JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, December 8, 2017

Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unatakiwa kumfanyia wema.

 Sadick Kilasi     December 08, 2017     MAHUSIANO, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena, siku mpya na ya kipekee kwewtu sisi mimi na wewe rafiki yangu msomaji wa blogu yetu ya JIKO LA USHAURI natumai umeamka salama na upo tayari kwenda kuweka juhudi katika maeneo yako ya kazi, pamoja hayo yote rafiki yangu hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa utujalia siku hii mpya ambayo ni siku ya kipekee kwetu kwa sababu hakuna siku kama hii maishani mwetu, kwahiyo hili si jambo la kuchukulia kawaida katika maisha yetu. Mungu tunakushukuru kwa kutujalia kuiona siku hii mpya, sio kwa sababu ya uwezo wetu bali ni kwaajili ya upendo wako kwetu sisi, tunaomba utubariki siku hii ikawe siku ya mafanikio kwetu na kila mmoja akapate kumgusa mwingine kwa namna utavyombariki, tunaomba utusamehe dhambi zetu.

Karibu rafiki yangu ujifunze jambo ambalo mimi rafiki yako nimeona nikushirikishe ili kwa pamoja tuifanye dunia ni mahala salama na pa furaha katika maisha ywtu.'Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unatakiwa kumfanyia wema', na hii ndio maada ambayo nimeamua nikushirikishe .

Mpendwa rafiki yangu kama kuna mtu ambaye wewe huwa unafikiria kumtendea mambo mazuri na kumpa furaha basi mtu asiye kufaa ndiye mtu pekee kwako ambaye wewe unatakiwa kumtendea wema. Inawezekana ukawa unajiuliza nitamtendeaje wema mtu asiye nifaa? Lakini ukweli ni kwamba wema kwake ndiyo haki yake.


Najua siyo jambo rahisi kumpa wema mtu ambaye unamchukia, mtu ambaye anakuchukia, mtu ambaye kakufanyia mambo mabaya lakini yeye ndiye anayestahili wema wako. Rafiki yangu haijalishi yeye unamchukia kiasi gani lakini wewe unatakiwa usimchukie na umlipe wema wakati inawezekana wewe unachukia anavyo fanya lakini njia pekee ya kubadirisha tabia yake ni kumpa wema mtu huyo ambaye hastahili kupata wema kabisa kwani ndio haki yake.

Binadamu huwa tunawapenda wanao tupenda, lakini vipi yule ambaye hapendwi atapendwa na nani maana huyu ndiye anaye stahili kupata upendo kwa sababu hana upendo na siku zote dunia ndiyo inavyotaka mjazie ambaye hana ila punguza kwa mwenye kingi.

Kila mtu anastahili hapa duniani kwahiyo rafki yangu mtu ambaye humpendi ndio daraja lako la mafanikio kiroho na hata kiwmili. Je hivi unajua ukimtendea wema mtu ambaye hastahili kitu gani kitatokea? Ukweli ni kwamba hata kusahau kamwe na tayari wewe mwenyewe binafsi utakuwa katika mazingira mazuri katika maisha yako.Wakati wote atakuona wewe ni mtu wa tofauti unaye stahili kwenye jamii na atakuheshimu. Yesu alilitambua hilo ndio maana hata wanafunzi wake aliowachagui ni watu ambao walikuwa hawafai kwa matendo yao wengi walikuwa ni wanyang'anyi na wauwaji na leo hii ndiye mtu pekee anayekumbukwa zaidi duniani.

Rafiki yangu unachotakiwa kukikumbuka kila siku ni kwamba lipa wema kwa ubaya kwa faida yako na sio kwamba unafaidisha yeye hapana. Kwasababu kila jambo tunalolifanya hapa duniani kwa fadayetu binafsi hata kama unamfanyia mtu mwingine.
Shida za wengine sio furaha kwako na wewe inakuhusu.
Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ▼  December (16)
      • Kitu gani kipo nyuma ya hili? Kitu gani kitafuata ...
      • Maeneo matatu ambayo unatakiwa kuwa makini kama un...
      • Mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha ONGEA...
      • Hii ndio maana halisi ya kupotea
      • Mbinu bora ya kuwa na afya bora ni hii hapa
      • Haya ndiyo maumivu ambayo tunajitengenezea wenyewe
      • Jinsi ya kujenga mahusiano bora na watu wako wa k...
      • Maeneo manne ya kuimarisha ili kuweza kupata mafan...
      • Huyu ndiye mtu ambaye unatakiwa kuwa naye makini k...
      • Haya ndiyo mambo ambayo wewe unatakiwa uyaache yap...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wewe unatakiwa kumjua ...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya wakati unapo taka...
      • Hii ndio falsafa ambayo kila mtu inatakiwa kuiishi.
      • Hivi ndivyo ambavyo tunavyotakiwa kutazama juu ya...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unata...
      • Nyeusi na nyeupe si rangi
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates