JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Thursday, March 21, 2019

Ukweli Wa Maisha Na Mafanikio

 Sadick Kilasi     March 21, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Ukweli wa Maisha Juu Ya Mafanikio Na Mjini.

Unakumbuka wakati ambao wewe ambaye ulikuwa unatoka kijijini kwenda mjini ni hali gani ambayo ulikuwa unajisikia?

 Namshukuru Mungu kwamba mimi nimepitia kila mahala yaani kijijini huko kabisa, kwahiyo angalau naweza kuielewa asili kwa kiasi.

Sasa hapa simanishi ulipokuwa unatoka kijijini kwenda mjini, ni lazima utoke kijijini kwenda mjini ama kuja Dar es salam, hapana, kila sehemu inamjini mwake. Hata nikiwa pale katikati ya Posta inanihitaji niingie mjini zaidi ama ndani ya majengo mazuri. Lakini pia nikiwa kijijini ambako sisi tunakuita kijijini bado kuna mjini kwake. Kuna nyumba fulani utajikuta unatamani kulala ndani yake, (hivyo ndivyo tulivyokuwa tunapenda tulipokuwa watoto wadogo) unakuta nyumba zote ni za nyasi lakini kuna nyumba nyingine tunafili kulala humo.

Nimekutolea mifano hii ili ujue ni kitu gani nataka kulega. Najua ni kiasi gani huwa unajisikia pale unapotoka kijijini kwenda mjini ama unapobadili mazingira kwenda mazingira mengine ambayo unahisi ni mazuri zaidi.

Lakini mara nyingi ukibadili mazingira na kwenda ambayo ulikuwa unahisi ni mazuri zaidi, ukidumu hapo kwa muda mrefu utajikuta katika hali ya kawaida kabisa, ile hali ya uzuri inaondoka kabisa. Utajikuta unaona kawaida kabisa.

Siku zote huwa nawambia watu, hakuna mafanikio duniani ila kuna kuyaishi mafanikio. Usipoyaishi mafanikio huwezi kufanikiwa kamwe.

Neno Mjini, mimi mwenyewe, kwa kadili ambavyo naelewa, ni hali ya kujisikia, kujisikia utoshelevu wa uzuri fulani.

Ukiwa unapiga hatua, ama kuelekea mahali, hatua moja ya kwanza utajisikia utoshelevu. Mfano, ukiwa unapanda ngazi, mguu mmoja unapokuwa ngazi ya chini, mwingine ngazi ya juu, unaponyanyua mguu wa ngazi ya chini, huu mwingine unapata maumivu. Maumivu haya yakiambatanishwa na uafadhari huwa yanaleta raha fulani, kwa sababu mguu huu wa chini haukai sana kwa muda mrefu na kukufanya wewe usimamie mguu mmoja.
Hii ndio maana, dunia haikuumbwa siku sita pekee, bali iliumbwa siku sita na siku ya saba Mungu akamalizia na kupumzika.

Ukiwa katika ngazi ya kwanza, mguu mmoja, mguu mwingine unakuja kukanyaga ngazi inayofuata, naam, maumivu na raha humohumo. Kila hatua unayopiga unafili, Na hii ndio maana Mungu alisema, zaeni mkaongezeke na kuijaza dunia.

Furahia maisha pale pale ulipo, bila kujali uko wapi na tengeneza kusudi la kusonga mbele. Haijarishi upo kijijini ama Mjini, wewe songa mbele. Unaweza kuwa kijijini lakini saikolojia yako ikasomeka kuwa upo mjini lakini pia unaweza kuwa mjini lakini saikolojia yako ikasomeka kuwa upo kijijini. Lakini pia unaweza kuwa na fedha nyingi lakini saikolojia yako ikasomeka kuwa wewe ni maskini lakini pia unaweza kuwa maskini saikolojia yako ikasomeka kuwa ni tajiri.

Anza kuishi maisha yako, ipe dunia kile ambacho Mungu amefanya uipe dunia. Asante.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ▼  March (14)
      • Jihadhari Sana Na Kitu Hiki.
      • Hata Kama Unayhakika Kiasi Gani.
      • Ukweli Wa Maisha Na Mafanikio
      • Kura Yako Ina Nguvu Kuliko Hata Risasi.
      • Rangi Nne Unazopaswa Kujivisha.
      • Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Kuwa Na Utulivu
      • Mbegu Lazima Itoe Matunda Yake.
      • Usipokuwa Makini Utakuwa Mtumwa Hata Wa Ukucha Wako
      • Vita Vya Akili
      • Mazingira
      • Huu Ndio Utajiri Ambao Unapaswa Kuutafuta Kwa Bidii.
      • Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msom...
      • Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates