JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Sunday, March 3, 2019

Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto

 Sadick Kilasi     March 03, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto.

Inasemekana kwamba Areksander Mkuu ndiye mtu mashuhuri kwa makamanda kuwahi kutokea duniani. Mtu huyu historia yake imeandikwa katika kitabu cha nabii Daniel. Areksander Mkuu alipiga vita nchi nyingi sana na kuzishinda. Siraha yake kuu inasemekana alikuwa anatumia hofu kuwashinda maadui zake. Hii ndio siraha yake ambayo ilimfanya ashinde kwa kiasi kikubwa. Alijijengea jina kubwa ili kila mmoja atakaye msikia apate kuogopa. Mtu huyu alikuwa na Mwalimu wake aitwaye Aristoteli, moja ya wanafalsafa wakubwa zaidi duniani. Kumbuka kwamba hawa wana Falsafa wa Ugiriki ndio wameleta mapinduzi makubwa katika Elimu hii ambayo tunatumia mpaka leo kwahiyo wana Elimu kubwa sana. Kwahiyo Mwalimu wake alimfunza mbinu zote za kimafumbo ili kuwa mshindi.

Sasa leo hatuchambui habari za Areksander bali tunatazama umuhimu wa kuwa na ndoto. Habari hii tunatumia kama kielelezo ambacho kitatusaidia kujua kwanini kuwa na ndoto au matazamio.


Kila mmoja anapaswa kuwa na matumaini. Sababu kubwa ambayo mimi nataka kwanini uwe na matumaini kwa sababu matumaini ni siraha kubwa sana dhidi ya maadui zako waliopo mbele.

Ndoto au matumaini ama matazamio ni mjumbe ambaye husafisha njia ya wewe kupitia. Mtu mwenye matumaini lazima anakuwa na afya bora kwa sababu ya mitazamo aliyonayo. Kwa mtu yeyote yule ni muhimu kuwa na matumaini.
Wakati Zakaria, baba yake, Yohana Mbatizaji alipozaliwa kama ishara ya ujio wa Kristo Yesu, alitabiri,  Luka 1:79, Kuwaangaza wakaao katika Giza na uvuli wa mauti, na kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.
Wakati mtu anakuwa na matumaini anakuwa na ujasiri wa kuendelea mbele kwani tayari amemtuma mpelelezi ambaye ameandaa njia yake na kumfanya akanyage kwenye njia sahihi.

Wakati wana wa Israeli hawajavuka katika mto wa Yordani tayari mataifa ambayo yalikuwa ng'ambo ya Yordani yalilegea kabisa.

Yoshua 2:9-11.
akawambia wale wanaume, Mimi najua kwamba Bwana amewapa nyinyi nchi hii, na ya kuwa hofu imetuangukia  mbele yenu, na ya kuwa wenyeji wote wa nchi wameyeyuka mbele yenu. Maana tumesikia jinsi Bwana alivyokausha maji bahari ya Shamu mbele yenu, hapo mlipotoka Misri, tena mambo hayo mliowatendea wawili wa Waamori waliokuwa huko ng'ambo ya Yordani, yaani, Sihoni na Ogu, mliowaangamiza kabisa. Na mara tuliposikia hayo mioyo yetu iliyeyuka, wala haukusalia ujasiri wowote katika mtu awaye yote, kwa sababu yenu; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu, katika mbingu juu na katika nchi chini.


Ukitamka maneno yenye mwelekeo chanya yanakuwa ni chakula bora mbele ya mwili wako na afya kwa ujumla. Na hata mazingira ya nje litakuwa ni jambo rahisi kuendana nayo kwani fikira zako ni chanya.

Unapokuwa na matumaini ni sawa na kutuma mpelelezi ambaye anakwenda kuwatia hofu maadui zako ambao wanakuzua mbele yako. Kwa sababu ya umbali ulipo na wewe linakuwa ni jambo rahisi kwa maadui zako kuwa na hofu kwa sababu hawajui nini wewe unafikiria.

Kuwa na matumaini ndugu yangu. Mjue Mungu naye Mungu atakuonyesha kusudi la kufanya.

Nimeandika kitabu cha Ukristo Na Maisha, kitabu ambacho ni msingi wa injili na mwanzo wa kumjua Mungu. Kitabu hichi kinapatikana kwa njia ya soft copy na hard copy, lakini kwa sasa kitabu hichi kinapatikana bure kabisa kwa njia ya soft copy, hard copy ni ngumu kipatika kwa urahisi. Unaweza kuchukua hii soft copy na kwenda kufanya hard copy na kutoa nyingi uwezavyo.
Hicho ni bure kabisa.

Lakini pia kuna kitabu ambacho nimekiandika kinaitwa Dunia Mama Haimtupi Mwanae, hiki kinapatikana kwa njia ya soft copy pekee na gharama yake 5000 tu.

Lipia kwa 0687000768 au 0755783228, majina yatakuja Sadick Lazaro Kilasi. Ikisha nitumie ujumbe kwenye namba yangu ya WhatsApp ili nikutumie kitabu. Tafadhari narudia tena hakikisha ukisha lipa nitumie ujumbe WhatsApp ili nikutumie kitabu baada ya kuona namba yako, ukituma pesa pekee namba yako sita iona na itakuwa changamoto.

Asante. Mungu akubariki. Kuwa na matumaini.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ▼  March (14)
      • Jihadhari Sana Na Kitu Hiki.
      • Hata Kama Unayhakika Kiasi Gani.
      • Ukweli Wa Maisha Na Mafanikio
      • Kura Yako Ina Nguvu Kuliko Hata Risasi.
      • Rangi Nne Unazopaswa Kujivisha.
      • Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Kuwa Na Utulivu
      • Mbegu Lazima Itoe Matunda Yake.
      • Usipokuwa Makini Utakuwa Mtumwa Hata Wa Ukucha Wako
      • Vita Vya Akili
      • Mazingira
      • Huu Ndio Utajiri Ambao Unapaswa Kuutafuta Kwa Bidii.
      • Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msom...
      • Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates