JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, December 14, 2017

Haya ndiyo mambo ambayo wewe unatakiwa uyaache yapite katika zama hizi za mabadiliko.

 Sadick Kilasi     December 14, 2017     MAHUSIANO, UJASIRIAMALI, USHAURI     No comments   

Ni siku nyingine tena mpendwa msomaji wa JIKO LA USHAURI, natumai umeamka salama na upo tayari kwenda kuweka kazi na kuwagusa wengine kwa namna moja au nyingine kutokana na shughuli zako unazofanya. Hongera rafiki yangu kwa siku hii, hebu itumie siku hii vizuri kuwapa dhamani wengine na hapo ndipo utakapokuwa umekamirisha utu mbele za wengine kwani ukitambua ya kwamba wewe unategenewa na wengine tangu hapo utakuwa umekomaa na utaweka kazi katika eneo lako la kazi.

Rafiki yangu si jambo dogo kuiona siku hii ya leo, ni jambo kubwa mno kwa sababu hii ni siku ya kipekee katika maisha yako na hivyo hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa ajili ya siku ya leo. Na popote ulipo nakusihi umshukuru mwenyezi Mungu.

Katika zama hizi za internet na taarifa yaani mawasiliano mabadiriko yamekuwa yakitokea kila siku, japo mabadiliko katika dunia hii yalianza toka hapo dunia ilipoumbwa mambo yalikuwa yanachukua  kipindi kirefu yaani mambo yalikuwa hayaendi haraka kama zama hizi.

Mabadiliko katika dunia yapo ya aina mbili, mabadiliko makubwa mfano; zama za mawe, zama za chuma,zama za viwnda na sasa tupo hizi zama za mawasiliano.lakini kuna mabadiliko madogo haya ni mabadiliko yanayopita mfano; fasheni za nguo, simu na kadharika.

Rafiki yangu katika mabadiliko haya mabadiliko ya kupita ndiyo yanayoadhiri maisha ya watu kwa kiasi kikubwa na katika mabadiliko haya ndipo mimi nilipo palenga haswa. Yanapotokea mabadiliko kunamambo ambayo huwa yanatokea ambayo ni mazuri na mabaya. Unachotakiwa ni kuwa makini na mabadiliko haya.

Yafuatayo ni mabadiliko ambyo wewe utakiwa uyaache yapite mbali na wewe yaani usihangaike nayo kwenda nayo sambamba kwa sababu sio kila mabadiliko yanayotokea ni mabaya laha sha mengine ni mazuri na unatakiwa kuwa makini sana.

Fasheni za nguo zisizo faa.Kuna nguo ambazo hazina maadili ambazo wewe mwenyewe ukivaa unajua kabisa ya kwamba hii nguo haifai kuvaliwa. vinguo vifupi viache vipite,nguo zinazo bana ziache zipite.

Misemo mibovu. Kuna misemo ambayo huwa inazuka ambayo sio rafiki katika familia zetu na hata kwa watu wetu wa karibu, misemo michafu kabisa, lugha za kihuni na kauli mbalimbali ambazo hazina maadili, tunazijua lakini mimi nashindwa kuzitaja kwa sababu ni mbaya kuzungumzia sana maneno mabaya.

Mwenendo wako yani tembea yako. Rafiki yangu mwendo unaotembea uwe na maadili sio unatembe unanyodokanyodoka hiyo haifai kabisa. Tembea mwendo wa kawaida. Kuna tembea zingine mitaani hazifai kabisa inatakiwa kuwa makini unakuta wavaa nguo zinazobana harafu wanatembea mwendo fulani ambao sio mzuri kimaadili. tuwe makini na hii ni kwa wote waume na wake.

Tabia yako kiujumla. Wewe ni mtu mkamilifu kabisa kwahiyo kiujula hutakiwi kuwa na mambo ya ajabuajabu tabia yako kiujumla iwe nzuri mpka kwenye fasheni za nywele lazima uwe makini.

Kwa kumalizi ni kwamba  mabadiliko yapo, yalikuwepo na yataendelea kuwepo lakini pamoja na kuwa yana hasala lakini mabadiliko ni ya muhimu sana katika dunia hii. Rafiki yangu ili kunufaika na mabadiliko yanayotokea kila siku inatakiwa kuwa makini na kuwa na watu sahihi wanao kuzunguka. Jiandae na mabadiliko unafaike nayo.


Endelea kutembelea blogu hii ya jiko la ushauri kujifunza zaidi, ili kupata makala mpya zinazotoka kila siku tafadhari jiunge na nasi,utapokea makala moja kwa moja kwenye email yako. HAKIKISHA UNAJAZA HIYO FOMU HAPO CHINI  YA BLOGU HII PALIPOANDIKWA JIUNGE NAMI AU BONYEZA REGISTRETOR. Pia kama umeipenda makala hii naomba unisaidie kushare kwa watu wengine unaopenda ujumbe huu uwafikie na wanufaike nao pia.

Ni mmi mwenye kukujali SADICK KILASI 
Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com. Tafadhari wasiliana nami kwa changamoto yoyote ile tutashilikiana.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ▼  2017 (58)
    • ▼  December (16)
      • Kitu gani kipo nyuma ya hili? Kitu gani kitafuata ...
      • Maeneo matatu ambayo unatakiwa kuwa makini kama un...
      • Mambo niliyojifunza kutoka kwenye kitabu cha ONGEA...
      • Hii ndio maana halisi ya kupotea
      • Mbinu bora ya kuwa na afya bora ni hii hapa
      • Haya ndiyo maumivu ambayo tunajitengenezea wenyewe
      • Jinsi ya kujenga mahusiano bora na watu wako wa k...
      • Maeneo manne ya kuimarisha ili kuweza kupata mafan...
      • Huyu ndiye mtu ambaye unatakiwa kuwa naye makini k...
      • Haya ndiyo mambo ambayo wewe unatakiwa uyaache yap...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wewe unatakiwa kumjua ...
      • Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya wakati unapo taka...
      • Hii ndio falsafa ambayo kila mtu inatakiwa kuiishi.
      • Hivi ndivyo ambavyo tunavyotakiwa kutazama juu ya...
      • Huyu ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wewe unata...
      • Nyeusi na nyeupe si rangi
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates