JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Tuesday, June 12, 2018

Upendo Na Haki Vikifanya Kazi Kwa Pamoja Huleta Usawa.

 Sadick Kilasi     June 12, 2018     MAHUSIANO, TAFAKARI YA ROHO     No comments   



Habari za wakati huu mpendwa msomaji wa blogu hii ya JIKO LA USHAURI? Natumai unaendelea vizuri. Karibu katika makala hii ili tuweze kujifunza haya niliyokuandalia.

Upendo ni neno ambalo dunia imekuwa ikilizungumzia sana, lakini kwa bahati mbaya wengi wamekuwa wanapiga kelele kuhusu upendo wasitambue nini hasa maana ya upendo.

Tabia ya watu kutopenda kujifunza kwenye mambo madogomadogo imepelekea kutotambua nini hasa kinachoelezewa. Mara nyingi watu wamemekuwa wakikumbatia kivuli cha upendo wakifikiri huo ndo upendo wenyewe. Tabia ya watu kuamsha hisia zao wenyewe wanavotaka ndizo zimepelekea kupoteza ladha ya ukweli.

Tujue nini hasa maana ya upendo,

Upendo ni hali ya kuvutia mtu au kitu kwenye moyo. Mtu anapoona kitu au mtu akivuta kwenye moyo, ndipo mwenyewe anakili kwamba nimependa kitu hiki au mtu huyu. Upendo kama upendo hufanya kazi kwa mfumo binafsi, mhusika binafsi anavutiwa na kitu ikisha anasema nimekipenda.

Watu wengi, hasa vijana wamejikuta wakitumbukia kwenye hali hii wakijua ya kwamba wamependa kumbe wanajidanganya. Unapokuwa unatumia hisia zako binafsi kupenda kitu unakuwa na mapenzi na kitu na huo sio upendo halisi bali ni kivuli chake. Siku zote upendo wa dunia au wa mwanadamu ni wa kibinafsi tu na wengi wamejikuta wakitumbukia kwenye mtego huu ambao mwisho hujikuta ile hali ambayo walikuwa nayo mwanzo inaanza kupotea kidogo kidogo kwa sababu hisia  au hamasa hii huwa haidumu.

Je upendo wa kweli ni upi?

Upendo wa sababu.
Upendo uliounganishwa na haki.

Nini maana ya haki?
Haki ni umiliki wa jambo. Mtu anapokuwa anatambua jambo basi anamiliki haki yake ya utambuzi na hiki ndicho kinampa amani na furaha ya kweli ambayo huleta upendo wa kweli.

Je upendo wa kweli ni upi?
Kumpenda asiyekupenda huo ndo upendo wa kweli. Hichi ndicho kitu ambacho Mungu anahitaji kutoka kwetu na sio kuwa na upendo wa kibinafsi ambao ni kumpenda unayetaka kumpenda, kwa kweli huo si upendo wa kweli. Tunajidanganya tu mwisho maisha yanakuwa maisha ya kujilazimisha na kuvumiliana kitu ambacho Mungu hatarajii kutoka kwetu.Upendo wa kweli haubagui bali unadondoka popote palipokosa upendo.

Ni hayo tu rafiki yangu kwa leo ambayo nimekuandalia, japo yapi mengi sana ya kujifunza juu ya upendo na haki, kama unaswali lolote tafadhari usiache kuuliza lakini pia kwa muda mrefu nilikuwa bado nilikuwa sina group ya kujifunza zaidi sasa napenda kutangaza nafasi za watu watano pekee ambao wanapenda kujifunza zaidi. Group hili litaendeshwa kwa njia ya mtandao wa WhatsApp.

Kwa sasa napenda kutoa nafasi hii ya watu watano kwanza harafu baadae tutaangalia uzito wa mambo utakavokuwa. Na kwa nafasi hii tano za kwanza group litakuwa bure kabisa. Japokuwa kutakuwa kunasheria kwenye group ambazo zitatakiwa kufwatwa.

Mpendwa rafiki yangu kuna mengi sana ambayo nimekuandalia na nitakuandalia wakati, tutashirikisha mengi. Tafadhari kujiunga na group tuma ujumbe kwenye namba hii 0687000768 au email yangu ni sadikila65@gmail.com, tuma namba yako ya WhatsApp na majina yako. Nafasi tano tu, tafadhari uwe na nia ya kujifunza, umiliki ukweli nao ukweli ukuweke huru. Asante sana.

Wako Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ▼  June (17)
      • Jiandae Kutegua Chochote Kwa Wakati Wowote.
      • Kutumia Sheria Ya 'Ndani Nje' Kutatua Matatizo.
      • Viashilia Viwili Ambayo Vitaonyesha Kwamba Umefiki...
      • Jifunze Kufanya Kitu Hiki Siku Zote Za Maisha Yako.
      • Ishi Ndani Ya Wakati Usipoteze Chochote.
      • Acha Ushabiki Kuwa Mwanafunzi Kwenye Kila La Maish...
      • Tiba Kwa Ajili Ya Mawazo Na Stress.
      • Anayetunga Siye Anayeamua Wala Anayeamua Siye Anay...
      • Kaa Na Ujisikilize Mwenyewe Unasemaje.
      • Usiamini Ukweli Namna Unavotaka Wewe Bali Amini Kw...
      • Kuuondoa Matatizo Yako Yote Fanya Kitu Hiki.
      • Mzazi Usimwadhibu Mtoto Kibinafsi.
      • Upendo Na Haki Vikifanya Kazi Kwa Pamoja Huleta Us...
      • Ukweli Haupambwi.
      • Chochote Kinachofanyika Kwenye Ulimwengu Huu Ni Ch...
      • Kama Dunia Ingekuwa Hivi..
      • Kuwa Na Matumizi Mazuri Na Hali Yako.
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates