walitamani kuiona siku hii lakini wameshindwa, je? sisi ni akina nani mpaka sasa tu salama?

Karibu mpendwa msomaji tujifunze kwa pamoja somo nililo kuandalia leo, sababu ambayo inawafanya watu kupitia changamoto kwenye maisha.

Imekuwa ni tabia ya kawaida watu kulalamika wakati tunapitia kwenye changamoto, tumekuwa tukiona kama tumetengwa na wengine na kuona kama wengine hawatujali kabisa. Tumekuwa tukitaka kufurahia maisha wakati wote, bila kujiuliza ukifurahia maisha wakati wote kitu gani kitatokea? Tumesahau kabisa ya kwamba bila changamoto huwezi kuona furaha, lazima changamoto iwepo harafu ndipo furaha ifuate.

Maisha yangekosa hizi pande mbili basi yangekuwa hayana maana kabisa, je? tungepata furaha wapi bila kupitia ladha hii ya changamoto?

Sababu kubwa inayofanya sisi tupitie changamoto ni tupate ukomavu na wala si mateso, ni wakati ambao tunatengenezwa kuwa wastahimilivu, tunatengenezwa kuwa na subiri w, watu wagumu na wenye nguvu ya uvumilivu.Mungu anapo acha tupitie hali hii anataka kutupa nafasi nyingine zaidi sasa ili  aone ukomavu wetu lazima atuache kidogo tupitie changamoto na aone ustahimili wetu, akiona tu wakomavu anatupa cheo kinachofuata lakini kama tukishindwa hatupi kabisa.

Mpendwa msomaji cgangamoto ni ladha ya maisha, changamoto ni sehemu ya ukomavu wa kuifikia nafasi nyingine.

Endelea kutembelea blogu hii ili kujifunza zaidi, pia naomba unisaidie kuwashirisha wengine ujumbe huu ili uwafikie wengi zaidi.

Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com. Toa maoni kuhusu blogu hii kupitia mawasiliano hayo.

  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ▼  January (17)
      • Mda wa maisha ni mfupi unapokuwa unakazana kufanya...
      • Unapohofia kuchukua hatua .
      • Wanao leta upinzani, wanatuinua.
      • Tunaposhindwa kuheshimu misingi ya mababu zetu.
      • Kama bado umekuwa unasubiri hali hizi mbili kutoka...
      • Tatizo sio wao, tatizo ni wewe na migogoro ndipo i...
      • Wewe ni kuchagua tu, kila kitu kipo pande mbili.
      • Tabia hizi mbili, ndizo zinazokufanya kuwa mtu mwe...
      • Ningelijua ninge....Je ungefanya nini?
      • Maajabu niliyokutana nayo nilipo jiangalia kwenye ...
      • Hii ndio sababu ambayo inafanya watu kupitia chang...
      • Hili ndilo neno ambalo ukitamka tu, lazima utafani...
      • Sio kila jambo sawa, mambo mengine ni upuuzi tu.
      • Wazo lenye nguvu
      • Huyu ndiye mtu adimu kupatikana zama hizi za taarifa
      • Maneno matatu ya kusafiri nayo mwaka 2018 ili kuje...
      • Heri ya mwaka mpya,hii ndio falsafa ya kuishi nayo...
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates