JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • ushauri
    • KUHUSU SISI
    • MAISHA NDANI YA YESU
  • MAWASILIANO
    • NAMBA YA SIMU
      • Sub 0687000768
      • Sub Child Category 2
      • facebook
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • NJOZI
  • SAIDIA HUDUMA HII
    • Childcare
    • Doctors
  • NYUMBANI
  • KUFURAHIA MAISHA
    • Stock
  • TAFAKARI YA ROHO
    • HEKIMA ZA WAZEE
    • Games
    • AFYA
      • Office
  • MAHUSIANO
    • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • USHAURI
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
    • Childcare
    • Doctors
  • PATA BLOGU

Saturday, June 23, 2018

Ishi Ndani Ya Wakati Usipoteze Chochote.

 Sadick Kilasi     June 23, 2018     HEKIMA ZA WAZEE, TAFAKARI YA ROHO     No comments   



Kama ilivyo kawaida kwenye hii dunia ambayo inaendeshwa kwa hisia na mitazamo, tunapaswa kuishi ndani ya Wakati.

Kuna mengi ambayo yanatokea ndani ya wakati yanahitaji kusuluhishwa ndani ya wakati. Kwa kweli hakuna wakati sahihi wa kufanya jambo sahihi, kila wakati ni sahihi kufanya jambo sahihi.

Tatizo kubwa kwenye ulimwengu huu wa matokeo ni kwamba watu wanatumia hisia zaidi, kama unahitaji kutatua jambo fulani ambalo ni la muhimu na wewe hisia zako ziko chini huwezi kuuona umuhimu wa kufanya jambo hilo, mpaka hisia zako zipande ndipo unapaswa kutatua jambo lilikuwa litatiliwe ndani ya wakati.

Mtu anayeishi ndani ya wakati, wakati wote kwake ni sahihi kufanya jambo sahihi. Fikiria mtu ambaye anauhitaji muhimu wa kutatua shida yake ndani ya wakati maalumu harafu ghalama yake ni ndogo tu, harafu ikatokea kwamba akashindwa kufanya lile jambo kwa muda kwa sababu ameshindwa kumudu ile ghalama na wewe ulikuwepo hapo, harafu baada ya muda kidogo ukamwendea wakati wa kutatua lile jambo umekwisha ukawa ndo unampa msaada wa pesa, tens zaidi ya pesa ambazo alikuwa unahitaji kwa kweli hata uona umuhimu wa zile pesa.

SOMA:Tiba Kwa Ajili Ya Mawazo Na Stress.

Ni sawa na kumpa maiti mamilioni wakati hawezi kufanya chochote.
Kwa hiyo tunapaswa kuishi ndani ya wakati ili tusipitwe na wakati.

Kufanya jambo sahihi hakuhitaji wakati bali kila wakati ni sahihi wa kufanya jambo sahihi. Ni vema, tumuuachie Mungu fikra zetu kwa sababu yeye ni Mungu wa haki siku zote kuliko kusubili kuanza kupandisha hisia zako kwa nguvu zako.

Fanya kwa wakati,
Kwa kuwa una wakati,
Utafika wakati,
Hutakuwa na wakati,
Wa kufanya kwa wakati.

Ishi ndani ya wakati.

Sadick Kilasi wa jikolaushauri.blogspot.com.

Mawasiliano ni 0687000768 au sadikila65@gmail.com.
  • Share This:  
  •  Facebook
  •  Twitter
  •  Google+
  •  Stumble
  •  Digg
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Search This Blog

Translate

Total Pageviews

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile

Followers

Kurasa

  • Nyumbani
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2020 (5)
    • ►  January (5)
  • ►  2019 (46)
    • ►  December (4)
    • ►  October (1)
    • ►  July (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  March (14)
    • ►  February (11)
    • ►  January (5)
  • ▼  2018 (275)
    • ►  December (17)
    • ►  November (25)
    • ►  October (29)
    • ►  September (43)
    • ►  August (7)
    • ►  July (12)
    • ▼  June (17)
      • Jiandae Kutegua Chochote Kwa Wakati Wowote.
      • Kutumia Sheria Ya 'Ndani Nje' Kutatua Matatizo.
      • Viashilia Viwili Ambayo Vitaonyesha Kwamba Umefiki...
      • Jifunze Kufanya Kitu Hiki Siku Zote Za Maisha Yako.
      • Ishi Ndani Ya Wakati Usipoteze Chochote.
      • Acha Ushabiki Kuwa Mwanafunzi Kwenye Kila La Maish...
      • Tiba Kwa Ajili Ya Mawazo Na Stress.
      • Anayetunga Siye Anayeamua Wala Anayeamua Siye Anay...
      • Kaa Na Ujisikilize Mwenyewe Unasemaje.
      • Usiamini Ukweli Namna Unavotaka Wewe Bali Amini Kw...
      • Kuuondoa Matatizo Yako Yote Fanya Kitu Hiki.
      • Mzazi Usimwadhibu Mtoto Kibinafsi.
      • Upendo Na Haki Vikifanya Kazi Kwa Pamoja Huleta Us...
      • Ukweli Haupambwi.
      • Chochote Kinachofanyika Kwenye Ulimwengu Huu Ni Ch...
      • Kama Dunia Ingekuwa Hivi..
      • Kuwa Na Matumizi Mazuri Na Hali Yako.
    • ►  May (19)
    • ►  April (31)
    • ►  March (33)
    • ►  February (25)
    • ►  January (17)
  • ►  2017 (58)
    • ►  December (16)
    • ►  November (22)
    • ►  October (2)
    • ►  September (11)
    • ►  August (4)
    • ►  July (3)
Sadick Kilasi. Powered by Blogger.

Jisajili kwa kujiunga nasi hapa

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
Maisha yenye maana ni yale maisha ambayo mhusika atambua nini kusudi lake la kuwepo hapa duniani. Hapandipo muhusika anapo kaa katika nafasi yake na kuwasha nuru katika sehemu aliopo kutokana uhusika wake. Jiunge na mtandao huu kupata maarifa zaidi na kwa ushirikiano mwingine kwa ujumla.

Kurasa

  • Nyumbani
  • TAFAKARI ROHO
  • Saidia Huduma Hii Kuwafikia Wengi Zaidi.

JIUNGE NASI SASA KWA KUJAZA FOMU HAPO CHINI


ANZA KUFURAHIA MAISHA NDANI YA YESU, MPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA INJILI YA MAJI NA DAMU 0687000768

Zilizosomwa sana

  • Chukua hizi hapa nukuu za Malcolm x mtu ambaye anawavutia wengi sana.
    Ni siku nyingine tena ambayo ni mpya kabisa, karibu tena katika blogu hii ya JIKO LA USHAURI ambapo mimi mpendwa wako nimekuwa naingia jikon...
  • Ubatizo Wa Maji Mengi Na Ubatizo Wa Maji Machache, Upi Ni Sahihi?
    Ubatizo wa Maji Mengi Na Maji Machache. Kumekuwa na migongano kwa muda mrefu sana juu ya ubatizo, kati ya ubatizo wa maji mengi na ule uba...
  • Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa.
    Falsafa Za Maisha, Yaani Neno La Maarifa. Habari mpendwa? Natumai wewe unayesoma hapa umzima.   Karibu tena katika Falsafa Za Maisha. Ku...

Blog Archive

  • July 2017 (3)
  • August 2017 (4)
  • September 2017 (11)
  • October 2017 (2)
  • November 2017 (22)
  • December 2017 (16)
  • January 2018 (17)
  • February 2018 (25)
  • March 2018 (33)
  • April 2018 (31)
  • May 2018 (19)
  • June 2018 (17)
  • July 2018 (12)
  • August 2018 (7)
  • September 2018 (43)
  • October 2018 (29)
  • November 2018 (25)
  • December 2018 (17)
  • January 2019 (5)
  • February 2019 (11)
  • March 2019 (14)
  • May 2019 (2)
  • June 2019 (1)
  • July 2019 (8)
  • October 2019 (1)
  • December 2019 (4)
  • January 2020 (5)

JIKO LA USHAURI

Itambue Injili Ya Maji Na Roho. Ushiriki Ufalme wa Mungu, pata kitabu cha bure. Wasiliana nasi kwa sadikila65@gmail.com.

Tags

  • BIASHARA
  • HEKIMA ZA WAZEE
  • KUFURAHIA MAISHA
  • KUPATA BLOGU
  • MAHUSIANO
  • MAWASILIANO
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI
  • NJOZI
  • PATA BLOGU
  • SAIDIA HUDUMA HII
  • TAFAKARI NENO YA SIKU
  • TAFAKARI YA ROHO
  • UJASIRIAMALI
  • USHAURI
  • USWAZI TRICK

Kurasa

Labels

  • HEKIMA ZA WAZEE (24)
  • KUFURAHIA MAISHA (76)
  • KUPATA BLOGU (2)
  • MAHUSIANO (81)
  • MAWASILIANO (1)
  • NENO KUTOKA KWA SADICK KILASI (8)
  • NJOZI (94)
  • PATA BLOGU (3)
  • TAFAKARI YA ROHO (57)
  • UJASIRIAMALI (31)
  • USHAURI (78)
  • USWAZI TRICK (9)

Loading...

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *

  • Napenda kusoma Biblia

About Me

Sadick Kilasi
View my complete profile
INJILI YA MAJI NA DAMU.

Search This Blog

Chapisho Lililoangaziwa

Alipambania Tumaini Lake Na Ndoto Yake Ikawa Kweli.

Kila mtu katika maisha ana tumaini lake. Msingi mkuu wa maisha ni tumaini. Nguvu kubwa ya maisha ni imani na mapito makuu ya maisha ni u...

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments
INJILI YA KWELI NI INJILI YA MAJI NA ROHO. (MAJI, DAMU NA ROHO).
HII NDIYO KWELI YENYEWE.
YOHANA 19:34-35.

Copyright © JIKO LA USHAURI | Powered by Blogger
Design by Hardeep Asrani | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com | Distributed By Gooyaabi Templates