JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Wednesday, March 20, 2019

Rangi Nne Unazopaswa Kujivisha.

 Sadick Kilasi     March 20, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Rangi Nne Ambazo Kila Mmoja Anapaswa Kujivisha.

Kuna kipindi ambacho niliendesha program ya tabia nne ambazo kila mmoja anapaswa kuwa nazo. Wale waliohudhuria natumai walinufaika na ile program.

Makala hii ya leo inalenga kitu kile kile ambacho tulijifunza kwenye ile program lakini leo tunatumia mfumo wa rangi ili kufikisha ujumbe. Rangi hizi NNE ni Mungu ambaye anataka kila mmoja ajivishe ili kuishi maisha ya furaha na utumishi kwa ujumla.

Kama tulivyosema jana kwamba kila mmoja ambaye amezaliwa upya basi huyo ni kuhani wa Kristo Yesu.

Kuna rangi nne tu ambazo kila mmoja anapaswa kujivisha ili kuishi maisha ya furaha na tano si rangi bali ni mwonekano wa furaha yenyewe. Ukiwa utajivisha rangi hizi basi maisha ya furaha kwako si kitu cha kuuliza.

Kutoka 28:5, Nao wataitwaa dhahabu, na nguo ya rangi ya samawi, na rangi ya zambarau, na rangi nyekundu, nguo ya kitani nzuri.

Kila rangi hapo unapaswa kuwa na tabia fulani ambazo zinawakilisha tabia hiyo. Kwa ufupi ngoja nikuonyeshe hapo chini tabia hizo.


1.Dhahabu.
Rangi ya dhahabu ni rangi ambayo inawakilisha tabia ya sufuri. Huu ni mkao wa ukiwa na utupu. Mara nyingi mkao huu ni mkao wa maombi na kutunza uhalisi. Hali hii ni hali ambayo mtu anakuwa zero. Lakini huu pia ni mkao wa ubatizo.

Kutoka 14:14, BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.

Kumbukumbu La Torati 31:2, Akawaambia, Mimi leo ni mwenye miaka mia na ishirini; siwezi tena kutoka na kuingia, na BWANA ameniambia, Hutovuka mto Yordani.

 Matendo ya Mitume 22:1, Enyi wanaume, ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea mbele yenu sasa.

Kwahiyo rangi ya dhahabu inawakilisha kuishi leo na sasa.


2. Samawi/Buluu.
Hii ni rangi ya muhimu sana ambayo kila mmoja anapaswa kujivisha. Rangi hii ni mwondoko kutoka kwenye dhahabu kuja kwenye buluu ama samawi. Mwondoko wa tai ndio hutawala hana, ambapo ni shukrani kwa hali yoyote ile uliyonayo.
Na pia hii huwakilisha Roho wa Mungu. Hapa ndipo Yesu alisema, mtu asipozaliwa kwa Maji  na Roho hawezi kuingia Ufalme wa Mungu.

Yohana 3:5, Yesu akajibu, Amino, amini, nakuambia Mtu asipozaliwa kwa  maji na kwa Roho, hawezi kuingia Ufalme wa Mungu.

Mpendwa msomaji, kwenye rangi hii ni vema nikaelezea zaidi kwa sababu watu wengi tumefeli na ghadhabu ya Mungu ni kwa sababu ya rangi ya samawi. Wengi tumejivisha rangi karibia zote lakini wengi rangi hii tumeshindwa kujivisha. Watu waliokuwa wanajenga mnara wa babeli walikosa rangi hii, lakini pia watu walipomwasi Mungu kule jangwani baada ya Musa kupanda juu ya mlima wa Mungu, wenyewe wakajitengenezea ndama wa dhahabu walikosa rangi hii. Lakini pia ufunuo wa Yohana juu ya mwanamke kahaba alikosa rangi ya buluu.

Rangi hii nayo inatabia zake, ikitanguliwa na shukrani na kuondoa unafiki. Nimeandika kitabu cha UKRISTO NA MAISHA, nimeelezea juu ya injili ya maji na Roho, kwahiyo unaweza kujipatia bure kabisa soft copy yako mapema kabisa. Kwa hiyo pata kitabu hichi kujua zaidi juu ya injili hii.

Katika harati za hivi sasa ni muhimu sana kuishi rangi hii ya buluu, watu wamekuwa bize sana na mambo ya dunia na uwepo wa Mungu umekuwa mdogo sana. Angalieni tusije tukatengenezewa mijeredi na Kristo Yesu tukachapwa mijeredi. Ni wakati wa kulitia jina la Kristo wakati wote.

3. Zambarau.
Hii ni rangi ambayo inawakirisha kiasi na Ufalme. Kila mmoja anapaswa kuishi kutokana upekee kutokana na jinsi Mungu alivyomwandaa bila kuingilia maisha ya wengine. Lakini rangi hii inaongozwa na kutawala pamoja na mwisho wa mipaka yako. Na tabia nyingine huongozwa na rangi hii.

4.Nyekundu.
Rangi nyekundu inawakilisha upendo na ukiweza kuishi tabia hizo nyingine za rangi hizo tatu hapa huhitaji kufanyia kazi. Kila kitu kitakuwa kinajiendesha chenyewe baada ya kuishi tabia za rangi hizo za mwanzo.

5.MWISHO✊. Ni mwonekano wa vazi la furaha ambalo umejivisha la kitani nzuri sana.
Nitaandika kitabu juu ya rangi hizi, na nitakuwa nachambua kila rangi na tabia zake kwa undani sana. Nitakuwa naandika makala ambazo ndizo baadae kitakuwa kitabu, kwahiyo jiandae. Asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ▼  March (14)
      • Jihadhari Sana Na Kitu Hiki.
      • Hata Kama Unayhakika Kiasi Gani.
      • Ukweli Wa Maisha Na Mafanikio
      • Kura Yako Ina Nguvu Kuliko Hata Risasi.
      • Rangi Nne Unazopaswa Kujivisha.
      • Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Kuwa Na Utulivu
      • Mbegu Lazima Itoe Matunda Yake.
      • Usipokuwa Makini Utakuwa Mtumwa Hata Wa Ukucha Wako
      • Vita Vya Akili
      • Mazingira
      • Huu Ndio Utajiri Ambao Unapaswa Kuutafuta Kwa Bidii.
      • Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msom...
      • Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates