JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, November 6, 2018

Mchakato Upo Kinywani Na Ladha Ipo Kinywani.

 Sadick Kilasi     November 06, 2018     KUFURAHIA MAISHA     No comments   



Furaha ndio kitu pekee ambacho hutafutwa kwa gharama kubwa na kila mtu, awe tajiri ama maskini.

Kosa kubwa ambalo watu wengi kufanya ni kushindwa kutambua ni wapi ambapo kitengo cha furaha hupatikana. Wengi hufikiri kwamba labda baada ya kutafuta kitu fulani na kukipata ndipo watapata furaha, lakini cha kushangaza ni kwamba hakuna kitu ambacho wanaambulia.

Na kosa kubwa ni kwamba, wengi hatujui ni nini hasa kinachosababisha furaha, ni kitengo kipi ambacho husababisha furaha.

Sasa ili kuhakikisha kwamba nataka uelewe, ni kipi hasa ni kitengo cha furaha, nimekuandalia dhana ya kula chakula na jinsi mfumo unavofanya kazi. Hamna namna usipofuata mfumo ambao ndio kanuni huwezi kufikia malengo yako kwa sababu ni kama unatoka nje ya mstari.

Wakati wa kula chakula, huwa kuna vitengo vitatu ambavyo mtu hushiriki katika utamu wa kula chakula. Simaanishi kwamba anakula sehemu tatu bali namaanisha kwamba, chakula cha aina moja anashiriki kula mara tatu.

Watu wengi huwa tunafikiri kwamba ni ulimi pakee ndio huonyesha ladha ya chakula, na tunasahau maeneno mawili ambayo humlidhisha mtu wakati wa kula chakula.

Eneo la kwanza ni kula chakula bila kukiona, ama kukitia mdomoni. Hapa mtu anaweza kufurahia harufu peke yake bila hata kugusa chakula na kutia mdomoni. Hakuna harufu nzuri ya chakula kama harufu ya chakula ambacho hukili, yaani unatamania tu. Kwa harufu na kuhisi bila kushiriki kimwili mtu anaweza kujiburudisha. Eneo hili ili ulidhike vizuri ni lazima uwe na shukrani kubwa sana.

Eneo la pili ni kinywani, hiki ni kitengo ambacho kila mtu anakifahamu kwa sababu hapa kila mtu huwa anajiona kila kitu anachofanya.  Ladha ya chakula hapa kila mtu anaitambua kwa ulimi, kuonja. Eneo hili unaweza kula chakula na kufurahia bila wasi, haijarishi ni kingi ama kidogo. Mwenye shukrani atafurahia.

Eneo la tatu ni tumboni. Sasa eneo hili halina tabu kwa sababu ndio mwisho wa chakula. Hili ni eneo ambalo chakula kinajaa tumboni, tumbo linakuwa limejaa lakini huwezi kuhisi harufu wala utamu bali kwenye tumbo usawa wa ujazo tu pekee. Kiasi kinaongoza. Mwenye shukrani atafurahia.

Leo napenda niongelee eneo la pili, eneo mchakato, eneo ambalo lazima kinywa kicheze. Ili uone ladha ya chakula kwa ulimi lazima uvunjevunje kile unakula. Ndipo ulimi wako utaona ladha ya chakula unachokula.

Na katika maisha ndivyo mambo yalivyo lazima uvunjevunje kile unafanya. Kama hutovunjavunja  huwezi kuona chochote.  Angalia jinsi kinywa chako kilivo, ulimi ni laini na hauna mifupa, meno ni magumu. Na kinachofanya chakula kiwe kitamu ni ushirikiano kati ya sehemu ngumu na laini.

Magumu yote unayopitia ndio ladha ya maisha. Utamu unakuwepo pale chakula kinamegwa megwa. Chakula kikifika tumboni hakina ladha na ndio maisha jinsi yalivyo, ukifikia ukamirifu huwezi kufurahia maisha. Na ndio maana Mungu alificha hekima, ili watu wawe wanatia juhudi katika kuifichua na kwa sababu inapatikana kwa gharama kabla haijafichuka na ikifichuka inakuwa na gharama kubwa kwa wasioijua kwani kwao ni giza tu.

Furaha kubwa katika maisha ni kugundua jambo jipya, (harufu), nguvu ya kuishi katika maisha ni kuliendea jambo jipya, (mchakato kinywani). Ushindi mkubwa katika maisha ni kufichua jambo jipya.( tumboni). Hizi ndizo zana tatu katika maisha, unazoweza kuishi kwa kutumia mfumo wa chakula.

Jambo moja ambalo unapaswa kujua ni kwamba, ushindi haupagi mtu furaha, bali mashindano ndiyo humpa mtu furaha. Kusinzia ni kutamu kuliko kulala. Ukifikia Mafanikio utakuwa unatamani kupata kingine kwahiyo kama unategemea matokeo ya jambo huwezi kufurahia maisha. Linda sana eneo la harufu na ladha. Harufu inakupa matumaini mapya, ladha inakupa nguvu ya kuyaendea matumaini.

Angalia kinywa chako kina meno ambayo ni magumu, na ulimi ambao ni laini. Bila ushirikiano wa vitu hivyo viwili chakula hakina ladha.

Usiogope mapito uliyopitia, usiangalie mabaya pekee bali angalia na mazuti uliyonayo. Hata kama wewe ni nani, tafuta jambo la kufanya, lifanye kwa moyo na hekima ya kujifunza kutoka katika mapito yako.

Ukipitia maisha magumu hapo nyuma, kupambambanua hekima ni rahisi kwa sasa kwa sababu tayari ulikuwa ndani ya mchezo. Ukipitia maisha laini, kupambanua maisha sasa inahitaji kutia juhudi kwa sababu huna mapito. Kwa hiyo mapito ni zawadi kwa wenye shukrani ili kuishi maisha ya furaha.

Ukawe na tafakari njema.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ▼  November (25)
      • Katika Wiki Ya Kukua, Wewe Umeachwa.
      • Katika Wiki Ya Kukua, Kama Hatua Unazopiga Unapoel...
      • Katika Wiki Ya Kukua, Washa Njiti Yako.
      • Katika Wiki Ya Kukua.
      • Je! Ndege Hutegemea Tawi Alilotua?
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Mungu Ndiye Mfalme Wa Kil...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Moyo Huwa Unakubali.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Inahitaji Utambuzi Na Aki...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Toka Nje Ya Hema Yako.
      • Ndani Ya Wiki Ya Kujitawala, Jitambue Wewe Mwenyewe.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Itazame Wiki Yako Imekwen...
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Ni Nani Aliyempanzi Wa Tu...
      • Mshukuru Mungu Kwa Kila Kitu.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Tambua Kitu Kikuongoze Ka...
      • Katika Wiki Ya Shukrani; Anza Na Chochote.
      • Ndani Ya Wiki Ya Shukrani, Mtazamo Wa Kudumisha Il...
      • Wiki Ya Shukrani.
      • Tabia Nne Za Kuishi.
      • Kuwa Na Jicho La Tai, Ishi Matumaini.
      • Elewa Kinachofuata.
      • Asiye Na Maarifa Hali Vya Babaye.
      • Mchakato Upo Kinywani Na Ladha Ipo Kinywani.
      • Adhibu Matendo Yako.
      • Kama Ndege Arukaye Angani.
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates