JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Friday, December 15, 2017

Huyu ndiye mtu ambaye unatakiwa kuwa naye makini kwenye mahusiano yako

 Sadick Kilasi     December 15, 2017     MAHUSIANO     No comments   

Ni siku nyingine tena rafiki yangu natumai umeamka salama na tayari kwenda kutoa dhamani katika eneo lako la kazi na kama wewe leo ni siku ya mapumziko basi utaenda kutoa dhamani kutokana na hali yako ilivo na matendo yako. Rafiki yangu kila siku ni siku mpya kama ambavyo nimekuwa nasema siku zote unapo uona mchana hakikisha unaishi kwani kila siku tunakufa na kufufuka na ndio maana siku ikienda hairudi yaani huwezi kusema kesho itajirudia kamwe kitu hicho hakiwezi kutokea. Maisha ni sasa unapokuwa umepata fursa ya sasa tumia vizuri fursa ya wakati. Katika hali ya kuukomboa wakati tumia msemo huu kujikumbusha ; Fanya kwa wakati, kwa kuwa una wakati, utafika wakati, hutokuwa na wakati wa kufanya kwa wakati. Jambo jingine na muhimu ambalo nataka nikukumbushe ni kwamba maisha ni mwili, roho na akili.

Nisikupeleke mbali sana na karibu tujifunze katika makala ya leo na uwe umakini ulio makinika upate kuelewa vizuri kabisa  na maarifa haya yakakusaidie katika maisha yako kwa ujumla.

Mara nyingi katika maisha yetu kwenye mahusiano baina ya mtu na mtu tumekuwa tuna kutana na watu wa aina mbalimbali kwenye kazi zetu, kwenye ibada na katika mizunguko yetu kwa ujumla. Katika kukutana nao unajikuta unatengeneza mahusiano na mtu ambaye humjui vizuri ni wa aina gani kwa sababu kila mtu anatabia zake na haiba zake.

 Leo nataka kukuonyesha mtu ambaye hutakiwi kutengeneza uhusiano nae kwa haraka na mtu huyu ni mtu ambaye anataka kuwa karibu nawe kwa haraka sana.

Rafiki yangu ukikutana na mtu ambaye anataka kuwa karibu na wewe wakati wote na hana mipaka achana naye kwa lugha nyingine tunasema 'mteme'. Mimi binfi huwa sijui hii huwa inatoka wapi unakuta mtu hamjuani lakini anakupapatia kama mnajuana vile na wewe unamkaribisha mpaka nyumbani, humjui anatoka wapi, anatabia gani wewe hujali mwisho wa siku anakuibia na unaanza kulalamika nimeibiwa nimeibiwa unaulizwa na nani rafiki yangu, rafiki yako wakati hamjuani kuwa makini.

Mtu ambaye hana sababu ya kukusaidia, unatakiwa kuwa makini na watu ambao wanataka kukusaidia wala hamjuani anaonesha hali ya kukusaidia. Unatakiwa kuwa makini kwasababu utaingia kwenye mtego bila ya wewe mwenyewe kujijua, wengine wanaonesha hali ya kukusaidia ili akutapeli vizuri. Siku zote kumbuka kila apandae huvuna.

Mtu ambaye anakuazima pesa wakati hamjuani. Rafiki yangu kuwa makini unapomkopesha mtu na sio kila mtu wa kumkopesha na kusema wewe ndo una moyo mzuri unajidanganya  bure. Ngoja nikupe kisa kimoja ambacho nilisimuliwa, kuna mtu alikuwa na duka lake sasa akatokea mtu  kama mteja tu siku ya kwanza alikuja na gari  na siku ya pili hakuja na gari ukimwona kapendeza sasa akawa anatengeneza ukaribu na yule jamaa mwenye duka wakazoeana wanakaa kupiga stori jamaa kila siku ananunua vitu halafu anaacha chenji akinunua vitu vya 6000 chenji ya 4000 kwenye 10000 anaacha na siku nyingine 3000 hivohivo na mwenye duka akawa akimwuliza vipi chenji yako jamaa anasemaa acha tu, sasa yule jamaa kama baada ya siku ya  nane hivi baada ya kujenga urafiki akaja akasema bwana mimi nataka uniazime kama milioni tatu kesho nakurejeshea. mwenye duka akaona isiwe tabu jamaa mwenyewe anaonekana anazo huyu  kwasababu alikuwa anaacha chenji na anagari ataleta tu akampa. kwani hiyo kesho alimwona uliziaulizia watu wakasema hawamjui huyo mtu. Kwahiyo alitapeliwa kwanjia hiyo kwahiyo tunatakiwa kuwa makini sana. Tuache tamaa na vitu vidogovidogo.

Siku zote rafiki yangu tambua hili mahusiano hayaanzishwi kwani ni lahisi kuvujwa, mambo yanayoanzishwa yanavunjwaga, bali mahusiano yanaanza baina ya watu wawili. Tafakari hilo.

Wako SADICK KILASI
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ▼  December (16)
      • Kitu gani kipo nyuma ya hili? Kitu gani kitafuata ...
      • Maeneo matatu ambayo unatakiwa kuwa makini kama un...
      • Mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha ONGEA...
      • Hii ndio maana halisi ya kupotea
      • Mbinu bora ya kuwa na afya bora ni hii hapa
      • Haya ndiyo maumivu ambayo tunajitengenezea wenyewe
      • Jinsi ya kujenga mahusiano bora na watu wako wa k...
      • Maeneo manne ya kuimarisha ili kuweza kupata mafan...
      • Huyu ndiye mtu ambaye unatakiwa kuwa naye makini k...
      • Haya ndiyo mambo ambayo wewe unatakiwa uyaache yap...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wewe unatakiwa kumjua ...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya wakati unapo taka...
      • Hii ndio falsafa ambayo kila mtu inatakiwa kuiishi.
      • Hivi ndivyo ambavyo tunavyotakiwa kutazama juu ya...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unata...
      • Nyeusi na nyeupe si rangi
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates