JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, November 11, 2018

Tabia Nne Za Kuishi.

 Sadick Kilasi     November 11, 2018     KUFURAHIA MAISHA     No comments   


Kama tukiishi kawaida katika maisha tutabaki kuwa watu wa kawaida. Lakini kama tupo tayari kubadilika na kwenda mbali zaidi ya kawaida tutakuwa watu ambao si wa kawaida.

Hakuna mtu ambaye anapenda kuishi maisha ya kawaida, kila mtu anapenda kuwa mtu wa utofauti, zaidi ya pale alipo. Kila mmoja anapenda kuwa mtu wa thamani katika jamii, jamii imzungumzie kwa mazuri yake ambayo anafanya. Kila mmoja anapenda kuwa na furaha katika maisha lakini zaidi ya hayo kila mtu hupenda kuona namna gani ambavyo anakuwa na furaha katika maisha.

Japo wengi tunatamani kufikia kiwango kikubwa cha maisha ya furaha lakini wengi wetu hatupo tayari kuchukua hatua na kujizamisha kwenye kile ambacho tunataka kufanya. Wengi tunaishia ukingoni mwa mto japokuwa tunatamani kuvuka, kutoka pale tulipo  na kwenda kwenye iafadhari zaidi.

Wengine tunafeli katika maeneo fulani kwa sababu hatuna maarifa na huwa tunafikiri kwamba kama tukiwa na maarifa fulani tunaweza kuwa katika hali ya furaha.

 Lakini haijarishi kwamba unamaarifa ama la, kitu cha maana ni kwamba pale unapopata maarifa ni uchukue hatua.

Tuangalie tabia nne za kuishi.


1. Shukrani. Pale ambapo unakubali kile ulichopewa na Mungu hats kama ni kidogo, hiyo ndio Shukrani.  Katika kuhakikisha tunaishi maisha yenye maana tutaishi kwa shukrani katika program hii. Wiki ya shukrani itaanza kushukuru kwenye kila kitu ambacho tunakiona na hii itatufanya tukipe thamani kila kitu na kuona fursa sehemu ambayo ni ngumu.

2. Kutawala. Hii ni maana sana katika maisha. Ili uweze kutawala mambo unahitaji kuwa na uwezo wa kutofautisha. Ni kipi kipo nje ya uwezo wako na ni kipi kipo nje ya uwezo wako. Lakini hii itakusaidia kutokuumizwa na hisia mbalimbali zinazosababishwa na wewe mwenyewe na wengine pia. Yapo mengi yakujifunza kwenye kutawala na somo hili tutajifunza na kuishi wiki ya pili ya mwezi.

3. Kukua. Baada ya kutambua nini cha kufanya huhitaji kubaki kama ulivyo, unachohitaji ni kukua zaidi kwenye kile ambacho unakifanya. Chochote kile ambacho unakifanya ili kukipa thamani zaidi tunahitaji kubooresha zaidi na kukua zaidi. Somo hili nalo ni pana. Tutajifunza na kuishi wiki ya tatu.


4. Hamasa. Hamasa ni nguvu ya kukufanya undelee mbele pale unapolegea. Kwa tutakuwa tunajihamasisha kwa njia mbali mbali na njia ya kwanza kabisa ni shukrani kwa hatua ndogo ndogo ambazo unapiga.  Hamasa ni kitu cha muhimu zaidi ili kuendelea kufanya jambo ambalo unafanya.
Tabia hii tutaiishi wiki ya mwisho ya mwezi, itakuwa wiki ya hamasa ili kuendelea kuchukua hatua zaidi.

Hizi ndizo tabia ambazo tutaishi katika program yetu ya mwezi. Itakuwa ni program endelevu. Kila siku asubuhi tutakuwa na  jambo ambalo litakuwa focus zaidi, na kwa kadili ambavyo tutakuwa focus kwenye jambo hilo ndivyo tutakuwa na uelewa zaidi wa jambo hilo. Asubuhi tutakuwa na maelezo mafupi ya hatua za kuchukua kwa kutwa ili tuwe Na jambo la kutanguliza. Kuna mambo mengi sana ya kunyaka katika maisha, usipokuwa makini unaweza kujikuta inabaki njia panda hakuna unakifanya na hakuna kwako ambalo wewe ni mtaalamu wa jambo hilo. Ni muhimu kuwa na shina la jambo, matawi na majani.

Hakuna kinachotikea kama hakuna mtu ambaye hayupo  tayari kuchukua hatua. Kama tutabaki katika ukingo wa mto wa maji bila kujizamisha na hatuwezi kuvuka ng'ambo. Hata kama unamaarifa kama huchukui hatua huwezi kushiriki utamu wa jambo. Bahari kila siku matumaini yake ni kuvuka ukingo lakini haivuki na ndio maana maji yake hayafai kitu. Tumaini la kugonja gonja huumiza moyo.

Karibu tukue kwa pamoja. Lengo la program ni sisi kuwa bora na wengine kuwa bora kupitia sisi. Unaju kwa mtu ambaye anaweza kujihimili mwenyewe basi anauwezo wa kuwahimili wengine. Tunahitaji kuanzia hapa tulipo ili kuifanya dunia kuwa sehemu salama, na kama umebahatika kusoma makala haya ni muda wako wa kuchukua hatua. Asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ▼  November (25)
      • Katika Wiki Ya Kukua, Wewe Umeachwa.
      • Katika Wiki Ya Kukua, Kama Hatua Unazopiga Unapoel...
      • Katika Wiki Ya Kukua, Washa Njiti Yako.
      • Katika Wiki Ya Kukua.
      • Je! Ndege Hutegemea Tawi Alilotua?
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Mungu Ndiye Mfalme Wa Kil...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Moyo Huwa Unakubali.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Inahitaji Utambuzi Na Aki...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Toka Nje Ya Hema Yako.
      • Ndani Ya Wiki Ya Kujitawala, Jitambue Wewe Mwenyewe.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Itazame Wiki Yako Imekwen...
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Ni Nani Aliyempanzi Wa Tu...
      • Mshukuru Mungu Kwa Kila Kitu.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Tambua Kitu Kikuongoze Ka...
      • Katika Wiki Ya Shukrani; Anza Na Chochote.
      • Ndani Ya Wiki Ya Shukrani, Mtazamo Wa Kudumisha Il...
      • Wiki Ya Shukrani.
      • Tabia Nne Za Kuishi.
      • Kuwa Na Jicho La Tai, Ishi Matumaini.
      • Elewa Kinachofuata.
      • Asiye Na Maarifa Hali Vya Babaye.
      • Mchakato Upo Kinywani Na Ladha Ipo Kinywani.
      • Adhibu Matendo Yako.
      • Kama Ndege Arukaye Angani.
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates