JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, February 27, 2019

Kutekeleza Na Kutafakuri Ulichotekeleza.

 Sadick Kilasi     February 27, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Kutekeleza Na Kutafakuri Ulichotekeleza.


Unaweza kujiuliza katika maisha, kwanini huwa tunafanya tunachokifanya? Ili iwaje?

Ukimtazama mtoto namna ambavyo anatekeleza mambo waweza kupata majibu ya mambo mengi sana katika maisha na ukatambua tofauti kati ya mtoto na mtu mzima.

Mtoto huwa anafanya anachotaka kufanya na mtu mzima pia huwa anafanya anachotaka kufanya. Mtoto atashika hiki ataacha na mtu mzima hivo hivo, anashika hichi harafu anaacha. Mtoto na mtu mzima, tunashika na kupeleka hapa na kuacha. Lakini kila kitu ambacho tunakifanya, kipo ndani ya dunia. Wengine wanakusanya na wengine wanatawanya. Sasa ni kipi cha muhimu zaidi katika maisha haya?

Unaweza ukawa unafanya jambo fulani ukajiona wewe ndo upo sahihi kuliko wengine, lakini je, ni kweli? Kwanini? Kwanini Mungu ambaye aliumba mbingu na nchi ameacha mambo mengine yaendelee kuwepo ambayo mimi aka wewe tunayatazama kwa jicho la ubaya?

Kwanini mzazi amwazibu mtoto pale anapohisi yeye kwamba mtoto amekosea? Na kuna uhakika gani kwamba mtoto amekisea na sehemu ambayo wewe mzazi umweka ndio sehemu salama zaidi wakati wewe mwenyewe jibu la dakika moja ijayo hujui kitu gani kitatukia?

Hakika maisha ni siri nzito ambayo Mungu pekee ambaye anaona kotekote anaweza kufasiri zaidi. Lakini mimi huwa naamini kwamba maisha ni kutenda na kutafakuri kile ambacho nimekitenda na kurahia, kama hakinifurahishi naboresha ikisha nafurahia kazi yangu niliyoifanya.

Kwahiyo kuna mambo mawili tu ambayo ndo maisha;
1.Kutenda na
2. Kutafakuri kile ambacho nimekitenda.

Utofauti wa mtoto na mtu mzima ni huu, mtoto anafanya harafu hatafakuri lakini mtu mzima anatenda lakini anatafakuri. Sasa ubaya unakuja hapa, mtu mzima anatafakuri lakini halidhiki lakini mtoto hatafakuri lakini analidhika.

Sasa katika  na kuchua zile tabia za kitoto huwezi kufurahia maisha. Lazima uchukue tabia za kitoto na uzitumie na kuchanganya na tabia za utu uzima na hapo ndipo utafikia kiwango kikubwa cha furaha.

Watu huwa tunafanya kosa hili moja, kupokea na kutokutunza ulichopokea. Naweza kusema, ulevi wa maisha, mtu mlevi ni yule ambaye anatamani ile pombe iliyopo mbele bila kuijali ambayo amekunywa tayari na mwisho pombe inapitiliza tu mwilini. Pombe hiyo haifanyi kazi kama pombe bali mtu huyu ataitwa mraibu wa pombe. Badala ya kuwa pombe unakuwa sasa utapia pombe. Paulo alimwambia Timotheo, tumia sasa kidogo mvinyo kama dawa. Ni muhimu kukitunza kila kitu ambacho kinapitia kwako ili kifanye kazi.

Kuna tabia tano ambazo huwa zinaleta furaha lakini zikiongozwa na mambo hayo mawili. Katika kitabu cha DUNIA MAMA, tumechanganua sana juu ya mambo hayo mawili, hakikisha unajipatia soft Copy yako kwa shilingi 5000 tunaposubiri hardcopy. Tuma pesa yako kwenda 0687000768 au 0755783228, na ni vizuri kunijurisha ili  nami nikutumie haraka.

Kuyaishi maisha unapaswa kuongozwa na mambo hayo mawili, kwa hiyo ni muhimu kuyajua zaidi hayo mambo. Nimekuwa nasoma neno la Mungu na nashukuru Yesu ananifundisha lakini pia nimekuwa natumia mazingira ya kawaida ambayo tunaishi ili kukusanya na kuelewa ni kitu gani kimekosekana watu hatuna furaha lakini nimegundua kuna mambo mawili ambayo yanaongoza maisha lakini pia kuna tabia tano ambazo husababisha furaha. Kwa kadili ambavyo tunakwenda tutashirikishana kwa wakati.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ▼  February (11)
      • Kutekeleza Na Kutafakuri Ulichotekeleza.
      • Jivishe Reflector Yako.
      • Falsafa Ya Ufungaji Wa Mbuzi Na Uhuru.
      • Mitazamo Ni Kama Oksijeni Ambayo Watu Hawaijui.
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji
      • Kila Tendo Ni Kujisaidia
      • Falsafa Ya Kilimo Na Ufugaji 2
      • Link Yako
      • Jinsi Ya Kutoka Katika Msongo Wa Mawazo Kwa Kutumi...
      • Tumia Vizuri.
      • Tano Ambazo Zitakujaza Furaha, Visababishi Vya Fur...
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates