JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, March 5, 2019

Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msomi Kukwepa Mbinu Za Shetani.

 Sadick Kilasi     March 05, 2019     No comments   


Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msomi Kukwepa Mbinu Za Shetani.

Biashara ni mchakato ambao unaendelea na Msomi ni mtu ambaye huona vitu ambavyo havionekani kwa macho na kuleta dhana ambayo italeta suruhisho kwenye changamoto ambayo anataka kutatua.

Sasa falsafa ya mfanyabiashara na msomi ni mchakato ambao unaenda kwa pamoja kwa wakati mmoja.


Msomi hutumia jicho la tai na kuona wema ama kitu ambacho anakihitaji kutoka kwenye vitu vingi vya mfanya biashara.

Sasa katika maisha kila kitu ni biashara, yani naweza kusema hata macho yako yanafanya biashara, kwa sababu macho yako usipoyatumia yanakosa soko yaani yanadoda kwa sababu hayana kazi ya kufanya.

Nataka nikuonyeshe mfano huu ili unielewe vizuri, siku moja nilikuwa nimekaa na rafiki yangu kwenye benchi, akipita chinga, anayeuza heleni, chanuo na vikolokolo vingi vya ulembo. Sasa kwa sababu rafiki yangu alihitaji chanuo, akosoma vitu vya mfanya biashara ikisha akaiona chanuo na kuinunua,  akachana nywele zake. Sasa alipochana nywele mimi nikajiuliza swali, kwanini huyu jamaa amechana nywele? Mbona hata angeacha ingekuwa haina shida? Nikapata jibu kwamba, anauza nywele zake. Kama asingechana nywele, kuna watu fulani angeendana nao lakini pia baada ya kuchana nywele kuna watu wa aina fulani angeendana nao.
Inamaana kwa vyovyote vile na kwa mkao wowote ule bado kuna watu wa kuendana nao ambao wanakusoma na wanaona unafaa kuendana nao.  Ndege wafananao huruka kwa pamoja.



Sasa dhana hii ya kuibua kitu kimoja na kuishi na kuamini hicho, mara nyingi shetani hutumia dhana hii kumfanya mtu kuwa mtumwa wa mazingira. Mtu anakuwa anaamini kwamba hakuna zaidi ya hili. Kumbuka kwamba, Mungu alipomwumba mwanadamu aliagiza kwamba, Mwanzo 1:28 Mungu akawabarikia, Mungu akamwambia, Zaeni, mkaongezeke, na kuijaza nchi, na kuitisha; mkatawale samaki wa baharini na ndege wa angani na kila kitu kiendacho katika nchi.


Sasa kuna kitu ambacho nataka nikwambie ndugu yangu, hakuna kitu ambacho ni sahihi wakati wote. Ni wewe tu ndiye sahihi wakati wote na Mungu unayemtumainia. Matendo unayofanya si sahihi wakati na ndiomana imeandikwa usitende haki sana.

Werevu ndio sifa kubwa ya shetani. Kuna wakati fulani unaweza ukaona kana kwamba umemweza shetani lakini kumbe kakuweza.

Moja ya jambo la muhimu katika maisha ni kulihimili ombwe kati yako na kile ambacho unatazamia kufanya. Sio kila kitu ni sahihi wakati wote, na  huo ndo ukweli wa maisha. Siku ambapo utasema hiki ndicho sahihi zaidi kuliko vingine utakosa uhuru wa kuishi na utashindwa kutawala vingine kwa sababu unamiliki kimoja.

Mwenyezi Mungu pekee ndiye ndiye wa kumtumainia na si matendo yako. Kuna vitu vya kupigania katika maisha, naam, kupigania kuishi kwa upendo ni jambo la heri. Basi, kuna mambo mawili ya muhimu katika maisha, imani na upendo.

Pata Kitabu cha DUNIA MAMA HAIMTUPI MWANAE kwa shilingi 5000. Lipa kwa 0687000768 au 0755783228. Jina litakuja Sadick. Ikisha nitumie ujumbe WhatsApp ili nikutumie.

Mithali 6:9, Heri anayeona kwa macho, kuliko kutanga tanga kwa tamaa. Hayo nayo ni ubatili mtupu.

Hekima ni taa safi mbele ya uso wa  mwenye hakima.

Sadick Kilasi wa jikolaushari.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ▼  March (14)
      • Jihadhari Sana Na Kitu Hiki.
      • Hata Kama Unayhakika Kiasi Gani.
      • Ukweli Wa Maisha Na Mafanikio
      • Kura Yako Ina Nguvu Kuliko Hata Risasi.
      • Rangi Nne Unazopaswa Kujivisha.
      • Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Kuwa Na Utulivu
      • Mbegu Lazima Itoe Matunda Yake.
      • Usipokuwa Makini Utakuwa Mtumwa Hata Wa Ukucha Wako
      • Vita Vya Akili
      • Mazingira
      • Huu Ndio Utajiri Ambao Unapaswa Kuutafuta Kwa Bidii.
      • Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msom...
      • Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates