JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, March 19, 2019

Kuwa Na Utulivu

 Sadick Kilasi     March 19, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Kuwa Na Utulivu Ili Uelewe Mchakato.

Hapo nyuma nilishawahi kuandika makala juu ya HUKUMU ambayo ni sawa na KANUNI na HAKI ambayo ni sawa TIMAZI. Tukajifunza juu ya namna fundi kujenga anavyo tumia kanuni hii kuunyosha ukuta wake na tukasema kanuni hii ni kanuni ambayo kila mmoja anapaswa kuishi ili kuepukana kuishi kwa kuumizwa na wengine. Na ni kanuni ambayo inamfanya mtu aishi maisha anayotaka.


Sasa leo nitaandika kitu ambacho kinafanana na hicho lakini hiki hakielezeki vizuri kimanti kwa sababu ni hali ya undani sana.

Hakuna kitu ambacho katika maisha yetu ambacho hutokea kama muujiza, ila sisi ndo huwa tunachukulia kama muujiza. Kila kitu huwa na mbegu ambayo mwisho huleta matunda nje ambayo kila mmoja anaona na anatambua. Mara nyingi mbegu ile huwa ni molecular ndogo sana ambayo kwa kawaida huwa ni ngumu kuchambuliwa kwa lugha ya kawaida na ndio maana wataalamu wanasema kwamba hakuna lugha ambayo ilisha wahi kutafsiri kwa usahihi mhemuko ambao tunajisikia. Mfano ; Ukimkuta mtu ambaye ana furaha ya kiwango cha juu anaweza kufurahi mpaka akaanza kulia ama kufanya mambo ambayo mtu huwezi kutegemea.


Utulivu katika maisha ni jambo la muhimu sana, yaani wewe mwenyewe kuwa mtulivu wa kujisikiliza kwa sababu kuna mambo mengine huwa hayawezi kuelezeka ama kufundishika, yanakutegemea wewe mwenyewe.

Mfano; Shetani anapoanza kupanda mbegu mbaya ndani mwako ambayo tunaweza kusema anapoanza kuweka timazi ndani mwako huwa ni ngumu kutambua lakini tunastukia tayari tunaung'ang'ania ubaya ambao shetani kaweka ndani mwetu.

Yesu alifundisha juu ya jambo hilo pale alipoulilia mji wa Yerusalemu na wakati ambao alifundisha juu ya ishara.

Lakini pia imeandikwa kwamba, usemapo ni salama hapo ndipo mabaya huwa yanakuwa nawe karibu sana. Kwa sababu kila mtu lazima ajaribiwe lakini jaribu si la kuendekeza na ndiomaana imeandikwa kwamba tupanie mambo ya juu.

Ukitengeneza utulivu wa hali ya juu sana kila hali ambayo ipo ndani mwako utaisikia inapoanza na hili hawezi kukufundisha mtu ila wewe mwenyewe kuwa na utulivu katika maisha Na kujivisha utayari wa kutaka kujifunza kutoka kwako wewe mwenyewe.

Mara nyingi tumekuwa tunasoma vitabu sana ambavyo vinatuelezea sisi lakini ukweli ni kwamba sisi wenyewe ni kitabu ambacho kinaweza kusomwa na sisi wenyewe. Na uzuri wa sisi wenyewe kujifunza ni kwamba tunakuwa katika hali ile ile.

Ni moja ya mbili yaani 1/2 huwa tunaambulia wakati tunajifunza kupitia yale ambayo tumeyafanya kupitia sisi wenyewe. Kwa hiyo kujifunza na kutafakari sana yale ambayo umefanya ni muhimu sana kuliko hata kusoma kitabu.


Kaa na uanze kujisikiliza ili utengeneze timazi yako wewe binafsi ili uwe wa kipekee. Kila kitu ambacho unakiona nje huwa kinaanzia ndani mwako na ukiwa tayari utasikia kwa sauti kubwa tu.

Tunapaswa kuishi maisha ya furaha lakini tunapoendeshwa na hali linakuwa ni jambo ambalo halina maana kabisa. Sisi tunapaswa kuendesha kila kitu ambacho kinajaribu kuja kwetu.

Asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ▼  March (14)
      • Jihadhari Sana Na Kitu Hiki.
      • Hata Kama Unayhakika Kiasi Gani.
      • Ukweli Wa Maisha Na Mafanikio
      • Kura Yako Ina Nguvu Kuliko Hata Risasi.
      • Rangi Nne Unazopaswa Kujivisha.
      • Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Kuwa Na Utulivu
      • Mbegu Lazima Itoe Matunda Yake.
      • Usipokuwa Makini Utakuwa Mtumwa Hata Wa Ukucha Wako
      • Vita Vya Akili
      • Mazingira
      • Huu Ndio Utajiri Ambao Unapaswa Kuutafuta Kwa Bidii.
      • Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msom...
      • Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates