JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, November 14, 2018

Katika Wiki Ya Shukrani, Tambua Kitu Kikuongoze Katika Maisha Yako.

 Sadick Kilasi     November 14, 2018     KUFURAHIA MAISHA     No comments   



Ukipita nje ya nyumba ambayo wanapika chakula kizuri, utasikia harufu nzuri ya chakula hicho ambacho kinapikwa ndani. Lakini pia kama chakula kinachopikwa si vizuri, utasikia harufu ya ubaya wa chakula.

Katika maisha ndivyo ilivyo, kila jambo huwa lina dalili ya kujiliwa yaani harufu ya kujiliwa na jambo jipya. Kama ndio harufu hiyo unaisikia maeneo ya nyumbani, basis utasema, leo inaonekana kuna chakula kizuri kinapikwa, lakini kutoka na harufu pia waweza kusema leo kuna chakula kibaya kinaandaliwa. Harufu hii haihitaji ukione chakula, bali ni manukato tu yanatosha wewe kukutambulisha.

Unajua mara nyingi kwa sababu ya kukosa umakini, huwa hatuwezi kuona jambo hili la kujiliwa na jambo jipya, dalili.  Kama upo makini unaweza kujiandaa na jambo lolote ambalo linatokea ikiwa upo makini na dalili hata kama linakuja kukuumiza lakini dalili itakulinda. Ukweli ni kwamba, mambo mengi ambayo hutuumiza si ugumu wa mambo hayo ila matarajio ambayo tulikuwa yumejiwekea yakienda tofauti na jinsi tulivyokuwa tunataka ndiyo hufanya tuumie. Moyo wetu unauwezo wa kukubali jambo lolote lile kama tayari tumelifanyia maandalizi kabla halijatokea, hata kama ni maumivu makali, kama uliuandaa moyo wako kupokea maumivu, maumivu hayo hayatakuwa sawa ukilinganisha kama hukujiandaa.

Itambue dalili, itambue harufu ya kujiliwa na jambo jipya, ili kama jambo linalokujilia ni baya ucheze mchezo wa ndani, nje, kujitoa katika mchezo ama kujiingiza katika mchezo.

Wakati mwingine unaweza ukawa unazungumza na mtu, lakini jinsi maongezi yetu yanavyokwenda wakati mwingine huanza harufu ya kumsengenya mtu, cheza mchezo wa kutoka nje ya mazungumzo, wakati mwingine unaweza ukawa unabishana na mtu kiutani tu, ila ukaisikia harufu ya ugomvi, toka nje ya mchezo. Usitake jambo baya likufikie, lakini pia hata kama hamuna uwezekano wa kuyafanya mazungumzo yenu yawe mazuri, usiruhusu matokeo ya dalili yakuumize wewe kihisia.

Yesu alifundisha juu ya jambo hili;  Mathayo 16:1-3, Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo wakamwomba awaonyeshe ishara itokayo mbinguni. Akajibu, akawambia, (kukiwa jiona, mwasema, kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu. Na asubuhi mwasema, leo kitakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kutambua uso mbingu; lakini je! ishara za zamani hizi hamwezi kuzitambua?

Ndugu yangu, Yesu hakuishia tu katika hilo, bali alifundisha juu ya kupana na adui kabla hajakupeleka mahakamani. Lakini yote hii alikuwa anazungumzia harufu ya kujiliwa na jambo jipya na mtu aweze kupatana na jambo jipya.

Hakuna kitu ambacho hakina dalili, hakuna kitu ambacho hakina harufu ya jambo jipya. Dalili ama harufu ni kiungo ambacho kinakuunganisha kutoka jambo ulilokuwa na unalokwenda.

Mpendwa msomaji, katika wiki ya shukrani, mshukuru Mungu kwa kila jambo, naam, dunia huendeshwa kwa majira na wakati wake, lakini tunayozawadi ya pekee ambayo ni harufu, harufu ambayo inatuandaa kuishi jambo jipya.

Mshukuru Mungu leo kwa hali uliyopo, mshukuru Mungu leo kwa yale ambayo unayopia, kwamaana kama unapitia magumu sana hiyo ishara kwamba kunaunafuu unakuja katika maisha yako. Usiku menene sana katika maisha, husababisha pambazuko, ikifika saa nane usiku majira huanza kupambazuka.

Harufu ya maisha yako ni pale ulipo wewe, kila saa, kila wakati tunaingia jambo jipya lakini kila jambo jipya huwa na dalili, harufu. Kwa jinsi maisha yetu yalivyo ni kama mifupa yetu ilivyojipanga. Kwa wale ambao humwamini Yesu hawana usiku wala giza, Paulo anasema, ndani ya nyumba kubwa huwa kunakuwa na vyombo vya aina mbalimbali, vya thamani na visivyo vya thamani, Lakini sisi tunathamini vya thamani pekee. Ndiyo, sisi watu wa nuru, hatuangalii magumu, tunaangalia ni nini tutajifunza kupitia ugumu ule.

Endelea kusoma biblia kwa bidii ufikie uhuru wako wa kimazingira. Hamna namna, lazima tufurahie maisha wakati. Ishi maisha yenye maana na weledi.

Ukawe na shukrani juu yako na wakati wako, na mazingira unayopitia, kubali mazingira, chagua jambo jema kwenye mazingira yako, songa mbele.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ▼  November (25)
      • Katika Wiki Ya Kukua, Wewe Umeachwa.
      • Katika Wiki Ya Kukua, Kama Hatua Unazopiga Unapoel...
      • Katika Wiki Ya Kukua, Washa Njiti Yako.
      • Katika Wiki Ya Kukua.
      • Je! Ndege Hutegemea Tawi Alilotua?
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Mungu Ndiye Mfalme Wa Kil...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Moyo Huwa Unakubali.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Inahitaji Utambuzi Na Aki...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Toka Nje Ya Hema Yako.
      • Ndani Ya Wiki Ya Kujitawala, Jitambue Wewe Mwenyewe.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Itazame Wiki Yako Imekwen...
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Ni Nani Aliyempanzi Wa Tu...
      • Mshukuru Mungu Kwa Kila Kitu.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Tambua Kitu Kikuongoze Ka...
      • Katika Wiki Ya Shukrani; Anza Na Chochote.
      • Ndani Ya Wiki Ya Shukrani, Mtazamo Wa Kudumisha Il...
      • Wiki Ya Shukrani.
      • Tabia Nne Za Kuishi.
      • Kuwa Na Jicho La Tai, Ishi Matumaini.
      • Elewa Kinachofuata.
      • Asiye Na Maarifa Hali Vya Babaye.
      • Mchakato Upo Kinywani Na Ladha Ipo Kinywani.
      • Adhibu Matendo Yako.
      • Kama Ndege Arukaye Angani.
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates