JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, November 21, 2018

Katika Wiki Ya Kutawala, Inahitaji Utambuzi Na Akili Kumkichwa.

 Sadick Kilasi     November 21, 2018     NJOZI     No comments   



Njaa kubwa ya watu wa Ulimwengu huu ni kukosa utayari wa kutambua utofauti. Ili utambue utofauti inahitaji utulivu na akili kumkichwa.

Mtawala yeyote ambaye hawezi kutambua utofauti wa viwango mbalimbali vya watu anaowatawala, atafeli kutawala. Lazima atambue kwamba kuna maskini, watu wa kati na matajiri wakubwa. Ni muhimu kuyatambua madaraja haya kwa mtawala yeyote ambaye anatawala nchi. Si hali za kiuchumi tu, bali hata tabia za watu wa asili fulani (makabila) na dini kwa ujumla.

Siku zote ili uweze kutawala inapaswa angalau uwe na utambuzi wa taarifa fulani hata kama hujui kwa undani kuhusu watu hao.  Unapokuwa na utambuzi, unakuwa na malengo ni kipi cha kupaki na ni kipi cha kutanguliza katika maamuzi yako. Kwa mtawala kujua makundi ya watu ni muhimu zaidi, kwa mfano, utambua kwamba kabila la watu wa aina fulani wanapaswa kufanyiwa kitu fulani mapema zaidi kuliko makabila mengine, hii ni kutokana na tabia zao zilivyo, ama ni watu wa kuongeo na wenye ushawishi mkubwa. Nyerere alitumia mfumo huu kuongoza nchi lakini pia wakati Mungu anawaondoa wana wa Israeli Misri ilibidi aangamize uzao wa kwanza wa watoto wa Misri ili kuondoa utawala.

Katika maisha yetu tunatawala, kila mmoja ni mtawala. Kwanza kabisa tunaanza kujitawala wenyewe mpaka kuwatawala wengine. Ukifeli kujitawala mwenyewe utatawaliwa na hisia zako na ukifeli kuwatawala watu, utatawaliwa na watu.

Sasa unaweza kujiuliza, yaaani mimi niwe mtawala wa kila mtu? Niwe juu ya kila mtu? Huwi juu ya kila mtu lakini unakuwa na utambuzi wa kutambua tofauti. Kama tulivyosema hapo mwanzo, ukifeli kujitawala mwenyewe utatawaliwa na hisia zako na kama ukiweza kujitawala mwenyewe unaweza kuwatawala wengine pia.

Watu wengi tunaumizwa katika maisha yetu kwa kufeli kutawala (kutambua tofauti). Tunaumizwa na wengine kwa sababu tumefeli kutawala, tunaumizwa na mapito yetu kwa sababu tumefeli kutawala.

Utambuzi wa kuelewa kuwa mimi na mwingine tunawaza tofauti, tunafikiri tofauti na hisia zetu ni tofauti. Kila mmoja wakati wote huwa anakuwa yupo katika hema yake ya kipekee uliyojizungushia. Unapomwendea mtu usishangae anakuona kama wewe ni adui kwani hafikiri namna yako. Na mara nyingi watu huwa tunakazana kujilinda kwa ubinafsi bila kutambua utofauti.

Ndugu yangu, anza kuwa mtawala sahihi kwa kutofautisha utofauti. Usiangalie na kung'ang'ania mapito yako bali angalia ni namna gani ambavyo unaweza kuboresha kila kitu, unaweza kuboresha maneno mabaya uliyoambiwa na mwingine kuwa kama Mwalimu kwako badala ya kuumia, jielewe kwamba wewe ni tofauti na yeye na hata maneno yake anayosema wewe hayakuhusu kama hayaendani na wewe. Ushawahi kujiuliza kwanini mwanzilishi wetu Yesu Kristo alipoambiwa maneno yasiyomhusu alisema, WEWE WASEMA? Kuna maneno ambayo hayapaswi kuingia ndani mwako na mengine yanapaswa kuingia ndani mwako.

Mapito yako ni zawadi yako, usiumizwe na mapito yako, kama ulishawahi kumkosea mtu basi sasa fanya vizuri kwani hapo mwanzo ulikuwa huna utambuzi na kama ulikosewa sana basi sasa ishi kwa kutambua utofauti wa tabia za watu.

Basi, hii ndio thamani ya leo, fikira zetu zinapaswa kuvaa utayari wa kujenga na amani, usiwe kama watu wa kimwili ambao hutafsiri maneno kimwili na kuishi kuumizwa. Unapaswa kuwa mtu wa kiroho, ambaye unatawala kiroho.

Tawala, tawala kishukrani, tawala kiutambuzi, uona wema kwenye kila jambo. Kitu ambacho unapaswa kuishi ndugu yangu ni hiki, kuona wema kwenye kila jambo, ndani ya ubaya uzuri hauwezi kukosekana. Chakula kilichotumika kujenga mwili kinyesi chake hutumika kuritubisha ardhi. Nikupe siri nyingine,  watu wote waliozaliwa upya, miili yao ni zawadi kwa wale ambao hawajazaliwa upya, ni kinyesi kinachorutubisha kwa sababu wao si watu wa mwilini. Unapokuwa unaruhusu kuumizwa na mwingine  unajiweka katika viwango vya chini vya kutawaliwa na hisia zako, yaani kipande kidogo cha wewe badala ya wewe kutawala hisia zako.

Ukawe na siku ya kutawala, anza kujitafakari mwenyewe, anza kuishi na wewe ndani yako, jihimili ili uweze kuhimili mazingira yako. Ishi maisha yenye maana zaidi kwa kuboresha maisha yako.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ▼  November (25)
      • Katika Wiki Ya Kukua, Wewe Umeachwa.
      • Katika Wiki Ya Kukua, Kama Hatua Unazopiga Unapoel...
      • Katika Wiki Ya Kukua, Washa Njiti Yako.
      • Katika Wiki Ya Kukua.
      • Je! Ndege Hutegemea Tawi Alilotua?
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Mungu Ndiye Mfalme Wa Kil...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Moyo Huwa Unakubali.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Inahitaji Utambuzi Na Aki...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Toka Nje Ya Hema Yako.
      • Ndani Ya Wiki Ya Kujitawala, Jitambue Wewe Mwenyewe.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Itazame Wiki Yako Imekwen...
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Ni Nani Aliyempanzi Wa Tu...
      • Mshukuru Mungu Kwa Kila Kitu.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Tambua Kitu Kikuongoze Ka...
      • Katika Wiki Ya Shukrani; Anza Na Chochote.
      • Ndani Ya Wiki Ya Shukrani, Mtazamo Wa Kudumisha Il...
      • Wiki Ya Shukrani.
      • Tabia Nne Za Kuishi.
      • Kuwa Na Jicho La Tai, Ishi Matumaini.
      • Elewa Kinachofuata.
      • Asiye Na Maarifa Hali Vya Babaye.
      • Mchakato Upo Kinywani Na Ladha Ipo Kinywani.
      • Adhibu Matendo Yako.
      • Kama Ndege Arukaye Angani.
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates