JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, December 24, 2017

Mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha ONGEA LUGHA YAKO [sikiliza sauti yako ya ndani ndio mafanikio yako].

 Sadick Kilasi     December 24, 2017     BIASHARA, KUFURAHIA MAISHA, MAHUSIANO, NJOZI, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena, natumai umeamka salama, hongera kwaajili ya siku hii ya leo. Karibu nikushirikishe mambo ambayo nilijifunza kutoka kwenye kitabu cha Ongea lugha yako, kitabu ambacho kimeandikwa na Deogratius S Kessy. Kuna mambo mengi sana ya kujifunza katika kitabu hichi, lakini yafuatayo ni baadhi ya mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu hiki.

1.Katika zama hizi za taarifa kumekuwa na changamoto kubwa ya watu kushindwa kuishi maisha ya uhalisia na yenye maana, na hii ndo sababu ya mwandishi aliliona hilo na ndio maana akatuletea kitabu hiki. Tupo zama za taarifa, zama ambazo ni nzuri kuishi lakini ni zama ambazo zina changamoto nyingi sana. Jina la kitabu linaitwa ONGEA LUGHA YAKO [sikiliza sauti yako ya ndani ndio mafanikio yako], jina la kitabu ndilo lililo nifanya ninunue kitabu, na yafuatayo ni mambo niliyojifunza kutoka kwenye jina la kitabu.
-Kila mtu anauelewa wake katika jambo lolote, kwahiyo huwezi kuelewa kama mwingine anavoelewa
-Tumezaliwa kwa sababu kwahiyo tunapaswa kusababisha
-Tunaweza kujisikiliza wenyewe kabla ya kuwasikiliza wengine
-Vipawa vyetu vipo ndani mwetu
-Kuongea vitu vilivyo ndani mwetu bila kujali hisia za wengi yaani tutoe tulicho nacho.
Na mwisho naweza kusema akiwa na maana ya kwamba ndani ya miili yetu tuna usisi yaani unachotoa ni matokeo ya ndani mwetu. Haya ndiyo niliyo jifunza kutoka kwenye jina la kitabu na jina la kitabu linasanifu yaliyopo ndani.

2.Kuishi maisha yenye maana. Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo muhusika anatambua na kuelewa nini au jambo gani ana paswa kufanya na ndilo lilomfanya azaliwe hapa duniani. Deo Kessy anatuarika ya kwamba kama wewe ni mwandishi basi andika maandiko yatakayosaidia jamii kizazi hadi kizazi na mwisho tambua dhumuni lako na timiza dhumuni. Haya ndiyo maisha ya ukuu.

3.Katika swala la kujifunza na kuongeza maarifa, Mwandishi anatuonyesha namna gani tunapoteza mda wetu kwa kuangalia tv na kwenda sehemu mbalimbali za burudani badala ya kuongeza maarifa. Watu wengi tumekuwa watu wa kujali mambo ambayo hayana maana badala ya kujifunza na kuongeza maarifa yaani tupo tayari kujibomaa sisi na kuwajenga wengine na mwisho tunakosa kuishi maisha yenye maana.

4.Mambo ya kuzingztia kabla ya kufunga ndoa,
-Badili mtazamo wako
-Usisubiri upewe ruhusa
-Kubali cghangamoto na uzikabili
-Hakuna mafanikio ya haraka
-Uwe mtu wa kupanda kujifunza
-Kubali kulipa ghalama
-Acha ushabiki wa vitu visivyokuwa na ulazima au msingi
-Uwe na nidhamu
-Uishi katika falsafa ya kutokuwa na hofu
- Uwe mtu wa kujali afya.
Haya mambo unatakiwa kuyazingatia na kuyaishi kabla ya kufunga ndoa.

5.Staa mkubwa unayetakiwa kumfatilia sana ni wewe mwenyewe. Kuna mtu mmoja alishawahi kusema siku hizi watu hawafungwi na mapepo ila wanajifunga wao kwa wao, yaani mtu anashindwa kuishi maisha yake anaishi maisha ya mtu mwingine halafu baadae unajipoteza wewe mwenyewe. mwandishi antuasa kwa kusema jifunze kuwa wewemwenyewe, usisubili  mpaka ufukuzwe bali jifunze kwanza wewe mwenyewe ili uweze kuwa bora zaidi.

6. Katika malezi ya watotowazazi ndio wenye jukumu lao na ndio kioo, na ili tuwe na jamii bora lazima tuwe na misingi bora katika malezi ya watoto na wazazi ndio jukumu lao kubwa.

7.Kuna sehemu kumi za kuchota baraka katika maisha
-Mungu
-Wazazi
-Watu wengine
-Familia
Kwahiyo lazima tutambue nini wajibu wetu katika sehemu hizo ili tuchote baraka.

8. Falsafa ya ufagio katika maisha. Falsafa ya ufagio ni falsatfa ya unyenyekevu. Maisha ni mahusiano kwahiyo tunapaswa kujenga mahusiano bora na wengine.

Haya ni machache kati ya mengi ambayo nimejifunza kutoka kwenye kitabu hiki, kikubwa ninachokuomba rafiki yangu jipatie kitabu hiki ili kujifunza mengi yaliyomo humo, labda nikwambie haya niliyokuandikia hapa ni machache sana kati ya mengi niliyojifunza kutoka kwenye kitabu hiki, hakikisha unajipatia nakala yako ya kitabu.  Kukipata kitabu hichi tembelea mtaalamu.net/kessydeo.

Maisha ni kuwa+fanya=kupata.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com, Usiache kujiunga na mtandao huu na kushare kwa wengine ili uwafikie wengi zaidi.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ▼  December (16)
      • Kitu gani kipo nyuma ya hili? Kitu gani kitafuata ...
      • Maeneo matatu ambayo unatakiwa kuwa makini kama un...
      • Mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha ONGEA...
      • Hii ndio maana halisi ya kupotea
      • Mbinu bora ya kuwa na afya bora ni hii hapa
      • Haya ndiyo maumivu ambayo tunajitengenezea wenyewe
      • Jinsi ya kujenga mahusiano bora na watu wako wa k...
      • Maeneo manne ya kuimarisha ili kuweza kupata mafan...
      • Huyu ndiye mtu ambaye unatakiwa kuwa naye makini k...
      • Haya ndiyo mambo ambayo wewe unatakiwa uyaache yap...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wewe unatakiwa kumjua ...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya wakati unapo taka...
      • Hii ndio falsafa ambayo kila mtu inatakiwa kuiishi.
      • Hivi ndivyo ambavyo tunavyotakiwa kutazama juu ya...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unata...
      • Nyeusi na nyeupe si rangi
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates