JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Saturday, March 30, 2019

Jihadhari Sana Na Kitu Hiki.

 Sadick Kilasi     March 30, 2019     No comments   

Sadick Kilasi:
Jihadhari Sana Na Kitu Hiki Rafiki Yangu.

Tangu zamani, zama za hapo mwanzo kabisa za kuwepo mwanadamu, mwanadamu alikuwa anasogea mbele kwa sababu ya mahitaji na thamani ya yale mahitaji.

Mwanadamu alikuwa anapata taarifa na hiyo taarifa ndiyo ilikuwa inamwendesha mtu huku na huko ili kujihakikishia anajipatia uhalisi Wa kweli wa ile taarifa. Kilichokuwa kina msukuma zaidi mwanadamu ni thamani ya ile taarifa na thamani ya ile taarifa ilitegemea uadimu wa ile taarifa.

Mpaka leo hii, bado tunaendeshwa na vitu hivi viwili, yaani taarifa na thamani ya ile taarifa. Japokuwa maendeleo ya ulimwengu yamekuwa makubwa zaidi lakini, hivi sasa ndicho kipindi ambacho tunaweza kusema ni ufunuo wa taarifa. Tunapata taarifa nyingi sana tukiwa pekee yetu kuliko hata tukiwa kwenye mahusiano na wengine.

Zamani hizo watu walikuwa wanapokea taarifa kwa kuhisi, wakati mwingine mtu mpaka mnyama mkali anamsogelea ndipo anaisoma taarifa na kuanza kukimbia. Lakini pia link ya kupokea taarifa wakati mwingine ilikuwa ni mtu na mtu, ambayo mchakato wake ulikuwa ni mrefu sana.

Watu wenye taarifa za motomoto walikuwa na thamani kubwa sana. Mtu mwenye taarifa za motomoto alichotegemea ni kutengeneza utajiri katika maisha yake.

Sasa hizi sasa ni zama za ufunuo wa taarifa. Ni kipindi ambacho tunapaswa kuwa makini sana, kwani kila mmoja anakazana kutafuta taarifa na kuuza kwa bei ghali sana. Dunia ya sasa imejaa wanyama wakali ambao hawang'ati lakini wanakufanya kuwa zezeta.

Unaweza kujikuta unaaminishwa vitu ambavyo havipo na kila siku ukawa unakazana kutafuta hiyo taarifa na mwisho ukaifikia lakini uhalisi wake haupo jinsi ambavyo ulikuwa unategemea.  Mfano, michezo ya betting ni taarifa ambazo hazina maana na hazina utu ndani yake. Vitu kama hivi hutucheleweshea kuishi maisha yetu na kushindwa kukamirisha vile vitu vya muhimu zaidi katika maisha yetu.

Betting ni mchezo wa kijinga na kila hatua unayopiga kwenye betting ni ujinga  na ili kuondoa ujinga wa betting ni kuacha kubeti na kuwa kama zamani.

Lakini pia zipo taarifa kutenda miujiza, taarifa hizi nazo ni hatari kwa sababu zinatufanya tunakimbizana huku na huko na kuona kana kwamba labda sehemu tuliyopo si sehemu sahihi. Ni kweli miiujiza ipo lakini si kitu ambacho kinatawala wakati wote, kwa hiyo si taarifa za muhimu kiasi kikubwa hivyo. Kama kwa mamiaka na mamiaka dunia imeishi bila miujiza, kwanini sasa hivi miujiza kiwe kitu cha muhimu sana?

Mpendwa msomaji, chunga sana usije ukajikimbia katika maisha yako. Kuwa tayari kukataa taarifa ya vitu ambavyo huvihitaji, simamimia misingi ambayo wewe mwenyewe unahitaji kuishi nayo.

Usipoteze hata dakika moja kukimbizana na kitu ambacho hakipo katika msingi wa maisha yako. Kama unamsingi katika maisha yako, kitu ambacho kitahitajika utahitaji na si uhitaji kwa sababu kinatuita.

Kama huna kitu cha kufanya angalia katika maisha yako umepungukiwa nini ikisha tafuta njia ya kujenga ulichopungukiwa.

Katika maisha, kwenye chochote kile unachofanya simamia misingi miwili mikubwa,  imani na upendo. Ishi maisha yako, ukweli wa maisha upo na wewe.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ▼  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ▼  March (14)
      • Jihadhari Sana Na Kitu Hiki.
      • Hata Kama Unayhakika Kiasi Gani.
      • Ukweli Wa Maisha Na Mafanikio
      • Kura Yako Ina Nguvu Kuliko Hata Risasi.
      • Rangi Nne Unazopaswa Kujivisha.
      • Jiweke Nafasi Ya Wengine.
      • Kuwa Na Utulivu
      • Mbegu Lazima Itoe Matunda Yake.
      • Usipokuwa Makini Utakuwa Mtumwa Hata Wa Ukucha Wako
      • Vita Vya Akili
      • Mazingira
      • Huu Ndio Utajiri Ambao Unapaswa Kuutafuta Kwa Bidii.
      • Jinsi Ya Kutumia Falsafa Ya Mfanyabiashara Na Msom...
      • Umuhimu Wa Kuwa Na Ndoto
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ►  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ►  June (17)
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates