JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, November 22, 2018

Katika Wiki Ya Kutawala, Moyo Huwa Unakubali.

 Sadick Kilasi     November 22, 2018     NJOZI     No comments   



Ushawahi kuwa unafanya kitu harafu ukajikuta umeangukia katika kupenda zaidi kile ambacho unakifanya? Ni moyo, moyo huwa unakubali. Kwa kadili ambavyo akili yako unaipa jambo fulani kuwaza zaidi, moyo unakubali na hauoni namna nyingine unaona hicho ndicho kitu pekee cha kufanya.

Kipindi cha nyuma nikikumbuka, nilikuwa nakwenda mahala fulani kukaa na kupiga stori kila siku, nisipokwenda naona kana kwamba siku haijakwenda vizuri lakini hii yote ni kwa sababu ya moyo.

Sasa kwa hili ni muhimu zaidi kutambua, ni maeneo yapi na tabia zipi ambazo unapaswa kuwekeza zaidi ili moyo wako ukubali, sehemu ambayo unapaswa kuwekeza zaidi ni sehemu ambayo inakujenga ama inawajenga wengine.

Chagua tabia ambazo unataka kufanya na moyo uzikubali, rudia zaidi na zaidi ili moyo ukubali. Moyo ukishakubali utakuwa umefika kiwango cha uraibu ama uteja.  Ukifika kiwango hichi utajisikia kwenye kila ambacho unakifanya ni burudani kwako yaani utamu, haijatishi kwa wengine hiyo kazi watu wanaichukuliaje? Kwako wewe kwa sababu umekuwa mteja wa hilo, kwako ni utamu tu.

Kitu kigumu katika maisha, ni kukifanya kile ambacho kinanukia kuwa kitamu, mchakato, moyo unapokubali tunasema mwili umekubali.

Yesu alisema, ingieni kwa mlango mwembamba, maana huo ndio mlango wa uzima. Ikiwa kuna mlango basi ndani yake kuna uwazi, ikiwa kuna uwazi basi kuna sehemu ngumu ya kutokea.  Mambo ya kujenga huanza kwa ugumu lakini mambo ya kubomoa huanza kwa raha. Yesu anatuasa tuingie kwa mlango mwembamba maana huo ndio wenye uzima.

Ndugu yangu, kila mtu anauwezo wa kujenga tabia ambayo unapaswa kujenga ikiwa tu tayari umelijua hili. Na tabia njema za kujenga ni luangalia matunda ya Roho Mtakatifu ni yapi ili kuishi kwa hayo, uvumilivu, upendo, haki, huruma, shukrani na mengine. Ni muhimu zaidi kukuza tabia njema ambayo unahitaji kuwa nayo, unapaswa kuitawala tabia ambayo unataka kwa kukusudia kabisa.

Ili kujenga kitu chochote ambacho unahitaji ni wewe kuvaa viatu, utayari. Mungu atakusaidia kwenye hilo unalofanya ukimwomba msaada na kumpa moyo wako. Patanisha kile unachofanya na Mungu, patanisha meno yako ya chini na ya juu. Siku zote Mungu anasubiri wewe uchukue hatua ili kupatanisha. Kama yalivyo meno ya juu yanasubili ya chini ili kupatanisha.

Jitoe hapo ulipo, jitoe katika hema yako ambayo umejizungushia kwa muda mrefu, chagua hema mpya ambayo inakujenga na kukufanya kuwa bora zaidi ya leo. Asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ▼  November (25)
      • Katika Wiki Ya Kukua, Wewe Umeachwa.
      • Katika Wiki Ya Kukua, Kama Hatua Unazopiga Unapoel...
      • Katika Wiki Ya Kukua, Washa Njiti Yako.
      • Katika Wiki Ya Kukua.
      • Je! Ndege Hutegemea Tawi Alilotua?
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Mungu Ndiye Mfalme Wa Kil...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Moyo Huwa Unakubali.
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Inahitaji Utambuzi Na Aki...
      • Katika Wiki Ya Kutawala, Toka Nje Ya Hema Yako.
      • Ndani Ya Wiki Ya Kujitawala, Jitambue Wewe Mwenyewe.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Itazame Wiki Yako Imekwen...
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Ni Nani Aliyempanzi Wa Tu...
      • Mshukuru Mungu Kwa Kila Kitu.
      • Katika Wiki Ya Shukrani, Tambua Kitu Kikuongoze Ka...
      • Katika Wiki Ya Shukrani; Anza Na Chochote.
      • Ndani Ya Wiki Ya Shukrani, Mtazamo Wa Kudumisha Il...
      • Wiki Ya Shukrani.
      • Tabia Nne Za Kuishi.
      • Kuwa Na Jicho La Tai, Ishi Matumaini.
      • Elewa Kinachofuata.
      • Asiye Na Maarifa Hali Vya Babaye.
      • Mchakato Upo Kinywani Na Ladha Ipo Kinywani.
      • Adhibu Matendo Yako.
      • Kama Ndege Arukaye Angani.
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates